Ni mtazamo wangu. Sina mashaka na Muungano wa vyama hivi. Shida yangu ni mfumo wa ndoa yao.
Uchumba wao sijauelewa vizuri, nani mke na nani mme.
Maana hapo zimeungana nguvu mbili, nguvu ya .... Na kiliberali. Nasubiri kuona uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kama ndoa itakuwa salama.
Naomba mwenye uzoefu na Mambo haya atusaidie historia ya Muungano wa Mafahari zaidi ya wawili na Mwisho wake. Upinzani Tanzania unakufa,. Muungano ungekuwa Mzuri wangeanzisha chama Kingine na kuua vyote vya awali. Lakni kwa mkutadha huu ni usanii.
Uchumba wao sijauelewa vizuri, nani mke na nani mme.
Maana hapo zimeungana nguvu mbili, nguvu ya .... Na kiliberali. Nasubiri kuona uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kama ndoa itakuwa salama.
Naomba mwenye uzoefu na Mambo haya atusaidie historia ya Muungano wa Mafahari zaidi ya wawili na Mwisho wake. Upinzani Tanzania unakufa,. Muungano ungekuwa Mzuri wangeanzisha chama Kingine na kuua vyote vya awali. Lakni kwa mkutadha huu ni usanii.