MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 3,690
- 5,018
Nimeona kama mwanafamilia wa chama kubwa Chadema nilete wazo hapa kwa viongozi wetu.
Iko hivi chama kimekuwa kina watu kwa hapa tulipo hatuwezi kushindwa kitu chochote. Naomba muanzishe mchakato wa kujua gharama za kununua mitambo ya Radio na TV sisi wanafamilia tutachanga ikiwezekana iwe mapema hata kabla ya uchaguzi Mkuu.
Ni hayo.
Iko hivi chama kimekuwa kina watu kwa hapa tulipo hatuwezi kushindwa kitu chochote. Naomba muanzishe mchakato wa kujua gharama za kununua mitambo ya Radio na TV sisi wanafamilia tutachanga ikiwezekana iwe mapema hata kabla ya uchaguzi Mkuu.
Ni hayo.