CHADEMA Inaongoza nchi Indirectly

sera za kipumbavu ni zile za kutembea na sumu hadi bar ili uwekee wenzako kwenye vinywaji
 
Kweli hata kipindi kile CHADEMA walipoweka shinikizo bungeni hata wakatoka nje, waziri wa sheria alikuwa Celina Kombani akachemsha kwa kupingana kauli na rais. CHADEMA walikwenda ikulu wakaongea na rais umuhimu wa katiba mpya mpaka kimeeleweka!

mkuu pale kwenye red walikwenda kunywa kahawa ya ikulu
 
Kweli hata kipindi kile CHADEMA walipoweka shinikizo bungeni hata wakatoka nje, waziri wa sheria alikuwa Celina Kombani akachemsha kwa kupingana kauli na rais. CHADEMA walikwenda ikulu wakaongea na rais umuhimu wa katiba mpya mpaka kimeeleweka!

juice ya ikulu iliwafanya waende ikulu wala sio katiba, angalia vizuri kwenye meza karibu na kwa Dj mbowe
 

jamani tuache kutafuta sifaa zisizokuwa na mashiko. Ndio chadema walichagiza kupatikana kwa katiba ila katiba sii ya chadema na walichagiza kwa maslahai yao binafsi which happens to be also maslahi kwa watanzania wote na sifa kwa kikwete. This is win win win situation. Mimi naona unachokitafuta wewe ni win lo0se, loose situation. Hapo meno yotee utakenua.

Sifa mpeni mhe. Rais ni haki yake na kweli anastahili na mwisho msisahau anapenda.. Sasa mpaka sifa mnataka msifiwe nyie chadema that is too selfish.. Nyie ni waanzilishi na wachagizaji be there we need you

rais ana nafasi yake mpeni haki yake. Ccm wanataka katiba ielekee upande wao sasa hapo ndipo chadema mnahitajika. Muda wa kupeana sifa na kugonga glass kwa chadeama bado sanaa na sioni mnakoutoa... Kazeni buti tunataka katiba iliyotulia ya kisasa kama au zaidi ya majirani zetuu kenya
 
Hii inaitwa DHANA YA RASIMU SIFURI YA MAPENDEKEZO YA WADAU KUHUSU KATIBA MPYA YA JAMHURI YA SHIRIKISHO LA TANZANIA.
 
Chama Tawala chenye kutekeleza sera za Chadema. Naunga mkono hoja.
 
sera za kipumbavu ni zile za kutembea na sumu hadi bar ili uwekee wenzako kwenye vinywaji
Kutembea na sumu si hoja mbona hata machinga wanatembea nazo mitaani tena wakizinadi na vipaza sauti? Hivi na wale wanaong'oa watu kucha na meno bila ganzi ni wa upande gani mkuu?
 
hata hii katiba mpya ilikuwa sera ya CDM tena ya kwanza kabisa katika ilani yao ya uchaguzi ya 2010. Inaruhusiwa copy /paste cha msingi tu mambo yawe mazuri kwa manufaa ya watanzania wote.

Haswaaa.
CCM wanaruhusiwa ku copy na ku paste mazuri ya wenzao
 

serikali za kidikteta wewe sasa hivi ungekuwa jela, hayo maneno umeyanukuu wapi?
 
Huyu habariyamujini kila anaponijibu kwenye posts zangu naona huwa anajibu kitu tofauti kabisa na anakuwa anajibu haraka sana hata kama Post imeenda shule kiasi gani nikajua labda ananifanyia mimi tu ili kunifanyia fujo humu JF, lakini katika thread hii nimejaribu kufuatilia michango yake katika post za watu tofauti nimegundua ni mpuuzi tu fulani aliyedhamilia kuifanya JF ionekane ni forum ya mahayawani, nimeamua nimuweke rasmi kwenye Ignore list yangu.

Post

Majibu
sera za kipumbavu ni zile za kutembea na sumu hadi bar ili uwekee wenzako kwenye vinywaji

Post
Kweli hata kipindi kile CHADEMA walipoweka shinikizo bungeni hata wakatoka nje, waziri wa sheria alikuwa Celina Kombani akachemsha kwa kupingana kauli na rais. CHADEMA walikwenda ikulu wakaongea na rais umuhimu wa katiba mpya mpaka kimeeleweka!

Majibu
mkuu pale kwenye red walikwenda kunywa kahawa ya ikulu

Post
Kweli hata kipindi kile CHADEMA walipoweka shinikizo bungeni hata wakatoka nje, waziri wa sheria alikuwa Celina Kombani akachemsha kwa kupingana kauli na rais. CHADEMA walikwenda ikulu wakaongea na rais umuhimu wa katiba mpya mpaka kimeeleweka!

Majibu
juice ya ikulu iliwafanya waende ikulu wala sio katiba, angalia vizuri kwenye meza karibu na kwa Dj mbowe
 
Kutembea na sumu si hoja mbona hata machinga wanatembea nazo mitaani tena wakizinadi na vipaza sauti? Hivi na wale wanaong'oa watu kucha na meno bila ganzi ni wa upande gani mkuu?

unafikiri mng'oa watu kucha na mtembea na sumu watu wawili tofauti? Ndiye huyo huyo aliyetaka kumwekea kubwa Kabwera sumu ndiye anayetekeleza vitendo hivyo vya kinyama, tusimtafute mchawi mwingine
 

Yaani MODs hamuoni kwamba rasimu ya Katiba inachezewa kwa ku-editiwa? hakika hili litaufunga huu mtandao na tunaweza kuukosa.
 
Hii inaitwa DHANA YA RASIMU SIFURI YA MAPENDEKEZO YA WADAU KUHUSU KATIBA MPYA YA JAMHURI YA SHIRIKISHO LA TANZANIA.


VYMOMBO VYA ULINZI TUSAIDIENI HUYU MTU AKAMATWE hii attachment aliyoiweka hapa kuwa ndiyo rasimu ya katiba ni feki huu ni uhaini mkubwa-mjumbe tume katiba mpya.
 
Mkuu huyo hayuko peke yake, ukitaka kuamini nilisemalo angalia hao wanaoni-Reply with Qute hapo juu. Utagundua ni wale wale wa kuwekwa kwenye "ignore list".
 
Mkubwa polepole nilitaka kujua wangapi wamesoma rasimu, ha ha ha.
VYMOMBO VYA ULINZI TUSAIDIENI HUYU MTU AKAMATWE hii attachment aliyoiweka hapa kuwa ndiyo rasimu ya katiba ni feki huu ni uhaini mkubwa-mjumbe tume katiba mpya.
 
chadema walishasema hawamtambui rais kiliwapeleka nini ikulu ndo ujue kwamba walikosa pakutokea ikabidi wakapige magoti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…