Naunga mkono hoja ila, ili kuthibitisha kuwa CDM ni chaguo la Mungu, then Mungu aiwezeshe Chadema kuingia ikulu!. Chaguo la Mungu, ni anayeingia Ikulu.Hakika cdm ni chaguo la Mungu ili kuwakomboa Watanzania.
Mungu anaweza kuwa na kusudio kabisa la kutaka cdm iingie ikulu lkn sheitwaan ccm alatumia vibaraka wake kuhakikisha cdm hawaingii ikuluNaunga mkono hoja ila, ili kuthibitisha kuwa CDM ni chaguo la Mungu, then Mungu aiwezeshe Chadema kuingia ikulu!. Chaguo la Mungu, ni anayeingia Ikulu.
p
CHADEMA hawaongozwi na chawaNaomba tumsikilize Naibu katibu mkuu bara Mhe. Kigaila.
Anamwaga madini ya uhakika hadi wahusika waandaaji wanatingisha vichwa kukubali hizo nondo.
Hakika CHADEMA ni chaguo la Mungu ili kuwakomboa Watanzania. View attachment 2861640
Hata akiingia kwa kuua ni chaguo la MUNGU au la mungu?Naunga mkono hoja ila, ili kuthibitisha kuwa CDM ni chaguo la Mungu, then Mungu aiwezeshe Chadema kuingia ikulu!. Chaguo la Mungu, ni anayeingia Ikulu.
p
Kamati Maalum ya Bunge la Kenya kuhusu bima ya afyaMPs on the Natural Resources Committee of Parliament expressed astonishment regarding how such an agreement could be signed before the enactment of a supportive law. A team of government officials, appearing before the committee, informed MPs that the agreement will only become operational once the enabling law is in place.
NHIF madudu mfuko wa bima za afya majadiliano ya kina nchini Kenya
Watu wakiiba ndizi hapo shamba la mbowe machame!Mimi silindi kaburi kama wewe unaye ozea hapo Burigi
nani zaidi kati ya Mungu na sheitwani, kama CDM ni chaguo kweli la Mungu, then, Mungu ataaingiza CDM ikulu, Mungu ndie huweka serikali za mataifa, hivyo yule aliyeko ikulu ndiye chaguo la kweli la Mungu!.Mungu anaweza kuwa na kusudio kabisa la kutaka cdm iingie ikulu lkn sheitwaan ccm alatumia vibaraka wake kuhakikisha cdm hawaingii ikulu
Lissu na Mnyika wapo hapo?Umeonaeeeeee?
Yaani kiongozi wa cdm anaelezea jambo linaelweka
Siyo akawa alikuwa ni shetani mwenyeweAliingia Jiwe wakasema ni chaguo la Mungu lkn akawa kama sheitwan
Jamaa yuko vizuri sanaVIKAO VYA KAMATI MAALUM ZA BUNGE ZIWE MUBASHARA / LIVE BADALA YA NYUMA YA PAZIA
Maneno mazito maana mkutano huu umeanza kwa kusifia na kutukuza kupita kiasi kama vile kulikuwa hakuna chama au mwanasiasa anayewaza kama zile R4 za CCM.
Baraza hili liende Dodoma kama kundi maalum kwenye Kamati ya Bunge ya Sheria, Mambo ya Nje na Ulinzi ikawape lecture wajumbe wa kamati hiyo maalum ya bunge.
Pia napendekeza shughuli za Kamati zote Maalum za Bunge ziwe zinaendeshwa live raia tuone, maana jukwaa la Kamati Maalum za Bunge ndipo mambo hujadiliwa kwa kina tofauti na kikao cha Bunge ambapo wabunge wanagonga meza kusifu na kuabudu kwa sana.
Hii ya vikao vya Kamati Maalum za Bunge PAC, LAAC, Sheria n.k kuwa live ikaziwe kwa kuwekwa sheria kuwa vikao vyao vya kamati maalum za Bunge ikiwa pamoja na wageni waalikwa wadau virushwe live, ni muhimu wananchi kuona malumbano makali ndani ya kamati hizi maalum badala ya kuoneshwa vikao vya Bunge zima pekee live wakishindana kugonga meza
😂😂Watu wakiiba ndizi hapo shamba la mbowe machame!
Hata akiingia kwa kumwaga damu ni chaguo la MUNGU?nani zaidi kati ya Mungu na sheitwani, kama CDM ni chaguo kweli la Mungu, then, Mungu ataaingiza CDM ikulu, Mungu ndie huweka serikali za mataifa, hivyo yule aliyeko ikulu ndiye chaguo la kweli la Mungu!.
p