CHADEMA inavyoliangamiza Taifa!


Hujakua tu Kadogoo.
 
Mkuu halafu kwa nini arusha nadhani kwenye andiko lako kunakitu cha kujifunza mkuu.
 
Mkuu kilmanjaro kule kunandugu wengi vurugu zatawaathiri acha zifanyike arusha ambako hakuna mjomba,shangazi,bibi wala babu kazi kwao arusha wanapaswa kutafakari na kuchukua hatua.
 
akili yako ni ndogo saana ila SIYO KOSA LAKO MKUU BALI KOSA LA WAZAZI KUKULEA KATIKA MAZINGIRA YA KUTOKUJIAMINI NA ELIMU YA KUUNGA NA KUTUMIA MAJINA YA WATU POLE SANA ILE CCM WATAONDOKA TU.
 

Mawazo ya kijinga + upumbavu + ccm=ccm daima.
Ungekuwa timamu ungetuambia kwa mawazo yako kuna mikoa hapa tanzania ni ya mwisho kiuchumi je na huko chadema ndio tatizo?kama vile mkoa wa singida,wilaya ya bunda,wilaya ya bagamoyo.kondoa na nyingine nyingi tena hata chadema unaitafuta kwa tochi,kama ungekuwa timamu ungesema lamaana kuwa mikoa ama wilaya zisizo na upinzani ndizo zina hari ngumu kiuchumi kulko.
Kenya wana andamana,ufaransa wana andamana je tunawazidi uchumi? Ccm yenu mmekuwa majizi,maharamia,manyan'ganyi na madharimu mmeshindwa hata kutatua tatzo la madawati shuleni ni miaka 50 sasa,umaskini umekubuhu maradufu,enzi ya nyerere maadui walikuwa ni watatu ambao ni UJINGA,MARADHI na UMASKINI leo mnasema adui wa kwanza ni chadema je hayo ni matumizi ya akili?au makamasi?
Kwenu kusema ukweli ni dhambi kuliko mwizi wa madin,cdm wakiambia watz kuwa watoto wenu wanapewa bora elimu huku watoto wa wakubwa wanasoma ulaya,chama cha wajinga utawaskia wakibweka cdm wanapandikiza chuki wakati kinachosemwa ni ukweli,kama hutambui mabaya ya ccm kwa leo, utajua lini?jitambue hakuna mtu atawaza badala yako wewe.
 
Kuwa mwelewa co unaandika kwa ushabiki tu bila kufikiri, moshi halmashauri ccm walikubali kuiachia chadema ndio mana ni shwari, jiulize halmashauri ya arusha kunani mpaka wananga'ngana na kumpandikiza meya wa kichina
 
Kaka hongera kwa maono mapana nitakupigia simu tuongee mkuu.
 
tafuta hotuba ya mwalimu NYERERE alipo kuwa ansisitiza uwepo wa vyama vingi,alisema kuwa ukiona chama cha siasa tena cha upinzani kina kaa meza 1 na serikali tena kina anza kuisifia ujue kimepoteza sifa ya kuwa chama cha upinzani.so kosa la chadema kufanya kampeni za kuhitimisha kuwa kubwa au kosa ni polisi ccm kurusha risasi ovyo,rejea ushaidi wa mtoto aliyepigwa risasi na polisi akitokea madrasa
 

Tunashukuru umaitambua na umeitumia haki yako ya kikatiba kutuwekea utumbo humu
 
Karibu jamii forum. If that is your line of thinking you still have long way to go though
 
sna tatzo na cdm wana sera nzur sana ila kero yangu kubwa ni kwa nn kla kukicha vurugu wanazfanyia arusha kwa nn waszpeleke kwao moshi w r tyd na hz vurugu wakaarbu soko la utalii mosh penye kampun za kna mbowe na ndesamburo si arusha kila sku
 

Kwa hiyo Mkuu Kuwaachia CCM wachezee Nchi ndiyo uzalendo?Kuwakosoa tu ugaidi? mnang'ang'ani kama kupe.Nchi zote zilizotekeleza mauwaji ya kimbali yalitekelezwa na Vyama Tawala vilivyopigania uhuru havikutaka kabisa kuondoka madalakani vikaamua kuuwa raia wake vikidhani kwamba ni kujiimalisha visiondolewe madalakani.lakini viliondoka na nyinyi mtaondoka tu,usingeamini kama Mtu mweusi angeitawala afrika kusini na Marekani.
 
Ni mambo ya kusikitisha sana watanzania wanaumia wanawadanganya wanaandamana na hatimaye wanaumia.
jamani inasikitisha sana wenyewe wala wahamo watanzania wanauizwa halafu wanaleta mizaha na kuwahadaa
watanzania. Hivi mnafikiria amani ikitoweka mtaweza irejesha?

jamani tunaipenda nchi yetu. CHADEMA CHADEMA. Mnajua kabisa kile mkifanyacho sio sahihi
hivi mnajari kweli utu wa mtu.

inauma sana ukifikiria kwa undani.
hii nchi yetu tuweni na mshikamano tuacheni mambo haya nchi yetu
inahitaji maendeleo na amani ya kizazi hiki na kijacho

MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI AFRICA
 
yani umenena ndugu...tatizo watanzania wengi wana mgomo baridi wa kutotumia akili zao.....tusubiri tu.
 
Chadema wanataka nchi kwa kutumia mbinu zote wanazoweza. Jamaa wapuuzi kweli hawa.
 

