Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,406
buyu
Njaa kali! Cdm kabla hakijafa nyie mshaoza 5 decades ago! Unawakatisha tamaa ili iweje? Shut up your mouth.
Nimeangalia Star tv namuona Tambwe hizza akikitabiria kifo CHADEMA kama NCCR Mageuzi.
Alisema NCCR waliingia kama moto wa nyasi lkn sasa mahututi. Na CHADEMA sasa imekuja hivyo hivyo
lkn ameshindwa kuonyesha uchungu wa nchi kuhusu DOWANS. Pia ameambiwa aache upropaganda katika kujenga hoja
Nimeangalia Star tv namuona Tambwe hizza akikitabiria kifo CHADEMA kama NCCR Mageuzi.
Alisema NCCR waliingia kama moto wa nyasi lkn sasa mahututi. Na CHADEMA sasa imekuja hivyo hivyo
lkn ameshindwa kuonyesha uchungu wa nchi kuhusu DOWANS. Pia ameambiwa aache upropaganda katika kujenga hoja
Nimeangalia Star tv namuona Tambwe hizza akikitabiria kifo CHADEMA kama NCCR Mageuzi.
Alisema NCCR waliingia kama moto wa nyasi lkn sasa mahututi. Na CHADEMA sasa imekuja hivyo hivyo
lkn ameshindwa kuonyesha uchungu wa nchi kuhusu DOWANS. Pia ameambiwa aache upropaganda katika kujenga hoja
Kuna mtu ana CV ya Tambwe Hizza aiweke hadharani ili tujue tunamjadili mtu wa aina gani hapa?
Mwenyewe Tambwe siku zake ccm zinahesabika, kwani mfadhili wake Makamba akisha ngolewa kwenye ukatibu mkuu yeye hawezi kumaliza roundi.