CHADEMA: Itajutia Matusi kwa Mwal.Nyerere

CHADEMA: Itajutia Matusi kwa Mwal.Nyerere

kingukitano

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
1,971
Reaction score
497
Hiki chama cha Chadema kitajuta kumtukana muasisi wa hili taifa,kitajuta Na hakitabaki salama,huu ni ufunuo ambao hakika hautapita.

Ibrahimu katika biblia anaitwa Babà,wa imani ni haijalishi aliwahi kufanya uzinzi Na kuzaa nje ya ndoa Na bi hajra,lakini imani yake ilidumu Na aliheshimiwa Na Yehova.

Tunapohubiri tunaangalia imani yake hatuhubiri kumkejeli.

Hata mwalimu,ni Icon ya taifa alipaswa kuheshimiwa Na suo kutukanwa Kama huyu kichaa wa chadema alivofanya huku alimulikwa Na kamera za television ya Taifa.

Tundulisu shukuru kingukitano sio Rais hakika ningekupoteza
 
Kwa hakika wananchi wameshajua sasa nini tunawaambia kuhusu chagadema! Hawa jamaaa ni vichaa kabisa lakini the good thing is that Umma wa watanzania sasa tumeelewa na wameeelewa kuwa Tundu ni mgonjwa wa akili!

Tufanye juu tumrudishe Lissu hospital ya Mirembe! Huyu jamaa ni zaidi ya chizi!

Shame on him Tundu n ur party!
 
Eti wanamlinganisha mnywa gongo warioba Na legacy ya Mwal.Nyerere
 
Chadema ni chama ambacho hakina adabu kabisa kila kiongozi wa chadema anamatusi ya kufa mtu kuanzia mwenyekiti hadi bavicha.
 
Kwa hakika wananchi wameshajua sasa nini tunawaambia kuhusu chagadema! Hawa jamaaa ni vichaa kabisa lakini the good thing is that Umma wa watanzania sasa tumeelewa na wameeelewa kuwa Tundu ni mgonjwa wa akili!

Tufanye juu tumrudishe Lissu hospital ya Mirembe! Huyu jamaa ni zaidi ya chizi!

Shame on him Tundu n ur party!

shetani awe juu yako. Amina
 
Hakika chadema mtalipa gharama kwa uhuni huu

CHADEMA hawana adabu wahuni wanamtukana baba wa taifa

Hiki chama cha Chadema kitajuta kumtukana muasisi wa hili taifa,kitajuta Na hakitabaki salama,huu ni ufunuo ambao hakika hautapita.

Ibrahimu katika biblia anaitwa Babà,wa imani ni haijalishi aliwahi kufanya uzinzi Na kuzaa nje ya ndoa Na bi hajra,lakini imani yake ilidumu Na aliheshimiwa Na Yehova.

Tunapohubiri tunaangalia imani yake hatuhubiri kumkejeli.

Hata mwalimu,ni Icon ya taifa alipaswa kuheshimiwa Na suo kutukanwa Kama huyu kichaa wa chadema alivofanya huku alimulikwa Na kamera za television ya Taifa.

Tundulisu shukuru kingukitano sio Rais hakika ningekupoteza

Nyie MLIOMUUA mnajiweka kundi gani? laana ya kutukana na Kuua ipi umtafuna sana mtu?
 
Kwa hakika wananchi wameshajua sasa nini tunawaambia kuhusu chagadema! Hawa jamaaa ni vichaa kabisa lakini the good thing is that Umma wa watanzania sasa tumeelewa na wameeelewa kuwa Tundu ni mgonjwa wa akili!

Tufanye juu tumrudishe Lissu hospital ya Mirembe! Huyu jamaa ni zaidi ya chizi!

Shame on him Tundu n ur party!
Kwa hakika hawatabaki salama wamelaghai sana watu lakini kwa sasa tumewajua ndiyo maana zitto alinyanyaswa sana na chama hiki kwa kuwa wao wanayo malengo binafsi kwenye kila jambo lakini kwa sasa hawana chao tena tumewachoka.
 
hivi kuna Nyerere wangapi? Yule wa AZIMIO LA ARUSHA na MIIKO YA UONGOZI, etc. ndio huyu wa Muungano?
 
Nyie MLIOMUUA mnajiweka kundi gani? laana ya kutukana na Kuua ipi umtafuna sana mtu?

We Chadegongo hata Khomein wa tengeru aka Mtei ameshushwa Na uwendawazimu wa Lissu,Na kuonya Chadegongo kutorudia ufumbafu huu
 
Eti wanamlinganisha mnywa gongo warioba Na legacy ya Mwal.Nyerere
Kwa hiyo yule aliyemteua MNYWA GONGO katika jambo muhimu kama lile unamuweka kundi gani? na je Yule MNYWA GONGO na yule aliyemteua ni nani DHAIFU kati yao kwa kutenda waliyoyatenda?
 
CHADEMA hawana adabu wahuni wanamtukana baba wa taifa

chadema na ccm nani kamdhalilisha nyerere???je? Ccm mnafuata yote aliyo waachia huyo mnae mtukuza kama mungu kwa unafiki???? Achen unafiki ccm.
 
Wewe unatofauti gani na mawazo ya hawa mkuu.

hujajibu hoja,, ccm na chadema nani anamdhalilisha nyerere??yote aliyo yaacha mnayatekeleza kama alivyo yaacha?? Au ndio unafiki unawasumbua kwa kutafuta huruma ya wananchi?? Nyerere sio mungu na kweli alikuwa dikteta tena sana, pamoja na utendaj wake mzuri lakini hakosi mabaya acheni unaa ccm.
 
We Chadegongo hata Khomein wa tengeru aka Mtei ameshushwa Na uwendawazimu wa Lissu,Na kuonya Chadegongo kutorudia ufumbafu huu

umetoka kutumika au??? Nahisi watakwa wamekuruka ukuta wewe si bure ,, unaongea pumba kama huna kichwa vile, mishipa mingine bana ptuuu!
 
chadema wanazungumza maneno ya ovyo ovyo hayana msingi katika taifa kwa hili wamechemsha!!!
 
Back
Top Bottom