chadema inahitaji msaada wako

chadema inahitaji msaada wako

Kaka mwisho

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2011
Posts
408
Reaction score
182
pamekuwa na maneno mengi sana kuhusu chama cha chadema kinavyoendesha shughuli zake. Tunawaomba wenye mapenzi ya dhati na chama chetu mtuambie chochote ambacho si kizuri kwa maendeleo ya chama NA NINI TUFANYE ILI CHAMA KIZIDI KUWA IMARA ILI IFIKAPO 2015 KISHIKE DOLA KWANI UWEZO NA NIA KINAYO. PEOPLE'S POWER FOREVER
 
acheni udini, ukabila, ukaskazin na huyo kijana ache ufisadi maana ruzuku yote inaishia kwenye matumbo ya watu na sio kujenga chama.halafu tabia ya kumchamfua zitto kwa kuhofia uwezo acheni.
 
mambo mengi yanayozungumzwa ni kudakia kwan y vibaraka humu ndan na vibaraka wa ccm! naona haina umuhimu saana!
 
hv kwa nin kuna vijamaa humu jf vina udin vinapandhkizia kwa cdm ngoja mgombea wa ccm awe mkristo cjui vitaenda wap duu!
 
Tuambie basi wapi tunapaswa kupeleka maoni yetu? Kuyaweka hapa nomaaaa magamba watayachota kama yalivyo na kuyafanyia kazi (si unajua hawana sera wanangoja kuona CHADEMA inafanya nini ili nao waige) .

Mie yangu nimeshafikisha baadhi na bahati nzuri niliyemtumia ameyapokea vizuri sana na kunipa moyo zaidi wa kuendelea kufanya hivyo.


pamekuwa na maneno mengi sana kuhusu chama cha chadema kinavyoendesha shughuli zake. Tunawaomba wenye mapenzi ya dhati na chama chetu mtuambie chochote ambacho si kizuri kwa maendeleo ya chama NA NINI TUFANYE ILI CHAMA KIZIDI KUWA IMARA ILI IFIKAPO 2015 KISHIKE DOLA KWANI UWEZO NA NIA KINAYO. PEOPLE'S POWER FOREVER
 
nashauri fedha ikiruhusu ifunguliwe redio CDM , Ambayo wadau watapendekeza jina hapa, iwe inapatikana nchi nzima kama RFA ,hii itasaidia sana kukifikisha chama vijijini
 
Tuambie basi wapi tunapaswa kupeleka maoni yetu? Kuyaweka hapa nomaaaa magamba watayachota kama yalivyo na kuyafanyia kazi (si unajua hawana sera wanangoja kuona CHADEMA inafanya nini ili nao waige) .

Mie yangu nimeshafikisha baadhi na bahati nzuri niliyemtumia ameyapokea vizuri sana na kunipa moyo zaidi wa kuendelea kufanya hivyo.

hakuna shida chadema mwendo huo huo .ila wajitaida kukwepa kesi zakutungwa .kwani sasa ccm wamegeuka waainjilisti na hiyo kisiasa ni dalili za kufilisika kisiasa .wanatafuta paa kujishika .
 
Tuambie basi wapi tunapaswa kupeleka maoni yetu? Kuyaweka hapa nomaaaa magamba watayachota kama yalivyo na kuyafanyia kazi (si unajua hawana sera wanangoja kuona CHADEMA inafanya nini ili nao waige) .

Mie yangu nimeshafikisha baadhi na bahati nzuri niliyemtumia ameyapokea vizuri sana na kunipa moyo zaidi wa kuendelea kufanya hivyo.

hakuna shida chadema mwendo huo huo .ila wajitaida kukwepa kesi zakutungwa .kwani sasa ccm wamegeuka waainjilisti na hiyo kisiasa ni dalili za kufilisika kisiasa .wanatafuta paa kujishika .
 
Acha ufinyu wa kufikiri kabla ya kuja humu Ndg yangu!


acheni udini, ukabila, ukaskazin na huyo kijana ache ufisadi maana ruzuku yote inaishia kwenye matumbo ya watu na sio kujenga chama.halafu tabia ya kumchamfua zitto kwa kuhofia uwezo acheni.
 
cdm m4c tutashinda tu cha msingi na kikubwa cdm chama changu ambacho nina imani nacho kifanye juhudi za makusudi kuondoa chuki ya udini ulio pandwa 2010 kupitia maneouver ya simu na nyumba za ibada cdm m4c.
 
acheni udini, ukabila, ukaskazin na huyo kijana ache ufisadi maana ruzuku yote inaishia kwenye matumbo ya watu na sio kujenga chama.halafu tabia ya kumchamfua zitto kwa kuhofia uwezo acheni.

We ni mgonjwa wa brain.
 
acheni udini, ukabila, ukaskazin na huyo kijana ache ufisadi maana ruzuku yote inaishia kwenye matumbo ya watu na sio kujenga chama.halafu tabia ya kumchamfua zitto kwa kuhofia uwezo acheni.
Hakuna ukabila na ukasikazini ndugu yangu CHADEMA ni ya watanzania maana kila pembe ya nchi kimekubalika, Pwani kawe na Ubungo, Kaskazini Arusha na Moshi, Kanda ya Ziwa Mwanza na Shinyanga na hata Musoma, Magharibi, Mpanda na Kigoma, Nyanda za Juu Mbeya na Iringa, Kati Singida sasa nchi wewe unaigawaje? Labda mimi sielewi nieleweshe
 
Hakuna ukabila na ukasikazini ndugu yangu CHADEMA ni ya watanzania maana kila pembe ya nchi kimekubalika, Pwani kawe na Ubungo, Kaskazini Arusha na Moshi, Kanda ya Ziwa Mwanza na Shinyanga na hata Musoma, Magharibi, Mpanda na Kigoma, Nyanda za Juu Mbeya na Iringa, Kati Singida sasa nchi wewe unaigawaje? Labda mimi sielewi nieleweshe
safi sana mkuu kwa kutoa ufafanuzi,maana majingajinga mengi yanapandikiza chuki ili wtz tuikose imani kwa chama kiongozi.CDM MWENDO MDUNDO MPAKA KIELEWEKE.
 
