TEKNOLOJIA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 4,305
- 2,563
Imefika wakati sasa CHADEMA irudi kwenye misingi iliyokuwa ikiisimamia hapo awali kabla Mwenyekiti hajabadili gia angani, ambayo ni mapambano dhidi ya ufisadi na rushwa na kujitenga na wanasiasa ambao wana makando makando.
Kwasasa hivi Dr Magufuli anafanya kazi kubwa ya kupambana na genge la manyang'au lakini bado haitoshi, CHADEMA inapaswa kwenda mbele ya hapo kwa kumwambia Mh rais kwa mfano 'mbona flani na flani huwagusi?Tunataka pia uwashughulikie wale waliohusika katika kashfa za Richmond, EPA,Meremeta ESCROW, mabilioni ya Kikwete,Radar,mabilioni ya Uswisi,nk.
Inashangaza kuona CHADEMA wapo kimya,wanashindwa kumsukuma rais Magufuli na utawala wake pale anapoonekana ameshindwa kufika,inaonekana kama chama kimekosa sauti za kuaminika zakupigia kelele maswala ya ufisadi tangu walipomleta mtuhumiwa mkuu ndani ya nyumba.
Kwasasa hivi Dr Magufuli anafanya kazi kubwa ya kupambana na genge la manyang'au lakini bado haitoshi, CHADEMA inapaswa kwenda mbele ya hapo kwa kumwambia Mh rais kwa mfano 'mbona flani na flani huwagusi?Tunataka pia uwashughulikie wale waliohusika katika kashfa za Richmond, EPA,Meremeta ESCROW, mabilioni ya Kikwete,Radar,mabilioni ya Uswisi,nk.
Inashangaza kuona CHADEMA wapo kimya,wanashindwa kumsukuma rais Magufuli na utawala wake pale anapoonekana ameshindwa kufika,inaonekana kama chama kimekosa sauti za kuaminika zakupigia kelele maswala ya ufisadi tangu walipomleta mtuhumiwa mkuu ndani ya nyumba.