kingukitano
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,971
- 497
Hiki chama cha Chadema kitajuta kumtukana muasisi wa hili taifa,kitajuta Na hakitabaki salama,huu ni ufunuo ambao hakika hautapita.
Ibrahimu katika biblia anaitwa Babà,wa imani ni haijalishi aliwahi kufanya uzinzi Na kuzaa nje ya ndoa Na bi hajra,lakini imani yake ilidumu Na aliheshimiwa Na Yehova.
Tunapohubiri tunaangalia imani yake hatuhubiri kumkejeli.
Hata mwalimu,ni Icon ya taifa alipaswa kuheshimiwa Na suo kutukanwa Kama huyu kichaa wa chadema alivofanya huku alimulikwa Na kamera za television ya Taifa.
Tundulisu shukuru kingukitano sio Rais hakika ningekupoteza
Ibrahimu katika biblia anaitwa Babà,wa imani ni haijalishi aliwahi kufanya uzinzi Na kuzaa nje ya ndoa Na bi hajra,lakini imani yake ilidumu Na aliheshimiwa Na Yehova.
Tunapohubiri tunaangalia imani yake hatuhubiri kumkejeli.
Hata mwalimu,ni Icon ya taifa alipaswa kuheshimiwa Na suo kutukanwa Kama huyu kichaa wa chadema alivofanya huku alimulikwa Na kamera za television ya Taifa.
Tundulisu shukuru kingukitano sio Rais hakika ningekupoteza