CHADEMA inavyoliangamiza Taifa!

vijana wa LUMUMBA mkishapewa izo buku 7 mnafanya vitu bilathata kufikiri!!! Sasa unajua ulichokiandika?? Zinduka kijana usiandike habar bila utafit!! Huweo utumbo apa sio mahali pake peleeka FB
 
Najaribu ku avoid hawa watu wa buku 7 toka Lumumba.When you argue with a fool you will become a fool.
Niishia hapa maana sitaki kuwa juha kuwa na dialogue na huyu mwenye thread.
 
Mwenye asili aachi asili, ukabila, udini, na umimi hiyo ndio asili Yao CHADEMA.
 

hata kama nikikueleza hutajua kwasababu umekaa kubisha tu na kwamba haupo tayari kupokea mapya
 
watu wanaangalia issues kama vile
kumwagia watu tindikali
kulisha watu sumu
kujilipua kwa mabomu nk. hayo unayowadanganya watu eti kuisukuma serikali ni uzushi mtupu
Endelea na list yako basi.....1;Kuuza twiga uarabuni 2;kuiba fedha za umma mkiulizwa mnaziita vijisenti 3:,kuuza unga 4; kung'oa watu kucha,4;EPA,Merermeta,AnnBen,Kagoda,Ndiyoooooooooooooooooo!Wapigwe tu...endelea na list mkuu!
 
Kwa wasiotumia akili wataona umenena lkn ukweli ni kwamba wanawezaje kuliangamiza taifa wakati sio chama tawala? Chama tawala kinafanya nini mpaka taifa linaangalia wenyewe wanaangalia tuu?, CCM ndio wanaoongoza sasa iweje wengine CDM waangamize wao waangalie na kushangilia? mpaka hapo umejichanganya mwenyewe WANAO ANGAMIZA NI CCM:

Kwa jinsi CDM wanavyobambikiwa kesi ni wazi kabisa wakifanya makosa ndio kaburi lao. hiyo tu inaonyesha kuwa wako makini. kama wangekuwa wanauza unga wangeshafia jela siku nyingi maana wasingehangaika na kesi za kubambikia.

Ukiona mtu ambaye wewe unamdharau halafu anahesimiwa na kupendwa na watu zaidi yako basi ujue wewe Thamani yako ni ndogo kuliko ya huyo unayemdharau. WACHENI CDM ipendwe, iheshimiwe na kuthaminiwa na watu hata kama nyie CCM hamuipenda kinawauma nini?
 
 

Chadema wanaliangamiza Taifa kwa kuwahujumu Wananchi kwa Propaganda zao kwa Maslhi binafsi. Kwa mfano tarehe 1 juni Padri Slaa
 
Umeandika utumbo mrefu sana bila sababu. Taifa linaangamizwa na ccm na serikali yake kwa kung'ang'ania madaraka, kuendekeza rushwa na ufisadi, kutawala bila sheria, kukiuka katiba ya nchi, kujali maslahi ya watawala na mafisadi huku hakuna nia yoyote ya dhati ya kujali tabu za wa tanzania wa chini, na kung'ang'ania madaraka kwa miaka hamsini bila maendeleo. udanganyifu, uwongo, na ulaghai wa serikali kwa wananchi unajenga pengo kubw kati ya wananchi na serikali ya ccm. Mauaji ya raia wasio na hatia na mfumo wa utawala wa kifalme ni tabu kwa Tanzania ya leo na ya kesho.

Taifa hilil linaharibiwa na ccm kwa ujinga ujinga wa viongozi na u mangi meza wenu halafu unasema CDM. CDM kwa sababu inaweka hadharani maovu ya ccm ambayo hampendi yajulikane? CDM ambayo inawafungua watu macho na kuwapa elimu sahihi ili wajue haki zao za kiraia na kikatiba? CDM inaharibu nchi kwa sababu inakubalika kwa wananchi kuliko ccm? CDM inaharibu nchi kwa kuwa inaonekana kuwa na watu makini wenye uwezo wa kuratibu mipango bora, uitekeleza na kuisimamia ili kuboresha maisha ya wanyonge ambao ndio wengi?? Uharibifu huo ni kwa sababu sasa wananchi wengi wanapay attention kwa CDM kuliko ccm na mambo yake mafu?

