Mkuu Amavubi kuna dada katia nia huko lkn sio vibaya ukatumia haki yako kuingia kwenye kinyang'anyiro ila sikushauri kupitia ccm hao ni hodari wa mizengwe
sijakupa LIKE sababu U CHADEMA bali kwa kuondoka kizani
Waongo hao kama inakubalika mbona walichagua mbunge wa ccm bomu tena papa mteketa .Wandaba wa wapogoro wanafiki sana wakipewa pombe ya mpunga tayari wanachagua CCM
hii inaitwa Inductive Reasoning twiner
Nitafsirie mkuu chadema bdo haijanipa kozi y kizungu
Nitafsirie mkuu chadema bdo haijanipa kozi y kizungu
Wana bodi, kwetu ni kidatu-Kilombero. Ninakubaliana na mleta mada 100% Chadema inakubalika mno huku. Nimezaliwa, nimesomea, nimejengea huku na wazazi wangu wanaishi huku (Chicago- Mkamba).
Tuna matatizo na kero nyingi sana ambazo zingeweza kutatulika kama chama tawala wangekuwa na nia ya kusikiliza na kutatua. Lakini wametudharau kwa kiasi kikubwa hivyo nasisi wana Kilombero hatuna sababu ya kuwa wana CCM.
Tunaipenda Chadema, tunaipa support Chadema na tutaichagua Chadema.
Kilombero - Chadema Forever
Wana bodi, kwetu ni kidatu-Kilombero. Ninakubaliana na mleta mada 100% Chadema inakubalika mno huku. Nimezaliwa, nimesomea, nimejengea huku na wazazi wangu wanaishi huku (Chicago- Mkamba).
Tuna matatizo na kero nyingi sana ambazo zingeweza kutatulika kama chama tawala wangekuwa na nia ya kusikiliza na kutatua. Lakini wametudharau kwa kiasi kikubwa hivyo nasisi wana Kilombero hatuna sababu ya kuwa wana CCM.
Tunaipenda Chadema, tunaipa support Chadema na tutaichagua Chadema.
Kilombero - Chadema Forever
Wana bodi, kwetu ni kidatu-Kilombero. Ninakubaliana na mleta mada 100% Chadema inakubalika mno huku. Nimezaliwa, nimesomea, nimejengea huku na wazazi wangu wanaishi huku (Chicago- Mkamba).
Tuna matatizo na kero nyingi sana ambazo zingeweza kutatulika kama chama tawala wangekuwa na nia ya kusikiliza na kutatua. Lakini wametudharau kwa kiasi kikubwa hivyo nasisi wana Kilombero hatuna sababu ya kuwa wana CCM.
Tunaipenda Chadema, tunaipa support Chadema na tutaichagua Chadema.
Kilombero - Chadema Forever
unayajua malori yaliyoandikwa Master ONE? unayajua vizuri? yanabeba nn? ni ya nani? yanawafaidia nn?
Sasa mbona ulikuwa una disqualify ujumbe wa mleta post kuwa hajafanya utafiti bali udadisi....? Kwa hiyo kbbilombero ni kanda gani we gamba?