CHADEMA imeshindwa kujifunza kipigo cha 2010

CHADEMA imeshindwa kujifunza kipigo cha 2010

Pambana kuoreform BAKWATA sheikh. Wakristo hutawaweza. Uraishia kujaza mishuzi tu humu jf. Kashindwa Sheikh Karume utaweza wewe mnuka haja tu?[/QUOT
subiri boko haram ije utaona bora kumwaga mashuzi kuliko kujiharishia kwa woga

Tafakari kwa kina kisha rejea Afrika ya Kati. Tafadhari tangaza sera siyo udini, ninyi watu wa ccm mbona amwishi vituko. Hizi dini ni za kuletwa tu na kutubagua tulio ndugu.
 
mkuu huo uongozi wa hawa jamaa utafikiri ni uongozi wa kigango fulani kwenye jimbo fulani. yaani ni full watu wa imani moja. halafu wanatarajia tuwachague. maajabu haya. kwa kifupi chama kukubalika hapa Tanzania na watu wa jamii zote lazima kiwe na wawakilishi kutoka jamii zote. hili tatizo litawatesa sana chadema na CUF. nitasema kweli daima hata kama itawauma na kuja kunitukana humu. ndo maana jaji john tendwa kipindi akiwa bado msajili wa vyama aliwashauri vyama viungane angalau viwe na sura ya kitaifa wakaja na kejeli kibao badala ya kuufanyia kazi ule ushauri.

wakati CUF na chadema wakigawana wapiga kura/wanachama kwe misingi ya dini CCM inachukua nusu nusu kila upande na kujipatia ushindi. na kwa staili hii ccm kuondoka madarakani ni ndoto hata kama watakuja kutuibia hata macho yenu achilia mbali hayo madini na rasilimali zingine wanazoiba huko maporini, majini, vijijini na mijini.

CHAMA NI LAZIMA KIWAKILISHE JAMII ZOTE ZA WATANZANIA KUANZIA DINI ZAO, KABILA ZAO NA KANDA WATOKAKO. lakini sio kujanza wachanga tu au wapemba halafu mnatarajia tuwachugue. mtakuwa wapinzani wa milele.
Mkuu maneno yako yamewashtua watanzania wapenda amani.
 
Mkuu maneno yako yamewashtua watanzania wapenda amani.
hawa jamaa hawajielewi. wanafikiri kuongoza nchi ni kama kuongza familia ambayo ukiamka asubuhi unaiamrisha twendeni shambani au kanisani. na kweli wasipokuwa makini watakuwa wapinzani wa milele kwenye nchi hii.
 
Pambana kuoreform BAKWATA sheikh. Wakristo hutawaweza. Uraishia kujaza mishuzi tu humu jf. Kashindwa Sheikh Karume utaweza wewe mnuka haja tu?
nimewauliza hivi ''hivi huko kwenye nyumba zenu za ibada mnafundishwa kudhulumu?''
 
Waislam wa ccm na act ningewaona wa maana kama mmngeungana kuing'oa BAKWATA. Bakwata inawatoa ushuzi mmehamia Chadema. Hivi nyie mmerogwa?
 
hivi huko kwenye nyumba zenu za ibada huwa mnafundishwa kudhulumu?

Mkuu hivi ukikaa ukatulia ukatafakari kwa kina huoni kuwa adui yenu ni Bakwata? Yani nguvu mnazotumia kupambana na cdm haki ya mama mngerumia kupambama na Bakwata sasa hv mgekuwa na
1. Mahakama ya kadhi
2. Madrassa kama laki nne hv tena za ghorofa na vigae aio hizi mbavu za dog zilizojaa mjini
3. Mngekuwa mko wengi kwwnye ajira serikalini
4. Nchi ingeruhusu uraia wa nchi mbili hivyo mngekuwa na uwezo wa kuwa raia wa Saudia
5. Nchi ingeongozwa kwa Sharia za Mnyaazi MNGU.
6. MoU ingefutwa
7. Kuoa ruksa kama alivyosema Mudi kwenye WAHAI
8. Ijumaa ingekuwa ni mapumziko
9. Kiarabu kingekuwa ndo lugha ya taifa
Mlivyo wa ajabu badala ya kupamba
 