Una kiwango gani cha elimu maana kauli yako inatisha na sikuelewi elewi, au na wewe ni Lumumba Project
 
najua hawawezi kukubali kuwa ndio wahusika lakini ukweli ni huu hapa chini :



Mambo yaliyotokea juzi nchini hasa arusha yana chimbuko lake...ni mambo ambayo hayaji hivi hivi na kwa gafla...yana mzizi wake . lengo la mambo yote haya tageti yake kubwa ni kuimaliza chadema kisiasa na kuhakikisha kufika mwaka 2015 kinakuwa chama jina. Huu ndio mkakati mahususi ambao uliasisiwa mwaka jana na deadline yake ni june 30 mwaka huu .
Kuna mambo mengi yametokea huko nyuma yenye kuwa na lengo la kuimaliza chadema .. na katika mambo hayo kulikuwa na mbinu nyingi zimetumika lakini zilishindwa na hazikufanikiwa kuzima na kuififisha chadema..


Baada ya hapo ndipo sasa ukabuniwa mkakati huu unaoendelea na ambao taget yake kubwa katika tukio la juzi ilikuwa ni kumuua mh.Mbowe. (unampiga mchungaji na kondoo wanatawanyika)...Bahati nzuri Mh.mbowe yuko hai lakini ajiangalie sana tena sana maana wamepania kummaliza. .


Kwa kuwa chadema imejipambanua kwa wananchi kuwa ni chama kinachotetea wanyonge na kinakubalika zaidi; hili ndani ya ccm halifurahiwi hata kidogo na hasa ikizingatia kuwa isingekuwa kufanya utaratibu mwingine mwaka 2010 katika uchaguzi wasingeweza kushika dola maana mshindi wa uchaguzi ule hakuwa kikwete.


Wafuatao ndio wanatakiwa kukamatwa mara moja na kama hawakatwi chadema na wananchi wanaolipenda taifa hili wahakikishe watu hawa wanavuliwa madaraka yao mara moja.


1. Emmanuel Nchimbi.....huyu ndiye anajua chanzo cha jambo hili na hasa tukio la juzi la ulipuaji bomu huko arusha.. anajua aliyesafirisha bomu toka china hadi kulifikisha nchini pamoja (mzizi)


2. Mwigulu nchemba...huyu ndiye aliyepewa maazimio ya utekelezaji na ufanikishwaji wa matukio hayo ya mlipuko na ahakikishe yanatekelezeka..akikamatwa huyu ataeleza kwa ufasaha pia namna alivyoipata kofia ya jeshi la china anayoonekana kuivaa hivi karibuni ..huyu ndiye mratibu .


3. Mtela mwampamba....huyu ameshirikishwa jambo hili na mwigulu nchemba ..kuna baadhi ya majukumu amepewa ikiwa ni pamoja na kuwalipa pesa vijana wanaotekeleza mashambulio hayo kupitia akaunti zao za benki.


4. Advocate Nyombi....huyu kama kiongozi mkubwa katika jeshi la polisi ndiye anahusika na kupanga mbinu za namna ya kutekeleza mashambulio na pia jukumu lingine ni kuhakikiha anapata vijana wanaoweza kuifanya kazi hiyo ambao wanatoka katika jeshi la polisi,


5. Afande pasua....huyu anahusika kwa kulisafirisha bomu hilo hadi arusha akitokea Dsm na pia ndiye anahusika na kuendesha gari lililowabeba walipuaji mara baada ya mlipuko kutokea hapo soweto


6. Afande benjamini.....huyu pia kama iliilivyo kwa afande pasua nae ni mmoja wa vijana waliotafutwa na nyombi. Huyu anahusika kwa kubeba na kusafirsha silaha (bastola &SMG) hadi arusha kwa gari binafsi na alipofika huko arusha alikutana na askari wengine watatu ambao ndio walikuwa wakirusha risasi siku ya mlipuko na mmoja alirusha bomu.


Ili kuzuia machafuko haya yasijirudie hawa watu ni muhimu wakamatwe mara moja ..la kama hawakamtwi basi wananchi hakikisheni wanavuliwa madaraka waliyo nayo vinginevyo haya mambo yataendelea na hakuna atakayekamatwa na watakuja na mbinu nyingine

Tarehe 10 /4/2015 ukiondoa Emmanuel nchimbi hawa wengine waliopo hapa katika list hii walikutana Dodoma na kupanga mbinu na kugawiana majukumu ya kufanikisha tukio la mlipuko na waliendelea kuwasiliana kwa njia za kielectroniki..
siku moja kabla ya kikao hiki kulikuwa na kikao kingine hapo hapo Dodoma kilichofanyika tarehe 9/4/2015 ambacho waliohudhuria kulikuwa na makada wengine ambao wamewahi kuwa chadema kisha kufukuzwa , waliohudhuria ni pamoja na:

1. Mwigulu nchemba
2. Henry matata
3. Mtela mwampamba
4. Adamu chagulani
5. Advocate nyombi
6. Afande pasua
7. Afande benjamini
Kikao hiki hasa kililenga kupanga ushahidi wa kesi zinazoendelea hasa za tukio la lwakatare na pia la kesi ya huko igunga ya umwagiaji tindikali.. ushahidi mwingi ulipangwa na kutungwa siku hiyo.
 
visauti vya kishetani utavijua tu......hata mtoto wa shule ya msingi anajua ccm kupitia polis ndio wanao vuruga aman katika taifa letu. ..wana wanawaondolea haki ya kuishi watanzania wenzao,
 
CDM wanataka kukukomboa kwa wakoloni!Tulia kama uko kwenye send-off!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…