Mnyika bubu???? mlimsemea Dkt Slaa kuwa hajaandika barua ya kujiuzulu, lkn akaja kuwaumbua mbele ya vyombo vya habari, mlisemea Lipumba, pia akawaumbua, Mnyika msimsemee,, tunaomba akanushe mwenyewe.TAARIFA KWA UMMA
Ipo hoja nyepesi mno iliyopikwa na Vijana wa Lumumba juu ya Mbunge wa Kibamba na Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika kuwa alimkataa Lowassa
Hoja hiyo ni ya kupuuzwa kwa kuwa haina ukweli wowote ule, na nitalishangaa Jeshi la Polisi kuendelea kukaa kimya,na kumuacha aliepotosha Umma kwa kiwango kikubwa kiasi hicho,jambo ambalo limempa Usumbufu mkubwa Naibu Katibu mkuu kwa chama na Wananchi wake katika jimbo lake.
Nataka kuona nguvu ya Cyber Crime kama kweli sheria hiyo ni dhahiri ni msumeno au huwa inakata upande mmoja tu!.Mnyika ni Kiongozi mkubwa na katika Taasisi kubwa sana nchini CHADEMA,hapaswi kunenewa uongo kwa nia ya kuupotosha Umma naliomba jeshi la Polisi liingie kazini Mara moja kutimiza majukumu yake.
Imetolewa June 03
Edward Simbeye
Katibu Mwenezi BAVICHA Taifa
kuokoaje kwa mfano????Mnashindwa kuhangaika kuokoa act yenu mmeamua kumuachia Zitto peke yake
Mimi nasema tena hapa!
Mnyika akijitokeza kwenye social network yeyoye akasema hataki Lowasa akamatwe na fisadi na ana mkubali sana na alikubali yeye kuingia chadema basi mimi nitajitoe Jf na nitaomba ban la miezi sita!
Mnyika bubu???? mlimsemea Dkt Slaa kuwa hajaandika barua ya kujiuzulu, lkn akaja kuwaumbua mbele ya vyombo vya habari, mlisemea Lipumba, pia akawaumbua, Mnyika msimsemee,, tunaomba akanushe mwenyewe.
Hayapo ya kuongea kuhusu CCM ambayo ni yenu? Mnaipenda CHADEMA ama ndio kejeli? Sitofautishi na umbea wa kawaida tu, "Hujatumwa na si mshirika wao" badala ufurahie kushindwa kwao unajifanya unawashauri vizuri eti waje wakushinde, hizi zilikuwa ni zama za zamani saana! Unadhani Mnyika kama akiachana na CHADEMA atakufaa wewe kwenye jambo gani? Pilipili ipo shamba wewe inakuwashia nini? Jitambue, elewa unachokiongea!!Chadema watatetea kila aina ya uozo mwaka huu.
Majizi, mafisadi, mashoga, vibaka, wakwepa kodi, wavuta shisha wote mtetezi wao ni chadema!!!
Hii ndio maana ya chama kubadili gia angani.