CHADEMA inaitia hasara Serikali

Intelligence inatuambia knowing an existence of a problem is one step ahead of solving the problem. Wameshawajua jinsi walivyo empty headed kwahiyo wanawachezea watakavyo. Huree the great strategist of cdm
wamekua midoli ya chadema
 
N
Mani ahangaike na chama kilichojifia kimebaki kinasubilia makapi ya ccm. Subilini 2020 mtakabobakiwa na wabunge watatu bungeni ndo mtajua wananchi wamewachoka kwa matusi na maigizo yenu. Hamjajifunza tu 23/1
 
chadema hasa bavicha wanatakiwa waripoti central kwa tabia yao hii mbaya ya kuhangaisha wanaume wazima usiku na mchana.. haaaa
 
Sasa nimeamini ngada imeadika na bhange imepanda bei
 
Serikali inatafunwa na siasa mbovu badala ya kutumikia wananchi.
 
Kweli akiri makalioni. serikali haifanyi hayo kuua chadema ni sehemu ya kazi yao na posho zinaliwa na hao ccm unao wasema wapo madarakani wewe upo mtaani hayo matumizi ya fedha ni kodi yako na wajomba zako, hao askari wanalipwa posho maisha yanaenda ulie tangaza ukuta ni wewe uliye ahirisha ni wewe nani mwenye hasara. Chadema ya kuhurumiwa kwa akiri kama hizi yaani mpaka sasa hamjui aliye watangazia ukuta alikuwa anatishia serikali isimdai kodi bdo aka kwama mtaburuzwa na mbowe mpaka mkome.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…