Ndugu yangu
NasDaz kwa ku summarize ulichokiandika hapa ni kwama kanda ya kusini (mikoa ya Lindi na Mtwara) haina wanachama wa Chadema, na kama wapo hawana muda ama uwezo wa kutekeleza matakwa ya kikatiba ya chama na maagizo ya uongozi wa chama, kitu ambacho sio kweli hata kidogo. Chadema inao wanachama wengi sana katika mikoa hiyo na wenye mapenzi ya dhati ya kukitumikia chama.
Kama tukiyafanyia kazi mapendekezo yako ya kwamba kusini hakuna mwanachama mwenye nia ama muda wa kukitumikia chama tutakuwa tunajidanganya na tutakuwa tunajirudisha nyuma kwakuwa sababu mojawapo ya kuwa na kanda ni kuhakikisha kwamba shughuli za chama zinafanywa na wanachama wenyewe huko katika maeneo yao. Ukimchukua zitto ukampeleka kusini kama unavyotaka hiyo itakuwa ni kuwapora watu wa kusini haki yao ya kujiamlia mambo yao wao wenyewe, uamuzi huu wa kuunda kanda umezingatia ukweli kwamba maamuzi ya chama yasifanywe na mtu mmoja tu au watu wachache tu walioko makao makuu ndipo ikaamuliwa chama kishushe madaraka kwa wanachama wengi zaidi, na huu ulikuwa ni uamuzi uliopitishwa na baraza kuu ambalo lina wajumbe kutoka kona zote za nchi hii, ambapo wenyeviti na makatibu wote wa wilaya na mikoa ni wajumbe wa mkutano huo.
Na nimalizie kwa kukukumbusha kuwa haya ni maamuzi ambayo tuliyasubiri kwa muda mrefu sana na kwakuwa sasa yameanza kutekelezwa wajibu wetu ni kuyaunga mkono na si kuanza kulalama. Kama kweli watu wa kusini ama kanda nyingine yoyote wataona kwamba hawawezi kumudu majukumu ya kuwa na kanda wanaweza kutoa taarifa makao makuu ili uongozi wa taifa uchukue hatua za haraka na za makusudi kusaidiana nao kuhakikisha kwamba kanda husika inafanya kazi zake.
Unajua ulivyoanza maelezo yako hapo juu, nilishituka kidogo kuhisi nimepata wapi ujasiri wa kusema
"CHADEMA haina wanachama wa Chadema, na kama wapo hawana muda ama uwezo wa kutekeleza matakwa ya kikatiba ya chama na maagizo ya uongozi wa chama." Ukanilazimisha niyapitie maandiko yangu...nashangaa sijaona niliposema hivyo wala panapoashiria kusema hivyo! Should I sue Mods kwa kwa ku-edit my post....I don't think so, umeamua tu kwa makusudi kunilisha maneno but that's how politics work....failing to do so, u're done!
Back to the topic!
Binafsi nina uzoefu wa kutosha kwenye masuala ya Customer Service/Customer Relationship Management! Kule kuna kitu tunaita Customer Base...in order to survive in business and be ahead of others, you need not only to have customers but STRONG/POTENTIAL customers base! Stop politicising everything Maranya, you DON'T have STRONG customer base in Southern Province!! You have strong customers base in Arusha, Kilimanjaro, Manyara, Kigoma, Mwanza and Shinyanga! Technically speaking you don't have STRONG/POTENTIAL customer base even in Iringa and Mbeya or Kagera! What you have in later regions are just customers whom some are royal and some are not royal at all! Do you understand what I really mean when I say STRONG/POTENTIAL customers base? Let's take CUF as a case study! CUF has enough and royal customers in Unguja but where they've STRONG/POTENTIAL customers base is not in Unguja, but Pemba! Do you remember about KURA ZA MARUANI kule Pemba? If you didn't come in politics juzi juzi then I've no doubt kwamba unakumbuka! Kile ambacho kilitokea kule Pemba na Kura za Maruani kina-suggest kwamba Pemba wana STRONG customers base! Inachukiza kusema hivi, lakini ndio uhalisia kwamba hata ukisimisha Jiwe kule Pemba, CUF watapata kura nyingi kuliko CCM! Do you have that leverage sir?! Sana sana ninachokiona upande wa CHADEMA ni an unevenly customers network! Sikulazimishi kulikubali hili, sana sana ukifanya hivyo utakua tu ume-prove kwamba you're NOT a real politician in African Political Arena! And in fact, hiyo Kusini nimetoa kama mfano tu coz' I know at least some of you wanaweza kukubali ukweli kuliko ningeingiza na mikoa kama Singida, Dodoma, Taboraor or even Iringa!
Turudi kwenye suala la watu kama akina Zitto!
Suala sio kwamba huko mikoani kuna viongozi wazuri au hakuna.....issue hapa ni Positioning Strategy! Current erra politics need to be run like business! Unapoona kwamba you don't have potential customer base in certain locality then you need to deploy your resources to the area! When we talk about resources, we include Qualified, Commited and Tactical Human Resources as well!! You need influential politicians there at least over a specied time limit to make things done na sio wale waliokumbwa na upepo wa maandamano wakapewa kadi! Mtaingiza mamluki kwenye senior management team! I don't know how your organisation structure look like lakini if you've tactical business like organisation structure basi sina shaka kwamba Management team ya kanda ni part of Top Management structure ya chama! This's not all about introducing kanda za kichama mikoani! Do you know how potential the program is? If you don't, then mwisho wa siku mtaishia kulalamika kwamba mmeibiwa kura wakati uhalisia ni kwamba Kura zenu huwa hazitoshi!
TIP OF ADVICE:
You need to have a list of influential and committed members who're ready to work for the party no matter what! Hapa inabidi muwe makini....hapa JF naona members ambao ni very influential and tactical lakini sizani kama huko duniani wana mashiko yale yale waliyonayo hapa JF. Examples of those people ni Ben Saanane including yourself Mwita Maranya! Lakini si kwamba hao hawastahili kuwepo kwenye hizo Zonal organisational structure, NO! Wanastahili bali wanastahili kuwa Behind the Scene and not FRontline...! Members wanaopaswa kuwa frontline ni members like Zitto Kabwe, John Mnyika, Halima Mdee, John Heche and the like! Let the guys lead Zonal Management Teams na wala hiyo haimaanishi kuwanyima nafasi wakazi wa huko mikoani....by the way, kama wapo ni na influential, give them lakini isiwe ndo kanuni kwamba Zonal Management ziwe led na local residents!
Anyway, Is up to you guys, to follow it or not! However, the Vote Casting Ballot will release the final outcome endapo what you've in those mentioned areas ni customers base or just unevenly distribution of customers/supporters!