Chadema itume ujumbe pemba!!!

Kadogoo

JF-Expert Member
Feb 26, 2007
2,073
341
Hali ya mtafaruku niliouona Jana Arusha kwa macho yangu huku waathirika wa mabomu ya kutoa machozi wakishindwa kuhimili kasheshe hiyo, wakati umefika kwa viongozi wa CDM kutuma ujumbe maalum huko kisiwani Pemba na Unguja ili kujifunza mbinu walizokuwa wakitumia wana CUF-ngangari kukabiliana na mabomu ya machozi ya Polisi-ngunguri!

Aidha pia ni muhimu CDM wakajifunza mbinu za CUF za kufanya maandamano ya kiteknologia kwa kuwazidi akili na maarifa Polisi kwa kukamilisha maandamano yao bila ya Polisi kujua njia wanazotumia waandamanaji!

Mbinu hizi zitasaidia kupunguza hasara zinazosababishwa na uamuzi wa kufanya maandamano bila kujiandaa na mbinu za kukabiliana na Polisi waliopata mafunzo maalum ya kijeshi dhidi ya raia innocent wanaoburuzwa na wanasiasa kuingia barabarani bila maandalizi na namna ya kuhimili sumu kali ya mabomu ya machozi!!!!!

Kuingia barabarani kwa maandamano bila kozi maalum itatugharimu sana kama tulivyoona Arusha jinsi wananchi wenzetu walivyopata hasara ktk biashara zao kwa kusimama siku nzima na wengine kuporwa kwa sababu ya mapambano kati ya Polisi na waandamanaji wa CDM!
 
Hali ya mtafaruku niliouona Jana Arusha kwa macho yangu huku waathirika wa mabomu ya kutoa machozi wakishindwa kuhimili kasheshe hiyo, wakati umefika kwa viongozi wa CDM kutuma ujumbe maalum huko kisiwani Pemba na Unguja ili kujifunza mbinu walizokuwa wakitumia wana CUF-ngangari kukabiliana na mabomu ya machozi ya Polisi-ngunguri!

Aidha pia ni muhimu CDM wakajifunza mbinu za CUF za kufanya maandamano ya kiteknologia kwa kuwazidi akili na maarifa Polisi kwa kukamilisha maandamano yao bila ya Polisi kujua njia wanazotumia waandamanaji!

Mbinu hizi zitasaidia kupunguza hasara zinazosababishwa na uamuzi wa kufanya maandamano bila kujiandaa na mbinu za kukabiliana na Polisi waliopata mafunzo maalum ya kijeshi dhidi ya raia innocent wanaoburuzwa na wanasiasa kuingia barabarani kabla ya kujiandaa!!!!!

hii ID yako inafanana na Topic uliyoileta.... bisha kama una confo.... hili ni tatizo la miadharati ya mirungi.... inatumika ku brain wash
 
Hali ya mtafaruku niliouona Jana Arusha kwa macho yangu huku waathirika wa mabomu ya kutoa machozi wakishindwa kuhimili kasheshe hiyo, wakati umefika kwa viongozi wa CDM kutuma ujumbe maalum huko kisiwani Pemba na Unguja ili kujifunza mbinu walizokuwa wakitumia wana CUF-ngangari kukabiliana na mabomu ya machozi ya Polisi-ngunguri!

Aidha pia ni muhimu CDM wakajifunza mbinu za CUF za kufanya maandamano ya kiteknologia kwa kuwazidi akili na maarifa Polisi kwa kukamilisha maandamano yao bila ya Polisi kujua njia wanazotumia waandamanaji!

Mbinu hizi zitasaidia kupunguza hasara zinazosababishwa na uamuzi wa kufanya maandamano bila kujiandaa na mbinu za kukabiliana na Polisi waliopata mafunzo maalum ya kijeshi dhidi ya raia innocent wanaoburuzwa na wanasiasa kuingia barabarani kabla ya kujiandaa!!!!!

huyu zubeda eti ni demu wa nani vile? hivi siyo yule demu aliyeachika kwa yusuf makamba na siku hizi anachukuliwa na igp?
 
Hali ya mtafaruku niliouona Jana Arusha kwa macho yangu huku waathirika wa mabomu ya kutoa machozi wakishindwa kuhimili kasheshe hiyo, wakati umefika kwa viongozi wa CDM kutuma ujumbe maalum huko kisiwani Pemba na Unguja ili kujifunza mbinu walizokuwa wakitumia wana CUF-ngangari kukabiliana na mabomu ya machozi ya Polisi-ngunguri!

Aidha pia ni muhimu CDM wakajifunza mbinu za CUF za kufanya maandamano ya kiteknologia kwa kuwazidi akili na maarifa Polisi kwa kukamilisha maandamano yao bila ya Polisi kujua njia wanazotumia waandamanaji!

Mbinu hizi zitasaidia kupunguza hasara zinazosababishwa na uamuzi wa kufanya maandamano bila kujiandaa na mbinu za kukabiliana na Polisi waliopata mafunzo maalum ya kijeshi dhidi ya raia innocent wanaoburuzwa na wanasiasa kuingia barabarani kabla ya kujiandaa!!!!!

Mademu wa uswahilini utawajua tu. Nenda kachezwe mdundiko...
 
Mademu wa uswahilini utawajua tu. Nenda kachezwe mdundiko...

Watoto waliozaliwa madanguroni utawajua tu kwa post zao!!!!!
Afadhali mtoto wa chupa kuliko kuzaliwa danguroni huku mama yako akiwa kalewa chakari na mgongoni anakoromewa na dume levi!!!
 
