Chadema imedandia behewa la cuf!

mwigo

Member
May 8, 2012
45
15
chadema imedandia behewa la cuf!
 
1. Una roho ngumu sana kuitetea CUF dhidi ya "facts on the ground"

2. Fanya jitihada kuwaambia mamilion ya Watanzania juu ya hoja yako; hapa kwa GT sana sana tutakuonea huruma kuwa uko "out of touch"

2. Uko sahihi V4C ni dira tu wakati M4C ni mkakati. Vision inaweza dumu maisha; mkakati unatekelezwa katika kipindi maalum.

Rudini jikoni mkatengeneze mikakati ya V4C msiikodolee M4C kwa sababu haiwahusu
 
Jamaaa naona anatafuta ushindani hahah haya cuf mmeshinda!
 
CUF wameingia kwenye ndoa bila kijitambua sasa huyu anasemaje au anamaanisha nini ? Kuwa adui wa CUF ni CHADEMA ili hali vyote ni vyama vya upinzani ? anamaanisha nini ? anamaanisha kuwa CHADEMA wameiga CUF hata bendera ? anyway hapa wanathihirisha uu CCM B, Ni kweli mnapinga kwamba ninyi si CCM B, Lakini maneno yenu na kauli zenu ni ushahidi wa kweli kuwa ninyi ni CCM B

V4C= VIBARAKA 4 CHANGE
 
hahahahahahhahha mnatia aibu CDM kwani hamjui kuwa tuliwabeba sana?? kwani hamjui kuwa mliiga hadi rangi za bendera??/ mmesahau kuwa muafaka uliwauma sana kiasi kutuita CCM B??? halafu kweli wewe kilaza umesahau kuwa KIGOMA mlianza nyie NDOA??? then nikukumbushe kitu kaka sera ya serikali ya shirikisho yaani vyama vyote ni ya CUF ccm hawana, cdm hawana wote mnaiga. sasa basi nikuambie kitu CUF ndio wenye sera hiyo. na siyo niye vilaza mnaague vitu ambavyo hamvijui .
 
Haya CUF, kila kitu nchi hii mmeanzisha nyie

1. Katiba mpya
2. Vita dhidi ya ufisadi
3. Movement for change
....
 
CUF kama ССM mipango yake imekaa kinadhalia kuliko kihalisia chochote kizuri kwa nchi yetu kinapashwa kuchuliwa bila itikadi.Badala ya kulalamika mnapashwa kuwashukuru CHADEMA kwa kuyaweka malengo yenu katika uhalisia na sio nyinyi kuibuka baada ya kuona jitihada za CHADEMA 2008 vision yenu ilikua katika makaratasi nakama CDM isingeibuka kwa M4C msingetikisika au kuamka.Baada ya kuona mafanikio ya CDM katika zoezi hilo mkaamua kudandia behewa kwa hiyo mwandishi yuko sahihi.
 
hivi kwaninini cuf wanapoulizwa swali la kwanini wanajibu chadema kwanini?
kwanini wasijibu ccm halafu wanasema wao ni wapinzani
 
Kwa hiyo mnaanzisha kisha mnafungia kwenye makabati au, CDM awalali katika kuboresha chama na kukileta karibu na wanachi, msilalamike ingieni msituni na ninyi nuonekane, sio kukaa na kulalamika wakati wenzeni wanafight. CDM ni wabunifu na ndio maana hata CCM wanajaribu mbinu zote kukiaribia lakini mpaka sasa wameshindwa kwani wamejipanga vizuri sio mnaongea tu.
 
Hakyanani nimecheka mpk mtoto kaanza kulia. Hivi tumefikia kugombania misemo?

Kesho utasikia wakilalama kuwa wamekosa ubunge kwa kuwa CDM imechukua kauli mbiu yao.

Hivi kwa akili ya muanzisha mada na wengine wote wanaoweza kuunga mkono (hata kimoyomoyo), ule wingi wa watu kwenye mikutano ya CDM unaletwa na maneno 'People's Power'?

Jipangeni upya. Ile fact tu kwamba kwenye cham kuna mtu mmoja tu mwenye akili ni tosha kuwafanya wananchi wawachoke. Mwambieni SULTANI awaachie na wengine wagombee au makabwela hawana chaguo lingine?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…