CHADEMA inapoichezea CCM "off side trick"



Kwangu mimi alichokisema Prudence na unachokisema havina tofauti.
 
Lengo lake si kuzungumzia mpira, 'off side trick' was just a carrier of the message but the message delivered.
 
mimi aomba amani tu na sipendi lugha chafu na za uchochezi.

Kwa bahati mbaya au nzuri, hizo "lugha chafu na za uchochezi" ndio zitakuletea "amani" ya kweli. Makaburu walikuwa wanasema ANC ni "wachochezi", na hadi karibuni tu Nelson Mandela alikuwa categorised "terrorist" na Serikali ya Marekani. unaposema AMANI, wenzio tunaongelea ile hali inayokuwapo katika jamii ambapo HAKI inatawala, na siyo utaratibu ambapo wanyonge huliwa na wenye nguvu, na wanatakiwa waseme "HEWALLAH". Kisa? Amani! kwa hiyo jamaa akikudunga sindano akaweka mrija wake akawa anayonya damu yako taratiibu, we ukianza kuhangaika uutoe mrija huo jamaa analalamika "acha uchochezi wee! tunataka amani na utulivu hapa!" kwa hiyo mapambano lazima yawepo ili tuelewane vizuri kwamba kuwanyonya wanyonge kuna mwisho. haiwezekani serikali ya CCM iruhusu wizi kama wa Kagoda na Meremeta, ambao mpaka leo Pinda mwenyewe kasema hawezi kuzungumzia asilani, halafu wooote tukae kimya tu. akina Hafifu kaeni kimya, sawa ni uamuzi wenu, lakini tuacheni tupambane nao hawa jamaa. tukimaliza tutaongea nanyi. mnawasemea mkiwa kama nani? washirika wao?
 
Good work, good presentation and good follow up of issues
 
Sisiemu wasipoangalia watakuwa wanatekeleza sera za CDM badala ya Sera za CCM

Na miaka mitano itapita bila wao kuwa wametekeleza sera yao hata moja. Kisha wataanza kuilaumu cmd
 
 
Chadema tunawahitaji hapa Dar muandae maandamano. Sisi wengine wahamasishaji.
 

Crap!

Kwa taarifa yako Tanzania hakuna udini wala ukabila ila Wana CCM wanataka kulazimisha kwamba upo na kuwa CDM ni chama cha wakristo na kuwa Waislam wasikifuate! Kwa Hili CCM wamethibitisha uongo kwa mwitikio mkubwa ktk maandamano yote ya CDM bila kujali dini ya washiriki.
Kama CDM walikuwa na ukabila usingekuta mchanganyiko wa makabila ktk uongozi.
 
Kwa hilo ni lazima CCM wasalimu amri! Ile mbinu yao ya kutumia wabunge kupayukapayuka kama wanyama pori imeshindikana!!


thank you kilemi! mahakama ya umma is everything.....scatistically, wabunge are just samples (n) representing whole population (N). we can not assume that always n potrays the true colors of the population N. Sampling errors can be done on the process resulting in wrong output hence wrong representation. Such wrong output comes out of sampling errors such as 1. engaging relatively low sample 2. not caring of the strata of the population 3. heterogeneity or heterogeneity of the population etc. etc. Most of CCM MPs are samples not representing the majority being functional of uchakachuaji (tempered Sampling)!- these demonstrations are only way to prove out that elections in Tanzania are suffering from TYPE I ERROR!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…