EMMA1
Member
- Jan 4, 2015
- 39
- 11
katika kuhakikisha iramba inakombolewa toka kwa wakolom
ni mweusi pamoja na kutoka kwa mwigulu nchemba leo kamanda lucy Emmanuel na Mgombea Ubunge Viti maalum Mkoa wa singida kupitia jimbo la iramba atafanya uzinduzi wa kampein katika kata ya Old Kiomboi ambaye mgombea udiwani wake kupitia chadema ni Haji Said
Update za matukio katika picha zitawajia
ni mweusi pamoja na kutoka kwa mwigulu nchemba leo kamanda lucy Emmanuel na Mgombea Ubunge Viti maalum Mkoa wa singida kupitia jimbo la iramba atafanya uzinduzi wa kampein katika kata ya Old Kiomboi ambaye mgombea udiwani wake kupitia chadema ni Haji Said
Update za matukio katika picha zitawajia