CHADEMA imeshindwa kujifunza kipigo cha 2010

CHADEMA imeshindwa kujifunza kipigo cha 2010

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,909
Reaction score
4,057
Mimi siipendi CCM ila napenda stategy zao.Baada ya kupoteza viti vya ubunge wakatathmini na kuweka azimio la kumsimamisha yeyote alieshinda kura za maoni, tija ilionekana Kalenga na Chalinze.

Katibu mkuu Makamba na aliyefuatia baada ya kupwaya wakamweka Kinana. Atakuwa chizi asiyeona jinsi alivofufua ari ya wanachama iliokufa.

Sasa CHADEMA 2010 ilikumbwa na kashfa kuwa chama kina udini wakilenga hasa ngazi ya taifa,BAVICHA,BAWACHA kulikuwa hakuna good representation ya social classses.

Ni ajabu jambo hili halifanyiwi kazi 2015 sio mbali hii itakua vicious cycle.

Lisemwalo lipo ni methali tu.
 
kama waisilam hawajagombea, nafas wapewe tu? hapo si ndo mtasema chama kupeana madaraka lkn vinginevyo uchaguz ulikuwa huru na haki.
 
mm siipendi CCM ila napenda stategy zao
baada ya kupoteza viti vya ubunge wakatathmini na kuweka azimio la kumsimamisha yoyote alieshinda kura za maoni
tija ilionekana kalenga chalinze
katibu mkuu makamba na aliefatia baada ya kupwaya wakamweka kinana atakuwa chizi asieona jinsi alivofufua ari ya wanachama iliokufa
sasa chadema 2010 ilikumbwa na kashfa kuwa chama
kina udini wakilenga hasa ngazi ya taifa,bavicha,bawacha kulikuwa hakuna good representation ya social classses
ni ajabu jambo hili alifanyiwi kazi 2015 sio mbali
hii itakua vicious cycle. lisemwalo lipo ni methali tu

Jifunze hata kuandika vizuri hata punctuation tu za kiswahili huwezi?

Wewe nawe ndio msomi wa Tanzania.

Maccm yanaharibu sana vijana.
 
Usizunguke mbuyu kaka wewe ni gamba, wadanganye wasiokujua. Mi chadema wataijulia wapi dini yangu wakati mi siko nao!!! au unataka jenda kuhusiana na dini???.
 
acheni kuudhalilisha uislam nyie waislam njaa ,uislam ni mkubwa kuliko chadema chadema iko Tanzania uislam uko dunia nzima mara nyingine mnaweza fikiri mnapigania usawa kumbe mnaonyesha mlivyo dhaifu katika imani yenu kila mahali ni nyie tu mnaona hamtendewi haki mnanini nyie....hivi huyo Mungu wa uislam mbona hawajazi ujasiri wa kujua mnahaki sawa za kugombea na kuwa na hoja kama watu wa imani nyingine...hata mtu kama anataka kujifunza mazuri ya imani yenu si atachoka jinsi mnavyomfundisha kulalama
 
mm siipendi CCM ila napenda stategy zao
baada ya kupoteza viti vya ubunge wakatathmini na kuweka azimio la kumsimamisha yoyote alieshinda kura za maoni
tija ilionekana kalenga chalinze
katibu mkuu makamba na aliefatia baada ya kupwaya wakamweka kinana atakuwa chizi asieona jinsi alivofufua ari ya wanachama iliokufa
sasa chadema 2010 ilikumbwa na kashfa kuwa chama
kina udini wakilenga hasa ngazi ya taifa,bavicha,bawacha kulikuwa hakuna good representation ya social classses
ni ajabu jambo hili alifanyiwi kazi 2015 sio mbali
hii itakua vicious cycle. lisemwalo lipo ni methali tu
unatia huruma
 
acheni kuudhalilisha uislam nyie waislam njaa ,uislam ni mkubwa kuliko chadema chadema iko Tanzania uislam uko dunia nzima mara nyingine mnaweza fikiri mnapigania usawa kumbe mnaonyesha mlivyo dhaifu katika imani yenu kila mahali ni nyie tu mnaona hamtendewi haki mnanini nyie....hivi huyo Mungu wa uislam mbona hawajazi ujasiri wa kujua mnahaki sawa za kugombea na kuwa na hoja kama watu wa imani nyingine...hata mtu kama anataka kujifunza mazuri ya imani yenu si atachoka jinsi mnavyomfundisha kulalama

99% then peoplr will say church party
 
Hivi moderators wa JF lini mtawashughulikia members wenye kutugawa kwa udini na ukabila au nanyi mwafurahia upuuzi huu?
 
lugha ya mkosaji. Mmekoma kulinga ,mwaka kesho subilini gharika tu.
 
bavicha uongozi umepatikana 99% christian
bawacha 99%
kamati kuu 99%
wabunge 99%
viti maalum 99%
wakurugenzi 99%
madiwani 99%

then 2015 utarajie ushinde?
 
Hivi moderators wa JF lini mtawashughulikia members wenye kutugawa kwa udini na ukabila au nanyi mwafurahia upuuzi huu?

mkuu kasome list ya bavicha na bawacha. unalialia nn mw/ume mzm
 
acheni kuudhalilisha uislam nyie waislam njaa ,uislam ni mkubwa kuliko chadema chadema iko Tanzania uislam uko dunia nzima mara nyingine mnaweza fikiri mnapigania usawa kumbe mnaonyesha mlivyo dhaifu katika imani yenu kila mahali ni nyie tu mnaona hamtendewi haki mnanini nyie....hivi huyo Mungu wa uislam mbona hawajazi ujasiri wa kujua mnahaki sawa za kugombea na kuwa na hoja kama watu wa imani nyingine...hata mtu kama anataka kujifunza mazuri ya imani yenu si atachoka jinsi mnavyomfundisha kulalama

Tuko Pamoja Mkuu!
 
Kwa nn wewe huipendi ccm kamanda?
Hivi nyoka anaweza kujidai kulichoka gamba lake?
 
2015 ruzuku haizidi laki mbili watu hawajifunzi km walivomfanya michael woodford by zzk
 
mm siipendi ccm ila napenda stategy zao
baada ya kupoteza viti vya ubunge wakatathmini na kuweka azimio la kumsimamisha yoyote alieshinda kura za maoni
tija ilionekana kalenga chalinze
katibu mkuu makamba na aliefatia baada ya kupwaya wakamweka kinana atakuwa chizi asieona jinsi alivofufua ari ya wanachama iliokufa
sasa chadema 2010 ilikumbwa na kashfa kuwa chama
kina udini wakilenga hasa ngazi ya taifa,bavicha,bawacha kulikuwa hakuna good representation ya social classses
ni ajabu jambo hili alifanyiwi kazi 2015 sio mbali
hii itakua vicious cycle. Lisemwalo lipo ni methali tu

2010 ilishinda tume ya uchaguzi!
 
Back
Top Bottom