CHADEMA: John Heche anashikiliwa kwenye mahabusu ya Jeshi la Polisi Mtumba, jijini Dodoma

CHADEMA: John Heche anashikiliwa kwenye mahabusu ya Jeshi la Polisi Mtumba, jijini Dodoma

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Ila Jeshi letu la Polisi wanafanya mambo yao nje kabisa na maadali kabisa!

Mlimchukua mkasema mnampeleka Tarime, lakini mkapelekea sehemu nyingine na mkakaa kimya kama hamjui chochote. Kelele zimekuwa nyingi ndio mnakiambia chama alipo kiongozi wao!

Acheni huo ushamba wenu mnaendelea kujichafua zaidi
================
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kuutaarifu umma kuwa Makamu Mwenyekiti Taifa, Mhe. John Heche anashikiliwa kwenye mahabusu ya Jeshi la Polisi Mtumba, jijini Dodoma.

Mheshimiwa Heche leo Ijumaa, tarehe 24 Oktoba, 2025 alihofiwa na Idara ya Uhamiaji mbele ya Wakili wa Chama na Kaka yake akituhumiwa kuvunja Sheria za Uhamiaji kwa kile walichosema alivuka mpaka wa Tanzania na kuingia nchini Kenya bila kufuata taratibu.

Pamoja na kosa hilo alilotajwa ambalo lina dhamana, Jeshi la Polisi limekataa kumpa dhamana likisema kuwa kuna maelekezo kutoka juu kuwa aendelee kushikiliwa mahabusu.

Mhe. Heche alikamatwa na Jeshi la Polisi juzi Jumatano kwenye geti la Mahakama Kuu Masijala ya Dar es Salaam kabla ya kupelekwa Kituo Kikuu cha Polisi (Central), Dar es Salaam kisha jeshi hilo linasemekana linasafirisha kumpeleka Polisi Tarime mkoani Mara.

Soma Pia:
Kuendelea kumshikilia Mhe. Heche kinyume cha Sheria ni muendelezo wa mpango wa Serikali ya CCM chini ya Rais Samia kuwakamata viongozi wakuu wa Chama na kuwaweka kizuizini mpaka baada ya Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika tarehe 29 Oktoba, 2025.

Tunamtaka Rais Samia aache kuvutia vibaya vyombo vya Ulinzi na Usalama kuwakamata na kuwaweka kizuizini washindani wake wa siasa.

photo_2025-10-24_23-25-57.jpg
 
Kinachonisikitisha mimi ni kuona kama nchi kwa miaka mingi tumetumia na tunatumia rasilimali nyingi sana kujenga tunachoita sijui Jumuiya ya Afrika Mashariki, ila leo mtu kuvuka mpaka tena huku akijaribu kufuata sheria na taratibu anaonekana muhalifu.

Mapungufu yale yale yaliyovunja jumuiya ya kwanza, kwa kuifanya ni jumuiya ya viongozi wa kisiasa na si ya wananchi, tunayarudia tena.
 
Ila Jeshi letu la Polisi wanafanya mambo yao nje kabisa na maadali kabisa!

Mlimchukua mkasema mnampeleka Tarime, lakini mkapelekea sehemu nyingine na mkakaa kimya kama hamjui chochote. Kelele zimekuwa nyingi ndio mnakiambia chama alipo kiongozi wao!

Acheni huo ushamba wenu mnaendelea kujichafua zaidi
================
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kuutaarifu umma kuwa Makamu Mwenyekiti Taifa, Mhe. John Heche anashikiliwa kwenye mahabusu ya Jeshi la Polisi Mtumba, jijini Dodoma.

Mheshimiwa Heche leo Ijumaa, tarehe 24 Oktoba, 2025 alihofiwa na Idara ya Uhamiaji mbele ya Wakili wa Chama na Kaka yake akituhumiwa kuvunja Sheria za Uhamiaji kwa kile walichosema alivuka mpaka wa Tanzania na kuingia nchini Kenya bila kufuata taratibu.

Pamoja na kosa hilo alilotajwa ambalo lina dhamana, Jeshi la Polisi limekataa kumpa dhamana likisema kuwa kuna maelekezo kutoka juu kuwa aendelee kushikiliwa mahabusu.

