CHADEMA inaitia hasara Serikali

Usiloiju ccm wanfitna sana na hamjazibaini bado,,mnachukulia juu juu ila ccm wanaanzisha janga nanyi bila kujua kichwa kichwa mnaingia.. Hapo ndio mnapigwa bao
ccm IPI unazungimzia, ccm ilikua ya kina nape, mwigulu, kinana, na yule mzee wa njombe. ccm ya makonda na polepole lazima ife...
 
Wewe jamaa ni mkali sana
 
Umeiona hii ya leo Taifa??
Idadi ya Askari inalingana na idadi ya mashabiki, kisa tu wamesikia kuna Wana-Yanga watachoma kadi za CCM hadharani na kujiunga CDM sababu ya kukamatwa Mwenyekiti wao.
 
Umeiona hii ya leo Taifa??
Idadi ya Askari inalingana na idadi ya mashabiki, kisa tu wamesikia kuna Wana-Yanga watachoma kadi za CCM hadharani na kujiunga CDM sababu ya kukamatwa Mwenyekiti wao.
haaaaa,
 
#1 inanikumbusha mpk malaika mdogo nae akaleta program ya kupanda miti kisa ukuta, FFU kufanya mazoezi kuliko kawaida nk nk
 
Kuna kaniambia Chadema wamejumlisha kura za Lowassa Million Sita na za Followers 2.8 Million za Wema sasa wanashangilia ushindi wa 2020!
Big issue ni je, kutakuwa na fair play?
 

BAADA YA KUSIKIA LOWASSA ANATIA TIMU UWANJA WA TAIFA
 
Mkuu amelewa power hataki kuelewa, yupo ikulu kakunja 4 anatoa order tu,,
 
Chadema siku zote wanatumia zaidi Akili,Wenzao siku zote wanatumia Nguvu!!!
 
Intelligence inatuambia knowing an existence of a problem is one step ahead of solving the problem. Wameshawajua jinsi walivyo empty headed kwahiyo wanawachezea watakavyo. Huree the great strategist of cdm
 
CHADEMA ngome imara, makini na yenye watu wenye akili nyingi sana, wanandaaa pambano na mpinzani anajiandaa vilivyo yani anawekeza kwenye zoezi la pambano alafu baadae wanasusia wakati mpinzani ameiva na watu wamebet hahaha hii ni hasara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…