Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,903
- 2,000
Huwezi ukachezea tunu za taifa ukabaki salama!
Tundu Lissu is alive only because it is illegal to kill him.
Tundu Lissu is alive only because it is illegal to kill him.
Hiki chama cha Chadema kitajuta kumtukana muasisi wa hili taifa,kitajuta Na hakitabaki salama,huu ni ufunuo ambao hakika hautapita.
Ibrahimu katika biblia anaitwa Babà,wa imani ni haijalishi aliwahi kufanya uzinzi Na kuzaa nje ya ndoa Na bi hajra,lakini imani yake ilidumu Na aliheshimiwa Na Yehova.
Tunapohubiri tunaangalia imani yake hatuhubiri kumkejeli.
Hata mwalimu,ni Icon ya taifa alipaswa kuheshimiwa Na suo kutukanwa Kama huyu kichaa wa chadema alivofanya huku alimulikwa Na kamera za television ya Taifa.
Tundulisu shukuru kingukitano sio Rais hakika ningekupoteza
Laana ya Kuua mpaka uwe umetumia Mkono wako lkn nikikuagiza muuwe Baba yako ni wewe uiyeua ndio ULAANIWENyie MLIOMUUA mnajiweka kundi gani? laana ya kutukana na Kuua ipi umtafuna sana mtu?
Hiki chama cha Chadema kitajuta kumtukana muasisi wa hili taifa,kitajuta Na hakitabaki salama,huu ni ufunuo ambao hakika hautapita.
Ibrahimu katika biblia anaitwa Babà,wa imani ni haijalishi aliwahi kufanya uzinzi Na kuzaa nje ya ndoa Na bi hajra,lakini imani yake ilidumu Na aliheshimiwa Na Yehova.
Tunapohubiri tunaangalia imani yake hatuhubiri kumkejeli.
Hata mwalimu,ni Icon ya taifa alipaswa kuheshimiwa Na suo kutukanwa Kama huyu kichaa wa chadema alivofanya huku alimulikwa Na kamera za television ya Taifa.
Tundulisu shukuru kingukitano sio Rais hakika ningekupoteza
We Chadegongo hata Khomein wa tengeru aka Mtei ameshushwa Na uwendawazimu wa Lissu,Na kuonya Chadegongo kutorudia ufumbafu huu