WHAT YOU ARE NOT TRYING TO SAY NI UWEZO MDOGO WA CCM WA KUKABILI WIMBI LA USHINDANI TOKA CDM, NA KWA KUKOSA UBUNIFU WA KISIASA, MNATUMIA MABAVU NA FUJO AMBAZO ZINAHARIBU DIRA NZIMA YA NCHI NA KUANGAMIZA MAELFU YA WATANZANIA. WATANZANIA WANAKOSA MWELEKEO WANAZIDI KUWACHUKIA. UHARIBIFU WA NCHI UTAKWISHA TU PALE CCM MTAKAPOONDOLEWA MADARAKANI KWA NAMNA YOYOTE INAYOWEZEKANA. TULMECHOKA
 

hii ndo akili mgando. Mleta mada kabainisha kwa hoja zilizo wazi kabisa jinsi wanamagwanda wanavyoleta ubaguzi kwa kuendekeza uchama tu hata kwa mambo yaliyo wazi.Siwezi kusema chadema ni janga bali wanamagwanda wanaoichafua hapa kwa kubisha hata kwa mambo ya wazi.
 



Hauwezi na haiwezekani kwa mtu kama wewe kujiita Great Thinker wakati hauna jipya kwenye akili yako,kila wakati mnajadili CHADEMA hamna matukio ambayo ni tatizo kwenye taifa letu?

Vijana wanaojiona wao wasomi mawazo yao siku zote ni kuitangaza Chadema wakati hizo kazi za Uenezi kuna watu walioajiriwa maalum kwa kazi hiyo,lakini kwa watu kuwa na single face kama umeme ni kujadili Chadema inaonekana Chadema kinawanyima watu usingizi sana nchi hii hasa Vibaraka ambao hukesha humu jf kuandika siasa za maji taka,zitawasaidia nini?

Ifikie wakati mjadili matatizo na sio kujadili watu,unakuta mtu mzima na makengele yake anamjadili Dr Slaa,Mbowe,Mshumbusi,Lissu na anachojadili ni uongo,uzushi na umbea,

Tanzania imekuwa nchi ya vijana wambea wenye majungu,wasiopenda kazi,walalamishi ndio maana wanatumiwa kusafirisha madawa [Drug Muller] sababu hawataki kuumiza kichwa kufikiria afanye nini yeye anataka maisha rahisi,na njia za mkato,kama kumeza pipi,kupanda ndege hata kama anaenda kukamatwa hajui,

Vijana tujitambue,majungu,fitina,uongo kusema watu sio suluhisho la maisha magumu uliyonayo

Amka ujitambue
 
Mtoa mada kama uko CDM ondoka humo utafute chama kingine kitakachokufaa. Jaribu kujiunga na ccm ambao wanapitisha kodi ya kutuma pesa kwenye simu, intaneti kwenye simu, whatsApp kwenye simu, kuongeza kodi kwenye muda wa kupiga simu, na kodi kwenye sim card. Walipitisha hayo Bungeni kwa kishindo na kupiga meza wakati Wabunge wenzao wa CDM na NCCR wakisusia kwa kutoshiriki dhuluma. Sheria waliyoipitisha ilipoanza kutekelezwa upepo ukaanza kuwavumia vibaya ccm, wakaanza kukilaani (kupitia Nape) kitu walichokipitisha kwa kishindo na sasa wanataka eti kodi ya simcard tu (ambayo ni ndogo ukilinganisha na hizo nyingine nilizozitaja) ndio iondolewe. Hizo nyingine nilizozitaja hapo juu hawazisemi, kwa maana ziendelee. Kama sio kutuzuga ni nini? Kajiunge kule pengine utapewa buku 7 kwa uchafuzi kama wenzako wa humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…