CHADEMA imekwisha!

CHADEMA imekwisha!

Barongo E

Member
Joined
Apr 10, 2014
Posts
26
Reaction score
7
Lissu bungeni anasema kuwa suala la hati ya muungano limekwisha yaani amekubali kushindwa!Lakini baada ya hapo mwanasheria huyu akachemsha.

Anasema muungano unawaonyesha waasisi wawili tu yaani Mwl.Nyerere na Mzee Karume huku ukiacha kuwatambua watu muhimu walioshiriki kuunda muungano kama vile Oscar Kambona,Job Lusinde,Hanga na Othman Sharrif.

Watanzania waambiwe ukweli wa kwanini watu hawa wamekuwa sidelined wakati mchango wao ulikuwa mkubwa.Bwana Lissu toa kwanza kibanzi kilichopo machoni pako kabla ya kutoa vibanzi vilivyopo kwenye macho ya wenzio.

Mbele ya safari masuala hayo hayo ya kuwa sideline watu yatakuja kuwaandama wote mnaowanyonga kisiasa vijana wenzenu wa Chadema kina Zitto Zubeir Kabwe,Habib Mchange,Dkt.Kitilla Mkumbo na Samson Mwigamba huku wakiwa wametoa mchango mkubwa sana kwenye chama cha Chadema na kwenye Taifa.

Badala ya kujenga mshikamano ndani ya chama cha Chadema,mnakimbilia kujenga mshikamano na vyama ambavyo havina hata nguvu ya kisiasa nchini!Yetu macho!
 
Umepost u.puuzi ndo maana tumekupuuza mpaka umeanza kujikomentia mwenyewe.Tafuta chai unywe ukishapata akili uje usome tena uliyoandika hapa.
 
Mada haieleweki,Mwigamba na Mkumbo walikuwa na mchango gani chadema?
LETE USHAHIDI WA MKUTANO WA HADHARA WALIOITISHA.
 
habib mchange, kitila mkumbo , mwigamba hawa hawajuawa na kutupwa kwenye kina cha bahari kama kassim hanga, usiwe unatumia ------ kufikiri
 
Chadema pale ilipofikia ilikuwa haihitaji CUF au NCCR kupata nguvu, ilitosha kabisa wakasonga mbele na kufikia lengo

wameongozwa na majungu, wivu, unafiki, fitina na uzushi. wamefikia mafanikio waliyoshindwa kuyabeba na kuendelez

Brand name, charter la chadema, au umaarufu wa chadema kipindi hicho ulitosha kabisa kuwaondoa CCM madarakani

wakabweteka, wakashauriwa hawakusikia, wakawapa vichwa viongozi wao ambao hawashauriki; sasa yanatokea haya ya kutokea kwa aibu kubwa na huzuni wamefika hapa

UKAWA automatically inaiua chadema, CUF na NCCR...brand name na power za hivi vyama zinapungua, huku muungano wenyewe ukitawaliwa na historia ya kudharauliana, kutukanana, na kejeli ambazo bado hazijafutwa

Kinachoonekana ni kuwa hawa wana tamaa ya madaraka tu!!! kulifuta hili gumu sana

Chadema bado wana chance ya kubadilika na kurudi walikotoka, watatue matatizo yao amicably, it is possible
 
mnaandika wenyewe, mnajijibu wenyewe.
 
barongo, waberoya, kabewa, aminangalo, new act online team, zito team
 
naona CDm inawanyima usingizi sana hawa interahamwe! Huku Mwanza tunasubiri uchaguzi tu ufike tuchukue majimbo yote, hatutaki kabakiza hata gamba moja hapa mkoani kwetu! People'zzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
 
Natamani uchaguzi hata leo nishuhudie kifo cha ukawa rasmi



JF Senior Expert MemberArray


Join Date : 31st August 2013
Posts : 664
Rep Power : 469
Likes Received115
Likes Given12


[h=2]
icon1.png
Ccm hatuna haraka kuzindua kampeni sombetini wananchi wanatuelewa[/h]
Mwenyekit uvccm Arusha mjini live sun rise radio amesema kwakujiamini kuwa ccm hatuna haraka ya kuzindua kampeni sombetini kwasababu tayari wananchi wanatuelewa

Tumejenga sec. Ya ghorofa sombetini shule za msingi zahanat muda siyo mrefu kata mzima itazungukwa na lami

Kwahiyo tunalakwenda kusema kule ccm hatunahaja yakwenda kuchukua wabunge toka kwenye majimbo mengine kuja kunmadi mgombea udiwani wa sombetini ccm hatunahaja ya kutangaza mkutani wa kata ya sombetini kama Chadema walivyofanaya nakuleta watu kutoka meru huo niusanii wakizamani hatutafanya hayo

Tupo kidigital na mgombea tutamnadi sisi vijana tuu chama kimeshaa tukabidhi tayari

Nimeipata sun rise radio Arusha​


 
Pumba tupu,wasaliti hawawezi kuachwa kamwe! Toeni povu sana CDM itazidi kuwaumiza vichwa
 
Wakati mwingine uwe unakunywa supu kwanza ndo ufikirie kupost, naona hangover bado inakutesa.
 
Back
Top Bottom