CHADEMA ikome kutudanganya

Nashangaa wanatumia nguvu kubwa KUMKANUSHIA Mhe MNYIKA, Kwani MNYIKA HANA MDOMO
 
TAARIFA KWA UMMA

Ipo hoja nyepesi mno iliyopikwa na Vijana wa Lumumba juu ya Mbunge wa Kibamba na Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika kuwa alimkataa Lowassa

Hoja hiyo ni ya kupuuzwa kwa kuwa haina ukweli wowote ule, na nitalishangaa Jeshi la Polisi kuendelea kukaa kimya,na kumuacha aliepotosha Umma kwa kiwango kikubwa kiasi hicho,jambo ambalo limempa Usumbufu mkubwa Naibu Katibu mkuu kwa chama na Wananchi wake katika jimbo lake.

Nataka kuona nguvu ya Cyber Crime kama kweli sheria hiyo ni dhahiri ni msumeno au huwa inakata upande mmoja tu!.Mnyika ni Kiongozi mkubwa na katika Taasisi kubwa sana nchini CHADEMA,hapaswi kunenewa uongo kwa nia ya kuupotosha Umma naliomba jeshi la Polisi liingie kazini Mara moja kutimiza majukumu yake.

Imetolewa June 03

Edward Simbeye
Katibu Mwenezi BAVICHA Taifa
Mnyika bubu???? mlimsemea Dkt Slaa kuwa hajaandika barua ya kujiuzulu, lkn akaja kuwaumbua mbele ya vyombo vya habari, mlisemea Lipumba, pia akawaumbua, Mnyika msimsemee,, tunaomba akanushe mwenyewe.
 
Mimi nasema tena hapa!

Mnyika akijitokeza kwenye social network yeyoye akasema hataki Lowasa akamatwe na fisadi na ana mkubali sana na alikubali yeye kuingia chadema basi mimi nitajitoe Jf na nitaomba ban la miezi sita!

Ujitoe au usijitoe huna impact yoyote hapa sana sana huenda utaaffect Lb7 project
 
Mnyika bubu???? mlimsemea Dkt Slaa kuwa hajaandika barua ya kujiuzulu, lkn akaja kuwaumbua mbele ya vyombo vya habari, mlisemea Lipumba, pia akawaumbua, Mnyika msimsemee,, tunaomba akanushe mwenyewe.

Mbona unahangaika sana na CDM? ACT haikuridhishi?
 
Chadema watatetea kila aina ya uozo mwaka huu.

Majizi, mafisadi, mashoga, vibaka, wakwepa kodi, wavuta shisha wote mtetezi wao ni chadema!!!

Hii ndio maana ya chama kubadili gia angani.
Hayapo ya kuongea kuhusu CCM ambayo ni yenu? Mnaipenda CHADEMA ama ndio kejeli? Sitofautishi na umbea wa kawaida tu, "Hujatumwa na si mshirika wao" badala ufurahie kushindwa kwao unajifanya unawashauri vizuri eti waje wakushinde, hizi zilikuwa ni zama za zamani saana! Unadhani Mnyika kama akiachana na CHADEMA atakufaa wewe kwenye jambo gani? Pilipili ipo shamba wewe inakuwashia nini? Jitambue, elewa unachokiongea!!
 
Back
Top Bottom