hexacyanoferrate
JF-Expert Member
- May 15, 2014
- 1,232
- 792
Na uvimbe upasuke...Mizoga kutoka ccm iko meza kuu ya chadema ngastuuka!
Unachekesha! Na nina wasiwasi sasa na thinking capacity yako nitapoteza muda tu kujadiliana na wewe, but ninachokwambia ni hakuna maendeleo au usawa chini ya utawala wa ccm. Ccm ni wanyonyaji wakubwa, walipo sasa hivi wanapigana wasitoke madarakani kwa hofu ya mambo waliyofanya. Mfano mkapa ameanza naye kampuni, anahofu ya kujakushtakiwa.
Msiwe na wasiwasi lowassa si mtu wa visasi!
Big don is not running for the GREAT office..mind you!
Chadema ni nyumba ndogo ya mafisadi?
I will never keep a stray dog and expect maxima Mhm! Unachuki binafsi na lowassa? Au wewe unauhusiano wa kindigu na moja ya mafisadi yaliyomo ccm? It's better a single dog than a group of hyenas inside!
Nikiwa kijana mzalendo nasikitika kuiona Chadema ikipewa nguvu na waliyemtambulisha kuwa FISADI PAPA.
Sitoandamana tena kwa kisingizio cha nguvu ya umma.
Kuing'oa CCM hakuwezi kuifanya chadema ijenge makao yake makuu!
Kudeki barabara wakati gheto lako limejaa uvundo hakutapumbaza wazalendo wa kweli kuchagua kilicho bora.
Kuwachukua vijana Ngarenaro ili wakafanye matamasha ya mafuriko sio jambo lililozoeleka kwa Chadema.
Naungana na Mwanakijiji kuwakataa wasanii na movie ya mabadiliko.
MY ASH TRAY HEART SAYS NEY!!!
Magufuli rekebisha 'SOMBRERO' uchape KAZI.
#HAPAKAZITU
I will never keep a stray dog and expect maxima Mhm! Unachuki binafsi na lowassa? Au wewe unauhusiano wa kindigu na moja ya mafisadi yaliyomo ccm? It's better a single dog than a group of hyenas inside!
Better of ...hundreds hyenas rather than Stray Dog!
Mabadiliko ni kuosha barabara na kuvaa chupi chafu?
Bura ni pombe kwa kiiraqw...stop yelling talk senseKwanini uumie na wakati wanao Fanya hayo awakuusu. Sawa makwao ni kuchafu...... Then what?????!!!!! Unaishi wewe au wao.... Huu muda bura ungeutumia kwa mtu wenu magufuli.... Malofa tuacheni na ulofa wetu.. Baasi
UDA pole mwambie aliyekutoma kakosea ukawa ni habari ya mjini
Nikiwa kijana mzalendo nasikitika kuiona Chadema ikipewa nguvu na waliyemtambulisha kuwa FISADI PAPA.
Sitoandamana tena kwa kisingizio cha nguvu ya umma.
Kuing'oa CCM hakuwezi kuifanya chadema ijenge makao yake makuu!
Kudeki barabara wakati gheto lako limejaa uvundo hakutapumbaza wazalendo wa kweli kuchagua kilicho bora.
Kuwachukua vijana Ngarenaro ili wakafanye matamasha ya mafuriko sio jambo lililozoeleka kwa Chadema.
Naungana na Mwanakijiji kuwakataa wasanii na movie ya mabadiliko.
MY ASH TRAY HEART SAYS NEY!!!
Magufuli rekebisha 'SOMBRERO' uchape KAZI.
#HAPAKAZITU
Nikiwa kijana mzalendo nasikitika kuiona Chadema ikipewa nguvu na waliyemtambulisha kuwa FISADI PAPA.
Sitoandamana tena kwa kisingizio cha nguvu ya umma.
Kuing'oa CCM hakuwezi kuifanya chadema ijenge makao yake makuu!
Kudeki barabara wakati gheto lako limejaa uvundo hakutapumbaza wazalendo wa kweli kuchagua kilicho bora.
Kuwachukua vijana Ngarenaro ili wakafanye matamasha ya mafuriko sio jambo lililozoeleka kwa Chadema.
Naungana na Mwanakijiji kuwakataa wasanii na movie ya mabadiliko.
MY ASH TRAY HEART SAYS NEY!!!
Magufuli rekebisha 'SOMBRERO' uchape KAZI.
#HAPAKAZITU