CHADEMA kuzidi kuimarika ni kufeli kwa mikakati ya CCM

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Kitendo cha viongozi wa NCCR, CUF, TLP na ACT kwenda kuongea na Mwenyekiti wa CCM na kurudi kwa wananchi wakiimba nyimbo zilezile zinazoimbwa na CCM ambazo wananchi wamezichoka ni tafsiri sahihi kwamba CCM haina mikakati bali yupo mtu anaongoza haya mambo kwa namna anavyopendezwa yeye.

Siasa ni mkakati ambao katika mataifa mengi uandaliwa na wanamikakati wabobezi kwa kulipwa fedha nyingi. Tumewaita viongozi hawa ikulu lakini bado ukipita mtaani uoni Kama jamii imeshtuka kwa lolote, jamii inazidi kuhubiri kwamba Hawa wamekwenda kwa maslahi binafsi na wametishwa.

Ukiwa na jamii ya hivi unachopaswa kufanya ni kuweka mazingira ya uwanja sawa wa kisiasa na kurejesha imani kwao. Leo hii Chadema wanazidi kujiimarisha mioyoni si kwa sababu wanapendwa sana bali kwa sababu wameonyesha msimamo na wananchi wamewachoka waliopo madarakani.

Hali ya sasa ni sawa na hali ya kukataliwa, ukikataliwa umekataliwa. CHADEMA wanachanga karata zao vizuri kwa kutofuata mkumbo, wameondoka KM na bado wanachanja mbuga. Hii inatufundisha kwamba hata wabaki watu wawili bado wananchi watawaamini hao

Nini CCM wafanye? Waachane na mapambano na vyama pinzani waanze mikakati ya kukiimarisha chama kikubalike mashinani. Hakuna chama chochote kitakachoimarika kwa kuchukua wapinzani wake, chama kinaimarika kwa kuwaandaa wanachama wake na kuwalisha amini. Mwanachama wanayemwona Ni asset leo akitokea Chadema kesho atageuka liability kwao, hata uchukue wabunge wote wa upinzani kwa kuwapa ajira ipo siku wakikosa ajira watakusaliti au kukushinikiza uendelee kuwaajiri.

Mkakati wa kuchukua wabunge Chadema na vyama vingine for 4 yrs now bado haujabadili upepo wa kisiasa nchini, means chama kimefeli kutambua kiwekeze wapi zaidi. Kama unamchukua Mbunge na hakuna mwananchi anayeongozana naye kuja kwenye chama chako basi tambua huyo Mbunge hana watu nyuma yake.

Dr. Bashiru na Polepole mtalaumiwa huko mbeleni kwa kukiua Chama cha Mapinduzi mkidhani mnakijenga, mtalaumiwa kwa kuwaimarisha Chadema mioyoni mwa wananchi. Chagueni sasa kuwekeza kwa wapiga kura au kuangaika na wapigiwa kura.
 
CCM wanadhani wakiwa wao wenyewe basi watamaliza upinzani bila kudhani kuwa wanaimarisha upinzani. Kwanza CCM watambue mpinzani ni mpinzani tu. Hata akikaa huko CCM yuko kwa maslahi kidogo tu ila moyoni bado anawazomea.

Kitakachofuata ni CCM kuongeza upinzani wa ndani kwa ndani na upinzani mwingine wa nje ya chama chao. Hivyo wale wapinzani wa ndani wataharibu mikakati ya CCM kwa kutoa siri kwa wapinzani wa nje. Mwisho watakatana kwa mashoka wao kwa wao
 
CCM wanadhani wakiwa wao wenyewe basi watamaliza upinzani bila kudhani kuwa wanaimarisha upinzani. Kwanza CCM watambue mpinzani ni mpinzani tu. Hata akikaa huko CCM yuko kwa maslahi kidogo tu ila moyoni bado anawazomea. Kitakachofuata ni CCM kuongeza upinzani wa ndani kwa ndani na upinzani mwingine wa nje ya chama chao. Hivyo wale wapinzani wa ndani wataharibu mikakati ya CCM kwa kutoa siri kwa wapinzani wa nje. Mwisho watakatana kwa mashoka wao kwa wao
Hivi nini matamanio ya Simba kwa yanga? Ni kuona kila siku simba inaifunga yanga! Na matamanio ya chadema ni kuona CCM inafilia mbali ili kitawale. Je, nini matamanio ya watu ambao hawana habari ya muweza kutwaa dola kama mimi, ni kuona nchi inakuwa na upinzani. Kwangu ccm itawale sawa ila kuwepo na upinzani wa kweli si huu wa kubabaisha
 
