JBravo_Bmlo
Member
- Aug 22, 2011
- 9
- 1
Kulingana na Mapenzi ya WanaBiharamulo, wanazipenda sana sera za CHADEMA hasa ukizingatia ni mambo mangapi ambayo CHADEMA wameyamulika na hivyo kuleta msisimko kwa wananchi na kuwaamsha akili.
Huu ni Mtizamo wangu na kwa jinsi niyaonavyo mambo hapa Biharamulo, Kuna Mtu mmoja nimekutana naye jana tarehe 22/08/2011, nikawa namuuliza anadhani CHADEMA wana uwezo wa kuiongoza Biharamulo na kuipatia maendeleo yaliyokosa takribani tangu enzi za Mkoloni? Du? Nina hamu sana wala usiulize ya kitu gani!!!
Huu ni Mtizamo wangu na kwa jinsi niyaonavyo mambo hapa Biharamulo, Kuna Mtu mmoja nimekutana naye jana tarehe 22/08/2011, nikawa namuuliza anadhani CHADEMA wana uwezo wa kuiongoza Biharamulo na kuipatia maendeleo yaliyokosa takribani tangu enzi za Mkoloni? Du? Nina hamu sana wala usiulize ya kitu gani!!!