Watoto waliozaliwa madanguroni utawajua tu kwa post zao!!!!!
Afadhali mtoto wa chupa kuliko kuzaliwa danguroni huku mama yako akiwa kalewa chakari na mgongoni anakoromewa na dume levi!!!

hata bi kidude ameimba ........ zubeda umelewa.... sasa nani kalewa.... au umepata dereva ajuae kijembe chako kimekongoka mpini
 
Hali ya mtafaruku niliouona Jana Arusha kwa macho yangu huku waathirika wa mabomu ya kutoa machozi wakishindwa kuhimili kasheshe hiyo, wakati umefika kwa viongozi wa CDM kutuma ujumbe maalum huko kisiwani Pemba na Unguja ili kujifunza mbinu walizokuwa wakitumia wana CUF-ngangari kukabiliana na mabomu ya machozi ya Polisi-ngunguri!

Aidha pia ni muhimu CDM wakajifunza mbinu za CUF za kufanya maandamano ya kiteknologia kwa kuwazidi akili na maarifa Polisi kwa kukamilisha maandamano yao bila ya Polisi kujua njia wanazotumia waandamanaji!

Mbinu hizi zitasaidia kupunguza hasara zinazosababishwa na uamuzi wa kufanya maandamano bila kujiandaa na mbinu za kukabiliana na Polisi waliopata mafunzo maalum ya kijeshi dhidi ya raia innocent wanaoburuzwa na wanasiasa kuingia barabarani bila maandalizi na namna ya kuhimili sumu kali ya mabomu ya machozi!!!!!

Kuingia barabarani kwa maandamano bila kozi maalum itatugharimu sana kama tulivyoona Arusha jinsi wananchi wenzetu walivyopata hasara ktk biashara zao kwa kusimama siku nzima na wengine kuporwa kwa sababu ya mapambano kati ya Polisi na waandamanaji wa CDM!

Mimi nadhani mawazo ya dada Zubeda ni muhimu kuzingatia na ni ushauri wake alioutoa nadhani kwa nia njema hivyo kuanza kumtusi ni ukosefu wa adabu mbele ya dada zetu na jinsi gani tunakosa uvumilivu wa kutoa mawazo yetu kwa njia iliyo sawa!
 
hata bi kidude ameimba ........ zubeda umelewa.... sasa nani kalewa.... au umepata dereva ajuae kijembe chako kimekongoka mpini

Kujibishana na mwanamke si utamaduni wa wanaume wa chi yetu! hii ni tabia ya kikekike kuendelea kujibishana mbele ya umati ulioko humu JF!
kama umekosa la kuandika ni afadhali ukae kimya kuliko kuropoka kama mlevi!
 
huyu zubeda eti ni demu wa nani vile? hivi siyo yule demu aliyeachika kwa yusuf makamba na siku hizi anachukuliwa na igp?

Kujibishana na mwanamke si utamaduni wa wanaume wa chi yetu! hii ni tabia ya kikekike kuendelea kujibishana mbele ya umati ulioko humu JF!
kama umekosa la kuandika ni afadhali ukae kimya kuliko kuropoka kama mlevi!
 
Kujibishana na mwanamke si utamaduni wa wanaume wa chi yetu! hii ni tabia ya kikekike kuendelea kujibishana mbele ya umati ulioko humu JF!
kama umekosa la kuandika ni afadhali ukae kimya kuliko kuropoka kama mlevi!

mkuu... nakuheshimu kwakuwa wewe ni mwanamke.... na umeshatamka wazi.... smahani sana...bibie
 
Hajatulialia huyu Zubeda. Tumtowe baru, kichupi mkononi. Hahahaaaa.......... '***** Zubeda.

 
Last edited by a moderator:
Dada Zubeda mawazo na ujumbe wako umefika, hawa wanaokutukana na kukudhalilisha kwa sababu ya jinsia yako huenda ni watu wenye mfadhaiko wa kiakili na pengine wana matatizo ya kifamilia hivyo usiwajibu bali wasamehe!!
 
Dada Zubeda mawazo na ujumbe wako umefika, hawa wanaokutukana na kukudhalilisha kwa sababu ya jinsia yako huenda ni watu wenye mfadhaiko wa kiakili na pengine wana matatizo ya kifamilia hivyo usiwajibu bali wasamehe!!

Dada TZ Kwanza... unahekima na busara sana.... unaweza kumfariji huyu mcharuko mwenzako bila hata kufikiri.... kweli udada unahitaji kuwa na kanga kwanza..
 
Ushauri wa zubeda ni muhimu sana kwa mstakbali wa maandamano mengine nchini, tusipuuze hata kidogo!
halafu hapa kuna watu wananishangaza sana mtu katoa wazo lake wengine wanaanza kumshambulia jinsia yake!! hii tabia mbona inatia kichefuchefu?

Kama huwezi kuchangia kwa hoja sasa ya nini kupoteza muda wako kushambulia jinsia ya mtu?
 
Zubeda umetumia haki yako ya kikatiba kwny ibara ya 8 hao wote wanaokutusi ni sawa na wale walioua&kujeruhi ndugu zetu kule Arusha huku wakijua kuandamana ni haki ya CHADEMA na kulinda maandamano ni wajibu wa jeshi la polisi
 
Lakini ni vema tukawa waangalifu sana ktk kuandaa maandamano kama kutakuwa na mvutano baina ya waandaaji na Jeshi la Polisi ni jukumu la viongozi kuwaandaa washiriki ili watu wawe tayari kwa lolote litakalotokea!
 
Back
Top Bottom