CHADEMA ishakufa kwa sasa

Kuna mtu alisema kabla ya 2020 Chadema itakua imekufa akatangulia yeye baada ya 2020. Kuna watu walimdhihaki Lowasa kabla ya uchaguzi 2015 wakaondoka wao. Tuendelee kusubiri.
 
CHADEMA haiwezi kufa kwa mtindo huo. Cha kushukuru ni kwamba, wanapoendelea kuiminya zaidi CHADEMA ndo wao wenyewe wanazidi kuogopa zaidi.
 
sasa hivi wamesajili chama kipya (provisinal registration), kinaitwa PIPOZ PAWA-NRNE (PP-NRNE)
kitaanza kushiriki uchaguzi 2030
 
Kwahiyo kwa akili zako na kwa haya inayofanyiwa ndo umeona imekufa?
Wanaogopa uwanja na mzani ulio sawa katika kufanya siasa.
Yani unajivunia kupigana ulingoni na mpinzani ambaye umemfunga kamba,umemziba macho n.k,halafu et unasema me naweza kupiga vizuri ona onaaa!

Akili ndogo kabisa hizi.
Stupid intellectual at the hill
 
Wewe umewahi kufanya harakati gani hadi umuone Mbowe hafai?
Bora mngempa uwenyekiti Kamanda Mdude kuliko tapeli Lissu
 
Lawama anatupiwa TAL
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Subiri huo mtikisiko wake siku ya uchaguzi kama mtaenda hiv hiv. Ndio mtajua cdm ipo na itakuwepo.
 
Kwa akili yako wewe Malaria 2 unahisi ni kwanini chadema inafanyiwa huu unyama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…