muhogomchungu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 375
- 3
Nimeangalia Star tv namuona Tambwe hizza akikitabiria kifo CHADEMA kama NCCR Mageuzi.
Alisema NCCR waliingia kama moto wa nyasi lkn sasa mahututi. Na CHADEMA sasa imekuja hivyo hivyo
lkn ameshindwa kuonyesha uchungu wa nchi kuhusu DOWANS. Pia ameambiwa aache upropaganda katika kujenga hoja
Alisema NCCR waliingia kama moto wa nyasi lkn sasa mahututi. Na CHADEMA sasa imekuja hivyo hivyo
lkn ameshindwa kuonyesha uchungu wa nchi kuhusu DOWANS. Pia ameambiwa aache upropaganda katika kujenga hoja