Kwahiyo ndio uliogopa maandamano hadi kubadili mawazo ukarudi Dar, au vipi?...Watu waoga kama ninyi hamtufai...NIngekuwa mimi ningekubali ku'risk hata kazi iliyonipeleka!Jaman wanajamvi, jumamosi na jumapili nilikuwa Dodoma, nikasikia tetesi kuwa CHADEMA kitakuwa Dodoma siku ya jumapili jioni, na nililazimika kuondoka kurudi Dar mchana, je kuna mtu yeyote mwenye Habari kuhusu hili?
:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:Kwahiyo ndio uliogopa maandamano hadi kubadili mawazo ukarudi Dar, au vipi?...Watu waoga kama ninyi hamtufai...NIngekuwa mimi ningekubali ku'risk hata kazi iliyonipeleka!