Hakuna ukabila na ukasikazini ndugu yangu CHADEMA ni ya watanzania maana kila pembe ya nchi kimekubalika, Pwani kawe na Ubungo, Kaskazini Arusha na Moshi, Kanda ya Ziwa Mwanza na Shinyanga na hata Musoma, Magharibi, Mpanda na Kigoma, Nyanda za Juu Mbeya na Iringa, Kati Singida sasa nchi wewe unaigawaje? Labda mimi sielewi nieleweshe

tatizo chadema hawataki uongozi wa juu uchukuliwe na watu kutoka sehemu nyingne tofauti na arusha na kili.
 
hv kwa nin kuna vijamaa humu jf vina udin vinapandhkizia kwa cdm ngoja mgombea wa ccm awe mkristo cjui vitaenda wap duu!

Acha unafki wataje .. matatizo ya CDM ni 3

a ) Udini "tatizo kubwa sana" ---- chadema ni anti Muslims ( FACT)

B) Ukabila

c) Ukanda
 
pamekuwa na maneno mengi sana kuhusu chama cha chadema kinavyoendesha shughuli zake. Tunawaomba wenye mapenzi ya dhati na chama chetu mtuambie chochote ambacho si kizuri kwa maendeleo ya chama NA NINI TUFANYE ILI CHAMA KIZIDI KUWA IMARA ILI IFIKAPO 2015 KISHIKE DOLA KWANI UWEZO NA NIA KINAYO. PEOPLE'S POWER FOREVER
Ungejitambulisha kwa jina lako la ukwlei tungekuelewa zaidi..
 
Muache kujiona munajua kila kitu. muache majivuno , vibri juu ya maamuzi ya watu! mfano uamuzi wa wazanzibari kuunda serikali ya umoja wa kitaifa. inaonekana CDM hamukupendezewa! na munanasabisha na ndoa ya ccm na cuf! udini umetawala mno hata kujilabu na ukatoliki! nakumbuka hata rais amewahi kuitwa shetwani kisa ni muislam ! uchaguzi uliopita CDM mulifanya udini wa wazi! lazima murejeshe mahusiano na cuf ndio wenye karata ya ushindi wa wapinzani!
 
udini CDM NI UPI? UDINI NA UKABILA UNATUMIWA NA CCM KUISAMBARATISHA CHADEMA LAKINI MUDA SI MREFU HIZI PROPAGANDA CHAFU ZITASHINDWA,WATANZANIA WATAUJUA UKWELI. KAMA CHADEMA NI WDIDINI(UKIRISTO) ZITO, PROFESA SAFARI, SAID ARFI,HALIMA MDEE, NA MWANZILISHI BOB MAKANI NI WAISLAMU,

SWALA LA UKANDA SI ISSUE KWANI CHAMA KIKIANZISHWA LAZIMA KIANZIE SEHEMU MOJA YA NCHI ALAFU KISAMBAE NCHI NZIMA, VIVYO HIVYO TANU ILIANZIA PWANI (DAR) IKASAMBAA NCHI NZIMA

PROPAGANDA ZA UKABILA NCHI HII HAZIKUANZA LEO MIAKA YA NYUMA ZILIWAHI ENEZWA DHIDI YA KABILA MOJA KUTOKA KANDA YA ZIWA IKAFIKA PAHALA WATU WAKAACHA KUTUMIA MAJINA YAO YA ASILI INGAWA HAISEMWI SANA ILA WAMETESEKA SANA NA HIZI PROPAGANDA CHAFU NA T-HATUJUI WAMEUMIZWA KISI GANI NA HIZI PROPAGANDA MUFILISI.

SASA NI ZAMU YA WATU WA KASKAZINI, HATUJUI KESHO WATAHAMIA WAPI, NADHANI WATAENDA KANDA ZA JUU KUSINI KWA AKINA DK. ULI.....

MNAOSHADADIA UDINI NA UKANDA WA CHADEMA! SISI WATANZANIA HATUWAELEWI! MIMI NI MWISLAM NA NA NATOKEA KANDA YA ZIWA. NAWAKUBALI CHADEMA,HAIJALISHI KAMA MWANZILISHI WA CHAMA HIKI ANOTOKEA KASIKAZINI, KWANI SI MTANZANIA??? NA VILE VILE HAIJALISHI KAMA CDM KINAUNGWA MKONO NA WATU WENGI KUTOKA KASIKAZINI.

NI KWA SABABU WANA UWEZO MKUBWA WA KUPAMBANUA MAMBO KWA HIYO NA SISI WATANZANIA WENGINE TUWAUNGE MKONO.ILI CHAMA KISAMBAE NCHI NZIMA

SIJAWAHI KUSIKIA MTU ANAYETAKA KADI AU KUGOMBEA UONGOZI NDANI YA CDM ANULIZWA DINI AU KABILA WALE WANAO DAI CDM WAKABILA NA WADINI WAWE WA KWANZA KUCHUA KADI AU KUGOMBEA UONGOZI KULIKO KULALAMIKA KAMA KWELI WANA DHAMIRA SAFI AU WAO SIYO WADINI ILI WAKIBAGULIWA WAIDHIHIRISHIE DUNIA MADAI YAO
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom