CHADEMA imekosa dira na mwelekeo

CHADEMA imekosa dira na mwelekeo

Kiukweli Nina wasiwasi na elimu yako

Unaweza kukuta ni mkuu wa mkoa huyo...

Si nilisikia viroba vimepigwa marufuku.

Dah!! Kweli JF ya sasa sio kama ya zamani, yaani siku hizi vichwa vya panzi wamejazana sana humu, na ndio wanaongoza kwa kuleta thread za kijinga kama hizi. Lazima Mods mfanye kitu ili huu ujinga usiendelee.
Dah.... Halafu wakiitwa maGT utaona na hawa wanajitokeza
 
pamoja na hayo uliyosema mbona ssm imeyazuia tena kwenye awamu hii mbona ndo nchi imepoteza mwelekeo!!!!!
 
Hakikisha kwanza kama elimu yako iko sawa, kabla hujamhujumu mleta mada.

Hii ni forum huru , mleta mada kaleta maoni yake na si habari ya kilichotokea, wajibu wako sio kudhalilisha, bali unaweza kuyapinga maono yake kwa hoja zenye busara na sio dhehaka.

Lets be civilised
Kwa akili yako ya masters unadhani what the point there??
 
Back
Top Bottom