Jana nilikuwa katika jimbo la ubungo mahali kijiweni tunapiga story na washkaji. nikawaambia kwanini msifungue tawi la cdm hapa? wakaona wazo zuri. nikatafuta daftari tukaanza kuorodhesha majina. tulizunguka kama nusu saa tukapata wafuasi 125. nikaona cdm tu inakosa organisation ila ina watu. tunatafuta siku ya kuzindua tawi na kugawa kadi tuna mategemeo ya kuwa na zaidi ya members 500