Mhe. Heche alikamatwa na Jeshi la Polisi juzi Jumatano kwenye geti la Mahakama Kuu Masijala ya Dar es Salaam kabla ya kupelekwa Kituo Kikuu cha Polisi (Central), Dar es Salaam kisha jeshi hilo linasemekana linasafirisha kumpeleka Polisi Tarime mkoani Mara.

Soma Pia:
Kuendelea kumshikilia Mhe. Heche kinyume cha Sheria ni muendelezo wa mpango wa Serikali ya CCM chini ya Rais Samia kuwakamata viongozi wakuu wa Chama na kuwaweka kizuizini mpaka baada ya Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika tarehe 29 Oktoba, 2025.

Tunamtaka Rais Samia aache kuvutia vibaya vyombo vya Ulinzi na Usalama kuwakamata na kuwaweka kizuizini washindani wake wa siasa.

View attachment 3493139
Kosa la uhamiaji iweje akamatwe na Polisiccm?? Hao Polisiccm wanahusikaje na masuala ya Uhamiajiccm? Kesi ya uhamiaji ni kesi ya watu wa uhamiaji iweje polisiccm wanaingia huko? Huo ni uonevu na manyanyaso ya kijinga sana
 
Heche aliporwa passport yake na Uhamiajiccm na kenya hawakumkamata kwani aliingia kwao bila passport , sasa cha Ajabu Polisiccm wakaenda kumkamata Heche kwa kosa ambalo haliwahusu, huo ni uvunjifu wa haki za binadamu ni manyanyaso makubwa kwa heche na chadema kwa ujumla
 
Kinachonisikitisha mimi ni kuona kama nchi kwa miaka mingi tumetumia na tunatumia rasilimali nyingi sana kujenga tunachoita sijui Jumuiya ya Afrika Mashariki, ila leo mtu kuvuka mpaka tena huku akijaribu kufuata sheria na taratibu anaonekana muhalifu.

Mapungufu yale yale yaliyovunja jumuiya ya kwanza, kwa kuifanya ni jumuiya ya viongozi wa kisiasa na si ya wananchi, tunayarudia tena.
Alikokwenda yaani Kenya ndiyo walipaswa wamkamate ama kulalamika chochote, cha Ajabu Tanzania waliompora passport yake Uhamiajiccm wamewatuma Polisiccm kumkamata Heche kinyume cha sheria na haki za binadamu , Polisiccm sasa ndiyo wanafanya kazi ya Uhamiajiccm haya ni maajabu makubwa sana
 
Ila Jeshi letu la Polisi wanafanya mambo yao nje kabisa na maadali kabisa!

Mlimchukua mkasema mnampeleka Tarime, lakini mkapelekea sehemu nyingine na mkakaa kimya kama hamjui chochote. Kelele zimekuwa nyingi ndio mnakiambia chama alipo kiongozi wao!

Acheni huo ushamba wenu mnaendelea kujichafua zaidi
================
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kuutaarifu umma kuwa Makamu Mwenyekiti Taifa, Mhe. John Heche anashikiliwa kwenye mahabusu ya Jeshi la Polisi Mtumba, jijini Dodoma.

Mheshimiwa Heche leo Ijumaa, tarehe 24 Oktoba, 2025 alihofiwa na Idara ya Uhamiaji mbele ya Wakili wa Chama na Kaka yake akituhumiwa kuvunja Sheria za Uhamiaji kwa kile walichosema alivuka mpaka wa Tanzania na kuingia nchini Kenya bila kufuata taratibu.

Pamoja na kosa hilo alilotajwa ambalo lina dhamana, Jeshi la Polisi limekataa kumpa dhamana likisema kuwa kuna maelekezo kutoka juu kuwa aendelee kushikiliwa mahabusu.

Mhe. Heche alikamatwa na Jeshi la Polisi juzi Jumatano kwenye geti la Mahakama Kuu Masijala ya Dar es Salaam kabla ya kupelekwa Kituo Kikuu cha Polisi (Central), Dar es Salaam kisha jeshi hilo linasemekana linasafirisha kumpeleka Polisi Tarime mkoani Mara.

Soma Pia:
Kuendelea kumshikilia Mhe. Heche kinyume cha Sheria ni muendelezo wa mpango wa Serikali ya CCM chini ya Rais Samia kuwakamata viongozi wakuu wa Chama na kuwaweka kizuizini mpaka baada ya Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika tarehe 29 Oktoba, 2025.

Tunamtaka Rais Samia aache kuvutia vibaya vyombo vya Ulinzi na Usalama kuwakamata na kuwaweka kizuizini washindani wake wa siasa.

View attachment 3493139
Nipo hapa mtumba kesho naenda kumuona
 
Alikokwenda yaani Kenya ndiyo walipaswa wamkamate ama kulalamika chochote, cha Ajabu Tanzania waliompora passport yake Uhamiajiccm wamewatuma Polisiccm kumkamata Heche kinyume cha sheria na haki za binadamu , Polisiccm sasa ndiyo wanafanya kazi ya Uhamiajiccm haya ni maajabu makubwa sana
Inasikitisha sana. Hivi alifanikiwa kuhudhuria mazishi ya Odinga?
 
Ogopa sana mtu anayekula kichuli hata hiyo poison yao itagonga mwamba.
Kikubwa mungu ndiyo huwalinda watu wanaonyanyaswa na Serikali kama ilivyokuwa madagasca Zambia Senegal na Mandela
 
Alikwenda kenya vizuri bila kikwazo tena kwa kusindikizwa na wakenya wengi wakamlinda alipomaliza kuzika wakarejea nae hadi mpakani wakahakikisha karejea salama
Kama tuna zaidi ya miaka 25 toka tumeanza kujenga upya EAC, zimefanyika summit nyingi, watendaji wa nchi wanachama wamekutana mara kibao, rasilimali pesa chungu nzima zimetumika, halafu leo mtu tena kiongozi mkubwa wa jamii anashindwa kuvuka mpaka kwenda kwenye mazishi na kurudi, kuna watu ilibidi wakamatwe kwa uhujumu uchumi achilia mbali ukiukwaji mwingine wa haki za raia.

Mikoa ya mipakani ilitakiwa kuongoza kwa utajiri, lakini ndiyo inaongoza kwa umasikini kwa sababu ya upuuzi kama huu.

Halafu tunakaa tunawalaumu wakoloni kwa kuweka mipaka wakati mpaka leo wenyewe tupo tunaitunza na kuitumia kukandamiza na kunyanyasa watu.
 
Polisiccm kujitwika majukumu ya Uhamiajiccm ni Udikiteta ni uonevu pia ni Dharau kwa idara ya uhamiaji pia, na kitendo cha polisiccm kudharau mahakama kukamata kupiga watu hovyo kwenye viunga vya mahakama ni vitendo vya kulaani sana, kwani mahakama sasa haina uwezo wa kuwazuia Polisiccm kufanya chochote kwenye viwanja vya mahakama ni Aibu kubwa ni hii inaidhalilisha mahakama kwa kiwango cha kutisha
 
Kama tuna zaidi ya miaka 25 toka tumeanza kujenga upya EAC, zimefanyika summit nyingi, watendaji wa nchi wanachama wamekutana mara kibao, rasilimali pesa chungu nzima zimetumika, halafu leo mtu tena kiongozi mkubwa wa jamii anashindwa kuvuka mpaka kwenda kwenye mazishi na kurudi, kuna watu ilibidi wakamatwe kwa uhujumu uchumi achilia mbali ukiukwaji mwingine wa haki za raia.
Kisheria yule Uhamiajiccm yaani Afisa wa uhamiaji aliyempora passport yake alipaswa afunguliwe kesi kwa kupora passport ya Heche kinyume cha sheria, na kumzuia kusafiri kwenda kuzika, Uhamiajiccm hawafanyi kazi kwa mjibu wa sheria bali wanafanya kazi kwa mjibu wa Amri haramu za kijinga jinga toka kwa ma-ccm
 
Polisiccm wanafanya kazi za Uhamiajiccm
Polisiccm wanapiga kukamata watu kwenye viunga vya mahakama, Polisiccm wapo juu ya sheria wanafanya chochote wanavyojisikia ni Aibu na fedheha kubwa
 
Back
Top Bottom