Mkuu hivi ukikaa ukatulia ukatafakari kwa kina huoni kuwa adui yenu ni Bakwata? Yani nguvu mnazotumia kupambana na cdm haki ya mama mngerumia kupambama na Bakwata sasa hv mgekuwa na
1. Mahakama ya kadhi
2. Madrassa kama laki nne hv tena za ghorofa na vigae aio hizi mbavu za dog zilizojaa mjini
3. Mngekuwa mko wengi kwwnye ajira serikalini
4. Nchi ingeruhusu uraia wa nchi mbili hivyo mngekuwa na uwezo wa kuwa raia wa Saudia
5. Nchi ingeongozwa kwa Sharia za Mnyaazi MNGU.
6. MoU ingefutwa
7. Kuoa ruksa kama alivyosema Mudi kwenye WAHAI
8. Ijumaa ingekuwa ni mapumziko
9. Kiarabu kingekuwa ndo lugha ya taifa
Mlivyo wa ajabu badala ya kupamba
nr


mtu mweny bsr huficha chuki yake
 
U
mm siipendi CCM ila napenda stategy zao
baada ya kupoteza viti vya ubunge wakatathmini na kuweka azimio la kumsimamisha yoyote alieshinda kura za maoni
tija ilionekana kalenga chalinze
katibu mkuu makamba na aliefatia baada ya kupwaya wakamweka kinana atakuwa chizi asieona jinsi alivofufua ari ya wanachama iliokufa
sasa chadema 2010 ilikumbwa na kashfa kuwa chama
kina udini wakilenga hasa ngazi ya taifa,bavicha,bawacha kulikuwa hakuna good representation ya social classses
ni ajabu jambo hili alifanyiwi kazi 2015 sio mbali
hii itakua vicious cycle. lisemwalo lipo ni methali tu

Invisible Are you on Paternity leave ?
Kwanini Credibility ya hili jukwaa inakuwa Compromised na huyu Boya ?
 
Last edited by a moderator:
U

Invisible Are you on Paternity leave ?
Kwanini Credibility ya hili jukwaa inakuwa Compromised na huyu Boya ?

we ndo boya tangu jn unahangaika na huu uzi. unalialia nn km mwke mods sio vilaza ka wewe
 
Last edited by a moderator:
mm siipendi CCM ila napenda stategy zao
baada ya kupoteza viti vya ubunge wakatathmini na kuweka azimio la kumsimamisha yoyote alieshinda kura za maoni
tija ilionekana kalenga chalinze
katibu mkuu makamba na aliefatia baada ya kupwaya wakamweka kinana atakuwa chizi asieona jinsi alivofufua ari ya wanachama iliokufa
sasa chadema 2010 ilikumbwa na kashfa kuwa chama
kina udini wakilenga hasa ngazi ya taifa,bavicha,bawacha kulikuwa hakuna good representation ya social classses
ni ajabu jambo hili alifanyiwi kazi 2015 sio mbali
hii itakua vicious cycle. lisemwalo lipo ni methali tu

kwenye fomu za wagombea hakuna mahali unapoandika dini yako
 
hujajibu swali langu naona ngonjera tu humu kama watu wa pwani kwenye taarabu. nimekuuliza hivi ''hivi huko kwenye nyumba zenu za ibada huwa mnafundishwa kudhulumu?''


Mkuu hivi ukikaa ukatulia ukatafakari kwa kina huoni kuwa adui yenu ni Bakwata? Yani nguvu mnazotumia kupambana na cdm haki ya mama mngerumia kupambama na Bakwata sasa hv mgekuwa na
1. Mahakama ya kadhi
2. Madrassa kama laki nne hv tena za ghorofa na vigae aio hizi mbavu za dog zilizojaa mjini
3. Mngekuwa mko wengi kwwnye ajira serikalini
4. Nchi ingeruhusu uraia wa nchi mbili hivyo mngekuwa na uwezo wa kuwa raia wa Saudia
5. Nchi ingeongozwa kwa Sharia za Mnyaazi MNGU.
6. MoU ingefutwa
7. Kuoa ruksa kama alivyosema Mudi kwenye WAHAI
8. Ijumaa ingekuwa ni mapumziko
9. Kiarabu kingekuwa ndo lugha ya taifa
Mlivyo wa ajabu badala ya kupamba
 
Back
Top Bottom