Hivi nini matamanio ya Simba kwa yanga? Ni kuona kila siku simba inaifunga yanga! Na matamanio ya chadema ni kuona CCM inafilia mbali ili kitawale. Je, nini matamanio ya watu ambao hawana habari ya muweza kutwaa dola kama mimi, ni kuona nchi inakuwa na upinzani. Kwangu ccm itawale sawa ila kuwepo na upinzani wa kweli si huu wa kubabaisha
Anzisha mwenyewe huo upinzani unaoutaka wewe kama uliopo haukidhi matamanio yako. Unatamani upinzani wakati huwezi kupinga mabaya yanayofanywa na mtawala?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
November ndiyo itakuwa muda mzuri kufanya taathmini juu ya nani kaimarika au nani kadhoofika!

Kwa sasa analysis nyingi ni hisia na mihemko ya wanazi tu.
 
Hivi nini matamanio ya Simba kwa yanga? Ni kuona kila siku simba inaifunga yanga! Na matamanio ya chadema ni kuona CCM inafilia mbali ili kitawale. Je, nini matamanio ya watu ambao hawana habari ya muweza kutwaa dola kama mimi, ni kuona nchi inakuwa na upinzani. Kwangu ccm itawale sawa ila kuwepo na upinzani wa kweli si huu wa kubabaisha
Kama unapenda CCM isifiwe kwanini wao wasijisifu? unalazimisha wasifiwe na upinzani ili iweje?

Kila mtu ana haki ya kuzungumza anachokitaka yeye, huu ubwege wa kulazimisha wengine waongee mnachotaka nyie muuache, ni nani aliekudanganya kuwa mpinzani wa kweli lazima usifie chama tawala?!

Kazi ya CCM ndio waseme wamefanya nini, sio kulazimisha wapinzani wawasemee, huo ni ushamba, mawazo ya kishamba, mawazo yako hayawezi kufanana na yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unapenda CCM isifiwe kwanini wao wasijisifu? unalazimisha wasifiwe na upinzani ili iweje?

Kila mtu ana haki ya kuzungumza anachokitaka yeye, huu ubwege wa kulazimisha wengine waongee mnachotaka nyie muuache, ni nani aliekudanganya kuwa mpinzani wa kweli lazima usifie chama tawala?!

Kazi ya CCM ndio waseme wamefanya nini, sio kulazimisha wapinzani wawasemee, huo ni ushamba, mawazo ya kishamba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu, hata wewe ni mshamba maana siyo mtoto wa Mkoma au ombaomba. Nijuavyo mimi kama si wazazi wako au wazazi wa wazazi wako, basi wewe ulizaliwa kijijini na hivyo ni mshamba kama mimi. Kila siku elewa kuwa yeyote ambaye mzazi wake si ombaomba au wana ukoma ni watu wa shamba (mshamba)
 
Kitendo cha viongozi wa NCCR, CUF, TLP na ACT kwenda kuongea na Mwenyekiti wa CCM na kurudi kwa wananchi wakiimba nyimbo zilezile zinazoimbwa na CCM ambazo wananchi wamezichoka ni tafsiri sahihi kwamba CCM haina mikakati bali yupo mtu anaongoza haya mambo kwa namna anavyopendezwa yeye.

Siasa ni mkakati ambao katika mataifa mengi uandaliwa na wanamikakati wabobezi kwa kulipwa fedha nyingi. Tumewaita viongozi hawa ikulu lakini bado ukipita mtaani uoni Kama jamii imeshtuka kwa lolote, jamii inazidi kuhubiri kwamba Hawa wamekwenda kwa maslahi binafsi na wametishwa.

Ukiwa na jamii ya hivi unachopaswa kufanya ni kuweka mazingira ya uwanja sawa wa kisiasa na kurejesha imani kwao. Leo hii Chadema wanazidi kujiimarisha mioyoni si kwa sababu wanapendwa sana bali kwa sababu wameonyesha msimamo na wananchi wamewachoka waliopo madarakani.

Hali ya sasa ni sawa na hali ya kukataliwa, ukikataliwa umekataliwa. CHADEMA wanachanga karata zao vizuri kwa kutofuata mkumbo, wameondoka KM na bado wanachanja mbuga. Hii inatufundisha kwamba hata wabaki watu wawili bado wananchi watawaamini hao.

Nini CCM wafanye? Waachane na mapambano na vyama pinzani waanze mikakati ya kukiimarisha chama kikubalike mashinani. Hakuna chama chochote kitakachoimarika kwa kuchukua wapinzani wake, chama kinaimarika kwa kuwaandaa wanachama wake na kuwalisha amini. Mwanachama wanayemwona Ni asset leo akitokea Chadema kesho atageuka liability kwao, hata uchukue wabunge wote wa upinzani kwa kuwapa ajira ipo siku wakikosa ajira watakusaliti au kukushinikiza uendelee kuwaajiri.

Mkakati wa kuchukua wabunge Chadema na vyama vingine for 4 yrs now bado haujabadili upepo wa kisiasa nchini, means chama kimefeli kutambua kiwekeze wapi zaidi. Kama unamchukua Mbunge na hakuna mwananchi anayeongozana naye kuja kwenye chama chako basi tambua huyo Mbunge hana watu nyuma yake.

Dr. Bashiru na Polepole mtalaumiwa huko mbeleni kwa kukiua Chama cha Mapinduzi mkidhani mnakijenga, mtalaumiwa kwa kuwaimarisha Chadema mioyoni mwa wananchi. Chagueni sasa kuwekeza kwa wapiga kura au kuangaika na wapigiwa kura.

Mnawaongelea wananch wa nchi Gan Hawa au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiaamshe
Kitendo cha viongozi wa NCCR, CUF, TLP na ACT kwenda kuongea na Mwenyekiti wa CCM na kurudi kwa wananchi wakiimba nyimbo zilezile zinazoimbwa na CCM ambazo wananchi wamezichoka ni tafsiri sahihi kwamba CCM haina mikakati bali yupo mtu anaongoza haya mambo kwa namna anavyopendezwa yeye.

Siasa ni mkakati ambao katika mataifa mengi uandaliwa na wanamikakati wabobezi kwa kulipwa fedha nyingi. Tumewaita viongozi hawa ikulu lakini bado ukipita mtaani uoni Kama jamii imeshtuka kwa lolote, jamii inazidi kuhubiri kwamba Hawa wamekwenda kwa maslahi binafsi na wametishwa.

Ukiwa na jamii ya hivi unachopaswa kufanya ni kuweka mazingira ya uwanja sawa wa kisiasa na kurejesha imani kwao. Leo hii Chadema wanazidi kujiimarisha mioyoni si kwa sababu wanapendwa sana bali kwa sababu wameonyesha msimamo na wananchi wamewachoka waliopo madarakani.

Hali ya sasa ni sawa na hali ya kukataliwa, ukikataliwa umekataliwa. CHADEMA wanachanga karata zao vizuri kwa kutofuata mkumbo, wameondoka KM na bado wanachanja mbuga. Hii inatufundisha kwamba hata wabaki watu wawili bado wananchi watawaamini hao.

Nini CCM wafanye? Waachane na mapambano na vyama pinzani waanze mikakati ya kukiimarisha chama kikubalike mashinani. Hakuna chama chochote kitakachoimarika kwa kuchukua wapinzani wake, chama kinaimarika kwa kuwaandaa wanachama wake na kuwalisha amini. Mwanachama wanayemwona Ni asset leo akitokea Chadema kesho atageuka liability kwao, hata uchukue wabunge wote wa upinzani kwa kuwapa ajira ipo siku wakikosa ajira watakusaliti au kukushinikiza uendelee kuwaajiri.

Mkakati wa kuchukua wabunge Chadema na vyama vingine for 4 yrs now bado haujabadili upepo wa kisiasa nchini, means chama kimefeli kutambua kiwekeze wapi zaidi. Kama unamchukua Mbunge na hakuna mwananchi anayeongozana naye kuja kwenye chama chako basi tambua huyo Mbunge hana watu nyuma yake.

Dr. Bashiru na Polepole mtalaumiwa huko mbeleni kwa kukiua Chama cha Mapinduzi mkidhani mnakijenga, mtalaumiwa kwa kuwaimarisha Chadema mioyoni mwa wananchi. Chagueni sasa kuwekeza kwa wapiga kura au kuangaika na wapigiwa kura.
Usiwaamshe waliolala,hatutakiwi kuwagusa sasa ila kukikucha wakiamka wakute tumemaliza kazi.
CHADEMA na wapinzani wote wa kweli tutoe elimu ya uraia na haki za Wananchi ili wawe tayari kuwatoa hawa watawala madarakani kwa nguvu ya umma.Tudai Katiba ya Wananchi kwa nguvu zetu zote.
 
Ndugu yangu, hata wewe ni mshamba maana siyo mtoto wa Mkoma au ombaomba. Nijuavyo mimi kama si wazazi wako au wazazi wa wazazi wako, basi wewe ulizaliwa kijijini na hivyo ni mshamba kama mimi. Kila siku elewa kuwa yeyote ambaye mzazi wake si ombaomba au wana ukoma ni watu wa shamba (mshamba)
Basi tusilazimishane kusema mnachotaka nyie, jisemeeni wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom