CHADEMA ikome kutudanganya

CHADEMA ikome kutudanganya

Hivi hata maneno Chadema itakufa mbona munayaimba kila siku tokea 2013 lakini haifi na inazidi kuwa imara. Mwaka jana kabla ya uchaguzi mkasema kwa vile Lowasa kaenda Chadema basi ndio inakufa kabisa, lakini pamoja na kuibiwa kura na mizengwe bado 40% wakanpa kura mgombea wa Chadema, majiji yakachukuliwa, wabunge wakaongezeka na vigogo wazito ndani ya ccm kana Wassira na mawaziri kadhaa wakapigwa chini.
Sasa kifo mnacho zungumzia ni kifo gani? Mbona nguvu kubwa inatumika kuzuia mikutano jambo ambalo liko kikatiba?
Tukiacha ushabiki wa mitandaoni, hali ya maisha ya raia kwa sasa imeondoa imani kabisa kwa ccm
acha kujifariji kwa turufu finyu hizi. hivi unaelewa muungano wa ukawa ndio uliipa nguvu chadema. nje ya muungano huu chadema tungekuwa tunaongea mengine kabisa na hata idadi ya wabunge ingeshuka sana. kama kila chama kingejitegemea. unazungumzia maisha ya watanzania yamenyongonyea wewe unadhani kwa sababu gani.?? hudhani kuwa yale mapesa ya wizi ambayo yalikuwa yanatapazwa na mafisadi sasa hayapo. je ulipenda ufisadi uendelee ili mapesa yaendelee kuwafikia wananchi.
toa ushauri walau basi baada kautafiti kadogo ka ku support argument yako. vinginevyo nitasema umeongea pumba tu. unataka kuleta ushabiki usiokuwa na mbele wala nyuma. ushabiki wa kununuliwa na vipesa uchwara
 
Chadema watatetea kila aina ya uozo mwaka huu.

Majizi, mafisadi, mashoga, vibaka, wakwepa kodi, wavuta shisha wote mtetezi wao ni chadema!!!

Hii ndio maana ya chama kubadili gia angani.
basi sawa. napita tu
 
acha kujifariji kwa turufu finyu hizi. hivi unaelewa muungano wa ukawa ndio uliipa nguvu chadema. nje ya muungano huu chadema tungekuwa tunaongea mengine kabisa na hata idadi ya wabunge ingeshuka sana. kama kila chama kingejitegemea. unazungumzia maisha
Wewe ndio una mawazo finyu sana, sasa hauoni kama huo ndio ubunifu wenyewe unaotakiwa? Kwa ujumla sioni mantiki ya ulichokiandika hapa, kwa kuwa siasa ni mbinu na wenzako wameitumia vyema. Hoja yako ni sawa na mtu aseme "marekani wanajidai kwa kuwa ni muungano wa nchi takribani 53 hivi, ingebaki nchi mojamoja wasingekuwa na nguvu waliyonayo sasa". Rudi shule kijana.
 
Upeo wako wa kisiasa ni wa mashaka sana. Wewe ni mpinzani, kutwa nzima kushambulia wapinzani wenzio kwa kudhani unajenga chama chako kumbe unakibomoa bila kujua. Moja kwa moja unathibitishia umma kuwa ACT ni tawi la CCM. Kwa afya ya ACT unatakiwa ufukuzwe chamani haraka sana.
View attachment 362932

Makene asambaza screenshot ya massage Mnyika kama kielelezo cha kukanusha TAARIFA inayosambaa kwa kasi inayo daiwa imetolewa na Mnyika. Leo gazeti.la Raia Tanzania limeibuka na habari hiyo katika ukurasa wa mbele ikisema "Mnyika ataka Lowassa ashitakiwe"

Kubwa zaidi, vijana wa UKAWA hususani wa CHADEMA tangu jana usiku wanakesha kukanusha hili, na leo hii baada ya Raia Tanzania kutoka na habari hiyo, wamehamishia majeshi ya kwa gazeti hilo wakitaka tulipuuze.

Nilipoona taarifa hizi za Mnyika dhidi ya Lowassa na leo hii kuziona katika ukurasa wa mbele wa gazeti Raia Tanzania, zimenifanya niingie katika Tafakuri nzito. Tafakuri yangu zaidi ilijikita kwa kuwatazama aina ya vijana ambayo CHADEMA inawatengeneza na kubwa zaidi nini taarifa ile iliyodaiwa ya Mnyika iliashiria.

AINA YA VIJANA WA CHADEMA.

Vijana hawa wamekuwa ni vijana wa kula kila kitu bila kutafuna kinachotoka kwa viongozi wao wenye mahaba nao, hata kama hicho kitu ni sumu na hatari kwa maisha yao, wao wanakula tu midhali kasema Mbowe au sahiba wa Mbowe. Hii ina maanisha nini?

Ina maanisha kwamba BAVICHA inathubutu kuinyoshea kidole serikali na chama tawala lakini haliwezi kuwaoneshea kidole vigogo wa CHADEMA. leo hii CHADEMA ikiunda serikali, na kwa kizingatia kasumba ya BAVICHA, haitaweza hata kidogo kuinyoshea kidole serikali inayoundwa NA CHADEMA.

VIJANA WA CHADEMA, zilipotoka habari kwa mara ya kwanza kabisa kuwa Slaa kajiuzulu na ya kwamba sasa haendi tena ofisini pale Ufipa, vijana hawa walipinga na kukanusha, walifanya hivyo sababu Mbowe alipinga na kukanusha taarifa hizo.

Vujana hawa walilishambulia Jenerali Ulimwengu katika mitandao kisa tu magazeti yake ndio yalio ripoti taarifa hizi. Hata hivyo waliona aibu baada Dk Slaa kutoka hadharani na kutangaza kujiuzulu kwake.

VIJANA WA CHADEMA, zilipo sambaa picha.za Lowassa kuhudhuria kikao cha kamati kuu ya CHADEMA na picha hizo pia kuwekwa katika ukurasa wa mbele wa gazeti la Raia Tanzania, hawa vijana hawakuwa nyuma kukanusha. Walikanusha kuwa Lowassa hakuhudhuria kikao kile. Walikanusha si kwamba walikuwa na sababu za kukanusha, walikanusha baada ya kumuona Mbowe amekanusha.

Baada ya Lowassa kujiunga CHADEMA, na baada ya Dkt Slaa kuongea na wanahabari wakati wa kujiuzulu kwake, ukathibitika ni kweli kuwa Lowassa alihudhuria kikao cha kamati kuu ya CHADEMA. hawa vijana wetu wakaonekana tena warongo na wasio na msimamo, na magazeti ya Jenerali kuoneka yalikuwa na ukweli wa mambo.

VIJANA WA CHADEMA, ziliposambaa fununu za Lipumba kujiuzulua, vijana wa CHADEMA kwa kuungana na wenzao wa CUF chini ya UKAWA walikanusha, walikanusha baada ya kumuona Maalim Seif amekanusha. Hata hivyo, baadae ikatibitika ni kweli baada ya Lipumba kuongea na wana habari.

Kwa mara nyingine hawa vijana wakawa wakaonekana warongo, wakaonekana ni watu wa kutetea maneno ya viongozi wao hata kama hayo maneno ni pumba.

KWANINI NASEMA YOTE HAYA?
Makene na akina Malisa wanataka kuturudisha enzi za ujima, enzi za mgeni anatangulia kufika kabla ya barua aliyo iandika. Wanataka tuamini screwnshot ya massage ya Mnyika na tuache kuamini taarifa inayo daiwa ya Mnyika na habari iliyo andikwa leo na Raia Tanzania.

Mnyika ana acc ya facebook, na ana page, kubwa Mnyika ni mwepesi sana kutoa taarifa ya kumuhusu kupitia acc yake ya facebook, kwanini aishie tu kumtumia massage Makene na asikanushe kupitia ukurasa wake wa facebook?

Kwanini nasema yote haya? Nasema haya kuwakumbusha GENGE LA BAVICHA LA MTANDAONI kuwa ni mara nyingi watanzania na wanachama wa kawaida wa CHADEMA wamekuwa wakiwaamini na kulipuuza gazeti la Raia tanzania, lakini mwishowe gazeti huonekana limesema kweli, lakini Mbowe na genge la BAVICHA lilopo mtandaoni wanakuwa wamesema urongo. Tunasababu gani ya kuwaamini sasa ikiwa mwanzo tulifanya hivyo na ikawa mmetudanganya?

Hivi tutamini vipi kuwa screen shot inayosambazwa si mkakati wa urongo wa kumlisha maneno Mnyika kama ilivyo kuwa kwa Dkt Slaa na Lipumba?

TAARIFA ILE ILIASHIRIA NINI?
Niwaambie tu ile taarifa haikuzuka na kusambaa kwa bahati mbaya, kwavyovyote vile huenda kulikuwa na mradi maalum wa kuisambaza, na kama kweli ni mradi, hakika mwenye mradi wake amefanikiwa sana.

Ukizingatia ujio wa Lowassa CHADEMA kuliko fuatia na ukimya wa Mnyika, na kubwa zaidi msimamo wa Mnyika juu uchafu wa Lowassa, na kubwa zaidi kutoonekana ukaribu wa Mnyika na Mzee Lowassa, kwa vyovyote vile kuna uwezekano mkubwa ile taarifa ni mradi wa Mnyika mwenyewe.

Huenda Mnyika ameamua kutumia watu ili kuondoa dukuduku lake japo kwa kutumia mbinu ya kujilisha maneno na kisha atoke hadharani akanushe. Jina Magufuli kalichomeka Mnyika katika taarifa yake kwa kusudi maalum. Ile taarifa ingeishia kumshambulia Lowassa tu na kuelezea sababu za ukimya wa Mnyika, ama hakika viongozi wa CHADEMA wasingemuamini Mnyika pamoja na kukanusha kwake.

AU
Huenda ukawa mradi CCM wenye lengo la kumtoa Mnyika pangoni huku akiwa kahamaki kama mbogo aliyechubuliwa na risasi. Wanachotaka waone ukauzu wa Mnyika kutoka hadharani mbele ya media, akanushe taarifa ile iliyosambazwa na kisha azungumzie usafi au uchafu wa Lowassa.

Huu ni mtego kwa Mnyika, hapa Mnyika anapimwa kama ataweza au ana ubavu wa kusema kuwa Lowassa alikuwa chaguo sahihi la UKAWA na kubwa zaidi Lowassa ni mtu safi na ule ushahidi alokuwa nao juu ya ufisadi wa Lowassa si ushahidi bali ulikuwa ni mpango wa kumuangusha kisiasa Lowassa.

Tangu Lowassa aingie CHADEMA, na tangu Slaa ajiuzulu, Mnyika amebadilika, pamoja na kwamba inasemekana kuna kipindi alikuwa anaumwa, lakini ukimya wa Mnyika ni zaidi ya kuumwa. Mnyika CHADEMA imemtumbukia nyongo baada kumpokea Lowassa, hili litapingwa lakini Mnyika enzi za Slaa sio Mnyika wa sasa.

Dotto Rangimoto Chamchua.
call/whatspp 0622845394 Morogoro
 
View attachment 362932

Makene asambaza screenshot ya massage Mnyika kama kielelezo cha kukanusha TAARIFA inayosambaa kwa kasi inayo daiwa imetolewa na Mnyika. Leo gazeti.la Raia Tanzania limeibuka na habari hiyo katika ukurasa wa mbele ikisema "Mnyika ataka Lowassa ashitakiwe"

Kubwa zaidi, vijana wa UKAWA hususani wa CHADEMA tangu jana usiku wanakesha kukanusha hili, na leo hii baada ya Raia Tanzania kutoka na habari hiyo, wamehamishia majeshi ya kwa gazeti hilo wakitaka tulipuuze.

Nilipoona taarifa hizi za Mnyika dhidi ya Lowassa na leo hii kuziona katika ukurasa wa mbele wa gazeti Raia Tanzania, zimenifanya niingie katika Tafakuri nzito. Tafakuri yangu zaidi ilijikita kwa kuwatazama aina ya vijana ambayo CHADEMA inawatengeneza na kubwa zaidi nini taarifa ile iliyodaiwa ya Mnyika iliashiria.

AINA YA VIJANA WA CHADEMA.

Vijana hawa wamekuwa ni vijana wa kula kila kitu bila kutafuna kinachotoka kwa viongozi wao wenye mahaba nao, hata kama hicho kitu ni sumu na hatari kwa maisha yao, wao wanakula tu midhali kasema Mbowe au sahiba wa Mbowe. Hii ina maanisha nini?

Ina maanisha kwamba BAVICHA inathubutu kuinyoshea kidole serikali na chama tawala lakini haliwezi kuwaoneshea kidole vigogo wa CHADEMA. leo hii CHADEMA ikiunda serikali, na kwa kizingatia kasumba ya BAVICHA, haitaweza hata kidogo kuinyoshea kidole serikali inayoundwa NA CHADEMA.

VIJANA WA CHADEMA, zilipotoka habari kwa mara ya kwanza kabisa kuwa Slaa kajiuzulu na ya kwamba sasa haendi tena ofisini pale Ufipa, vijana hawa walipinga na kukanusha, walifanya hivyo sababu Mbowe alipinga na kukanusha taarifa hizo.

Vujana hawa walilishambulia Jenerali Ulimwengu katika mitandao kisa tu magazeti yake ndio yalio ripoti taarifa hizi. Hata hivyo waliona aibu baada Dk Slaa kutoka hadharani na kutangaza kujiuzulu kwake.

VIJANA WA CHADEMA, zilipo sambaa picha.za Lowassa kuhudhuria kikao cha kamati kuu ya CHADEMA na picha hizo pia kuwekwa katika ukurasa wa mbele wa gazeti la Raia Tanzania, hawa vijana hawakuwa nyuma kukanusha. Walikanusha kuwa Lowassa hakuhudhuria kikao kile. Walikanusha si kwamba walikuwa na sababu za kukanusha, walikanusha baada ya kumuona Mbowe amekanusha.

Baada ya Lowassa kujiunga CHADEMA, na baada ya Dkt Slaa kuongea na wanahabari wakati wa kujiuzulu kwake, ukathibitika ni kweli kuwa Lowassa alihudhuria kikao cha kamati kuu ya CHADEMA. hawa vijana wetu wakaonekana tena warongo na wasio na msimamo, na magazeti ya Jenerali kuoneka yalikuwa na ukweli wa mambo.

VIJANA WA CHADEMA, ziliposambaa fununu za Lipumba kujiuzulua, vijana wa CHADEMA kwa kuungana na wenzao wa CUF chini ya UKAWA walikanusha, walikanusha baada ya kumuona Maalim Seif amekanusha. Hata hivyo, baadae ikatibitika ni kweli baada ya Lipumba kuongea na wana habari.

Kwa mara nyingine hawa vijana wakawa wakaonekana warongo, wakaonekana ni watu wa kutetea maneno ya viongozi wao hata kama hayo maneno ni pumba.

KWANINI NASEMA YOTE HAYA?
Makene na akina Malisa wanataka kuturudisha enzi za ujima, enzi za mgeni anatangulia kufika kabla ya barua aliyo iandika. Wanataka tuamini screwnshot ya massage ya Mnyika na tuache kuamini taarifa inayo daiwa ya Mnyika na habari iliyo andikwa leo na Raia Tanzania.

Mnyika ana acc ya facebook, na ana page, kubwa Mnyika ni mwepesi sana kutoa taarifa ya kumuhusu kupitia acc yake ya facebook, kwanini aishie tu kumtumia massage Makene na asikanushe kupitia ukurasa wake wa facebook?

Kwanini nasema yote haya? Nasema haya kuwakumbusha GENGE LA BAVICHA LA MTANDAONI kuwa ni mara nyingi watanzania na wanachama wa kawaida wa CHADEMA wamekuwa wakiwaamini na kulipuuza gazeti la Raia tanzania, lakini mwishowe gazeti huonekana limesema kweli, lakini Mbowe na genge la BAVICHA lilopo mtandaoni wanakuwa wamesema urongo. Tunasababu gani ya kuwaamini sasa ikiwa mwanzo tulifanya hivyo na ikawa mmetudanganya?

Hivi tutamini vipi kuwa screen shot inayosambazwa si mkakati wa urongo wa kumlisha maneno Mnyika kama ilivyo kuwa kwa Dkt Slaa na Lipumba?

TAARIFA ILE ILIASHIRIA NINI?
Niwaambie tu ile taarifa haikuzuka na kusambaa kwa bahati mbaya, kwavyovyote vile huenda kulikuwa na mradi maalum wa kuisambaza, na kama kweli ni mradi, hakika mwenye mradi wake amefanikiwa sana.

Ukizingatia ujio wa Lowassa CHADEMA kuliko fuatia na ukimya wa Mnyika, na kubwa zaidi msimamo wa Mnyika juu uchafu wa Lowassa, na kubwa zaidi kutoonekana ukaribu wa Mnyika na Mzee Lowassa, kwa vyovyote vile kuna uwezekano mkubwa ile taarifa ni mradi wa Mnyika mwenyewe.

Huenda Mnyika ameamua kutumia watu ili kuondoa dukuduku lake japo kwa kutumia mbinu ya kujilisha maneno na kisha atoke hadharani akanushe. Jina Magufuli kalichomeka Mnyika katika taarifa yake kwa kusudi maalum. Ile taarifa ingeishia kumshambulia Lowassa tu na kuelezea sababu za ukimya wa Mnyika, ama hakika viongozi wa CHADEMA wasingemuamini Mnyika pamoja na kukanusha kwake.

AU
Huenda ukawa mradi CCM wenye lengo la kumtoa Mnyika pangoni huku akiwa kahamaki kama mbogo aliyechubuliwa na risasi. Wanachotaka waone ukauzu wa Mnyika kutoka hadharani mbele ya media, akanushe taarifa ile iliyosambazwa na kisha azungumzie usafi au uchafu wa Lowassa.

Huu ni mtego kwa Mnyika, hapa Mnyika anapimwa kama ataweza au ana ubavu wa kusema kuwa Lowassa alikuwa chaguo sahihi la UKAWA na kubwa zaidi Lowassa ni mtu safi na ule ushahidi alokuwa nao juu ya ufisadi wa Lowassa si ushahidi bali ulikuwa ni mpango wa kumuangusha kisiasa Lowassa.

Tangu Lowassa aingie CHADEMA, na tangu Slaa ajiuzulu, Mnyika amebadilika, pamoja na kwamba inasemekana kuna kipindi alikuwa anaumwa, lakini ukimya wa Mnyika ni zaidi ya kuumwa. Mnyika CHADEMA imemtumbukia nyongo baada kumpokea Lowassa, hili litapingwa lakini Mnyika enzi za Slaa sio Mnyika wa sasa.

Dotto Rangimoto Chamchua.
call/whatspp 0622845394 Morogoro
UMEANDIKA UZUSHI MTUPU
., . . .
 
TAARIFA KWA UMMA

Ipo hoja nyepesi mno iliyopikwa na Vijana wa Lumumba juu ya Mbunge wa Kibamba na Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika kuwa alimkataa Lowassa

Hoja hiyo ni ya kupuuzwa kwa kuwa haina ukweli wowote ule, na nitalishangaa Jeshi la Polisi kuendelea kukaa kimya,na kumuacha aliepotosha Umma kwa kiwango kikubwa kiasi hicho,jambo ambalo limempa Usumbufu mkubwa Naibu Katibu mkuu kwa chama na Wananchi wake katika jimbo lake.

Nataka kuona nguvu ya Cyber Crime kama kweli sheria hiyo ni dhahiri ni msumeno au huwa inakata upande mmoja tu!.Mnyika ni Kiongozi mkubwa na katika Taasisi kubwa sana nchini CHADEMA,hapaswi kunenewa uongo kwa nia ya kuupotosha Umma naliomba jeshi la Polisi liingie kazini Mara moja kutimiza majukumu yake.

Imetolewa June 03

Edward Simbeye
Katibu Mwenezi BAVICHA Taifa
 
hahahah huyu mbona hamsemi ametumwa au mamluki. au tunasubiri mpaka abwage manyanga ndio tutoe tamko. lakini nilisema hapo awali kabisa Kamanda Mnyika ni mmoja ya wale walioathirika kiukweli kabisa baada ya kukubali kundi la watuhumiwa wa ufisadi na kusababisha kutimka kwa Dr Slaa. kidonda hiki kwake hakijapona na wala hakitapona mpaka pale maamuz magumu ya kulitimua kundi hili yafanyike. tusishangae kwa haya machache yanayotokea.
namheshimu mnyika...hayo Mengine ni ya kwako...so far katika chadema tumesema wazi kama lowasa mwizi apelekwe mahakamani haraka.

ila one thing you have to note...you precisely ni kuwa chadema ni taasisi iliyo zaidi na hisia za mtu Mmoja...Iwe mimi..iwe mbowe..Iwe slaa..iwe lissu

wamekuja wengi wamepita wengi...hata wengine waliuawa kama mawazo
 
acha kujifariji kwa turufu finyu hizi. hivi unaelewa muungano wa ukawa ndio uliipa nguvu chadema. nje ya muungano huu chadema tungekuwa tunaongea mengine kabisa na hata idadi ya wabunge ingeshuka sana. kama kila chama kingejitegemea. unazungumzia maisha ya watanzania yamenyongonyea wewe unadhani kwa sababu gani.?? hudhani kuwa yale mapesa ya wizi ambayo yalikuwa yanatapazwa na mafisadi sasa hayapo. je ulipenda ufisadi uendelee ili mapesa yaendelee kuwafikia wananchi.
toa ushauri walau basi baada kautafiti kadogo ka ku support argument yako. vinginevyo nitasema umeongea pumba tu. unataka kuleta ushabiki usiokuwa na mbele wala nyuma. ushabiki wa kununuliwa na vipesa uchwara
Ninunuliwe ili iweje? Sijawahi kula hela ya siasa wala siasa haijawahi kuingia kunyanyua shughuli zangu ambazo ni za halali kabisa.
Ukweli lazima muukubali, kusema eti Ukawa ndio imeinua Chadema huo ni uongo wa mchana. Kama ni hivyo na CUF jee? Sasa ukawa watakuwa wamemuinua nani? Wewe ndiye umeleta pumba kwa kuandika kama ulivyotumwa na moyo badala ya fikra
 
Mnyika akijitokeza na kuandika jambo lolote kuhusu Lowasa basi mimi nipigwe ban la miezi sita!
 
Mwenye mada humjui au

Jibu kuwa Ni kwanini Myika hatoki hadharani kukanusha story hii
mbona marehemu wilson kabwe aliitwa fisadi na akatumbuliwa hadharani,lkn sendeka msemaji wa ccm akamsafisha siku ya mazishi huku uvccm wakiwa hawajui wafanye nini
 
View attachment 362932

Makene asambaza screenshot ya massage Mnyika kama kielelezo cha kukanusha TAARIFA inayosambaa kwa kasi inayo daiwa imetolewa na Mnyika. Leo gazeti.la Raia Tanzania limeibuka na habari hiyo katika ukurasa wa mbele ikisema "Mnyika ataka Lowassa ashitakiwe"

Kubwa zaidi, vijana wa UKAWA hususani wa CHADEMA tangu jana usiku wanakesha kukanusha hili, na leo hii baada ya Raia Tanzania kutoka na habari hiyo, wamehamishia majeshi ya kwa gazeti hilo wakitaka tulipuuze.

Nilipoona taarifa hizi za Mnyika dhidi ya Lowassa na leo hii kuziona katika ukurasa wa mbele wa gazeti Raia Tanzania, zimenifanya niingie katika Tafakuri nzito. Tafakuri yangu zaidi ilijikita kwa kuwatazama aina ya vijana ambayo CHADEMA inawatengeneza na kubwa zaidi nini taarifa ile iliyodaiwa ya Mnyika iliashiria.

AINA YA VIJANA WA CHADEMA.

Vijana hawa wamekuwa ni vijana wa kula kila kitu bila kutafuna kinachotoka kwa viongozi wao wenye mahaba nao, hata kama hicho kitu ni sumu na hatari kwa maisha yao, wao wanakula tu midhali kasema Mbowe au sahiba wa Mbowe. Hii ina maanisha nini?

Ina maanisha kwamba BAVICHA inathubutu kuinyoshea kidole serikali na chama tawala lakini haliwezi kuwaoneshea kidole vigogo wa CHADEMA. leo hii CHADEMA ikiunda serikali, na kwa kizingatia kasumba ya BAVICHA, haitaweza hata kidogo kuinyoshea kidole serikali inayoundwa NA CHADEMA.

VIJANA WA CHADEMA, zilipotoka habari kwa mara ya kwanza kabisa kuwa Slaa kajiuzulu na ya kwamba sasa haendi tena ofisini pale Ufipa, vijana hawa walipinga na kukanusha, walifanya hivyo sababu Mbowe alipinga na kukanusha taarifa hizo.

Vujana hawa walilishambulia Jenerali Ulimwengu katika mitandao kisa tu magazeti yake ndio yalio ripoti taarifa hizi. Hata hivyo waliona aibu baada Dk Slaa kutoka hadharani na kutangaza kujiuzulu kwake.

VIJANA WA CHADEMA, zilipo sambaa picha.za Lowassa kuhudhuria kikao cha kamati kuu ya CHADEMA na picha hizo pia kuwekwa katika ukurasa wa mbele wa gazeti la Raia Tanzania, hawa vijana hawakuwa nyuma kukanusha. Walikanusha kuwa Lowassa hakuhudhuria kikao kile. Walikanusha si kwamba walikuwa na sababu za kukanusha, walikanusha baada ya kumuona Mbowe amekanusha.

Baada ya Lowassa kujiunga CHADEMA, na baada ya Dkt Slaa kuongea na wanahabari wakati wa kujiuzulu kwake, ukathibitika ni kweli kuwa Lowassa alihudhuria kikao cha kamati kuu ya CHADEMA. hawa vijana wetu wakaonekana tena warongo na wasio na msimamo, na magazeti ya Jenerali kuoneka yalikuwa na ukweli wa mambo.

VIJANA WA CHADEMA, ziliposambaa fununu za Lipumba kujiuzulua, vijana wa CHADEMA kwa kuungana na wenzao wa CUF chini ya UKAWA walikanusha, walikanusha baada ya kumuona Maalim Seif amekanusha. Hata hivyo, baadae ikatibitika ni kweli baada ya Lipumba kuongea na wana habari.

Kwa mara nyingine hawa vijana wakawa wakaonekana warongo, wakaonekana ni watu wa kutetea maneno ya viongozi wao hata kama hayo maneno ni pumba.

KWANINI NASEMA YOTE HAYA?
Makene na akina Malisa wanataka kuturudisha enzi za ujima, enzi za mgeni anatangulia kufika kabla ya barua aliyo iandika. Wanataka tuamini screwnshot ya massage ya Mnyika na tuache kuamini taarifa inayo daiwa ya Mnyika na habari iliyo andikwa leo na Raia Tanzania.

Mnyika ana acc ya facebook, na ana page, kubwa Mnyika ni mwepesi sana kutoa taarifa ya kumuhusu kupitia acc yake ya facebook, kwanini aishie tu kumtumia massage Makene na asikanushe kupitia ukurasa wake wa facebook?

Kwanini nasema yote haya? Nasema haya kuwakumbusha GENGE LA BAVICHA LA MTANDAONI kuwa ni mara nyingi watanzania na wanachama wa kawaida wa CHADEMA wamekuwa wakiwaamini na kulipuuza gazeti la Raia tanzania, lakini mwishowe gazeti huonekana limesema kweli, lakini Mbowe na genge la BAVICHA lilopo mtandaoni wanakuwa wamesema urongo. Tunasababu gani ya kuwaamini sasa ikiwa mwanzo tulifanya hivyo na ikawa mmetudanganya?

Hivi tutamini vipi kuwa screen shot inayosambazwa si mkakati wa urongo wa kumlisha maneno Mnyika kama ilivyo kuwa kwa Dkt Slaa na Lipumba?

TAARIFA ILE ILIASHIRIA NINI?
Niwaambie tu ile taarifa haikuzuka na kusambaa kwa bahati mbaya, kwavyovyote vile huenda kulikuwa na mradi maalum wa kuisambaza, na kama kweli ni mradi, hakika mwenye mradi wake amefanikiwa sana.

Ukizingatia ujio wa Lowassa CHADEMA kuliko fuatia na ukimya wa Mnyika, na kubwa zaidi msimamo wa Mnyika juu uchafu wa Lowassa, na kubwa zaidi kutoonekana ukaribu wa Mnyika na Mzee Lowassa, kwa vyovyote vile kuna uwezekano mkubwa ile taarifa ni mradi wa Mnyika mwenyewe.

Huenda Mnyika ameamua kutumia watu ili kuondoa dukuduku lake japo kwa kutumia mbinu ya kujilisha maneno na kisha atoke hadharani akanushe. Jina Magufuli kalichomeka Mnyika katika taarifa yake kwa kusudi maalum. Ile taarifa ingeishia kumshambulia Lowassa tu na kuelezea sababu za ukimya wa Mnyika, ama hakika viongozi wa CHADEMA wasingemuamini Mnyika pamoja na kukanusha kwake.

AU
Huenda ukawa mradi CCM wenye lengo la kumtoa Mnyika pangoni huku akiwa kahamaki kama mbogo aliyechubuliwa na risasi. Wanachotaka waone ukauzu wa Mnyika kutoka hadharani mbele ya media, akanushe taarifa ile iliyosambazwa na kisha azungumzie usafi au uchafu wa Lowassa.

Huu ni mtego kwa Mnyika, hapa Mnyika anapimwa kama ataweza au ana ubavu wa kusema kuwa Lowassa alikuwa chaguo sahihi la UKAWA na kubwa zaidi Lowassa ni mtu safi na ule ushahidi alokuwa nao juu ya ufisadi wa Lowassa si ushahidi bali ulikuwa ni mpango wa kumuangusha kisiasa Lowassa.

Tangu Lowassa aingie CHADEMA, na tangu Slaa ajiuzulu, Mnyika amebadilika, pamoja na kwamba inasemekana kuna kipindi alikuwa anaumwa, lakini ukimya wa Mnyika ni zaidi ya kuumwa. Mnyika CHADEMA imemtumbukia nyongo baada kumpokea Lowassa, hili litapingwa lakini Mnyika enzi za Slaa sio Mnyika wa sasa.

Dotto Rangimoto Chamchua.
call/whatspp 0622845394 Morogoro
Duuuh post ndeeeeeeeeeefu, utumbo mtupu!!!!
Mavijana mengine bana..
 
Duuuuh aseee lowasa anawatoa roho fisiem,,yaan kutwa hawaish kumtaja kwenye post zao,,wazee wa lumumba wana matatizo sana ,,kipaumbele cha kwanza elimu,cha pili elimu cha tatu elimu,,yaan ni ELIMU,ELIMU,ELIMU,,, hii ilikuwa mahusus kwa watu wa dzain ya hao fisiem,,,
 
Ninunuliwe ili iweje? Sijawahi kula hela ya siasa wala siasa haijawahi kuingia kunyanyua shughuli zangu ambazo ni za halali kabisa.
Ukweli lazima muukubali, kusema eti Ukawa ndio imeinua Chadema huo ni uongo wa mchana. Kama ni hivyo na CUF jee? Sasa ukawa watakuwa wamemuinua nani? Wewe ndiye umeleta pumba kwa kuandika kama ulivyotumwa na moyo badala ya fikra
kamanda unakumbuka kulikuwa na mitafaruku , enye majimbo mengi sababu ya chadema kuhodhi wagombea na kutaka wagombee wao tu. kwingine hata majimbo yalipotea kwa sababu ya mtafaruku huo kama Segerea. hivi unakumbuka kwa mtaji huo kiukweli chadema ililazimisha majimbo mengi wenyewe ndio wasimame kugombea. it was realy unfair na haikuwa demokrasia. tulitumia udikteta tu wa Mbowe. vyama vingine kwa mtaji huu ilibidi vife kibudu mfano kule jimbo la marehemu Makaidi kule Masasi. chadema wali influence mpaka Makaidi akakataliwa na ikawa chanzo cha yeye kupata Pressure kubwa. kiufupi kulikuwa na matendo machafu yaliyofanywa na chadema katika maeneo mengi. na huu ukawa mtaji wa kisiasa kwa kutumia migongo ya vyama vingine. hatukutenda haki hata kidogo
 
namheshimu mnyika...hayo Mengine ni ya kwako...so far katika chadema tumesema wazi kama lowasa mwizi apelekwe mahakamani haraka.

ila one thing you have to note...you precisely ni kuwa chadema ni taasisi iliyo zaidi na hisia za mtu Mmoja...Iwe mimi..iwe mbowe..Iwe slaa..iwe lissu

wamekuja wengi wamepita wengi...hata wengine waliuawa , ma mawazo
mbona hujamtaka kamanda Chacha Wangwe. yeye ilikuwaje au alikufaje.? Chadema bado haijawa taasisi my friend. tumekaa ndani humo miaka yote haijawahi kuwa katika level hiyo, tusidanganyane. bado ni mfumo wa Saccos ya mtu! na wale wote waliokuwa wakidhania ni taasisi na kujaribu kuhoji mambo mambo waliishia kufukuzwa tu kidikteta, bila demokrasia yoyote kufuatwa. kina Zitto, Mwigamba , Prof Mkumbo na wengineo. embu tune akili yako vizuri rudisha kumbukumbu kabla ya yote
 
[QUOT"Maelau, post: 16742059, member: 41240"]Wewe ndio una mawazo finyu sana, sasa hauoni kama huo ndio ubunifu wenyewe unaotakiwa? Kwa ujumla sioni mantiki ya ulichokiandika hapa, kwa kuwa siasa ni mbinu na wenzako wameitumia vyema. Hoja yako ni sawa na mtu aseme "marekani wanajidai kwa kuwa ni muungano wa nchi takribani 53 hivi, ingebaki nchi mojamoja wasingekuwa na nguvu waliyonayo sasa". Rudi shule kijana.[/QUOTE]
shule ?
 
[QUOTE Maelau, post: 16742059, member: 41240"]Wewe ndio una mawazo finyu sana, sasa hauoni kama huo ndio ubunifu wenyewe unaotakiwa? Kwa ujumla sioni mantiki ya ulichokiandika hapa, kwa kuwa siasa ni mbinu na wenzako wameitumia vyema. Hoja yako ni sawa na mtu aseme "marekani wanajidai kwa kuwa ni muungano wa nchi takribani 53 hivi, ingebaki nchi mojamoja wasingekuwa na nguvu waliyonayo sasa". Rudi shule kijana.[/QUOTE]
Shule ?makamanda walishachangia humu wakisema shule kwa tanzania haina maana yoyote. wamesema hata hivyo mfano Mnyika mwenye elimu ya sekondari ana akili kuliko Dr Tulia mwenye phd. sssa shule ya nini tena. HAPA NI KAZI TU hahahaha
 
mbona hujamtaka kamanda Chacha Wangwe. yeye ilikuwaje au alikufaje.? Chadema bado haijawa taasisi my friend. tumekaa ndani humo miaka yote haijawahi kuwa katika level hiyo, tusidanganyane. bado ni mfumo wa Saccos ya mtu! na wale wote waliokuwa wakidhania ni taasisi na kujaribu kuhoji mambo mambo waliishia kufukuzwa tu kidikteta, bila demokrasia yoyote kufuatwa. kina Zitto, Mwigamba , Prof Mkumbo na wengineo. embu tune akili yako vizuri rudisha kumbukumbu kabla ya yote
sasa wewe kama umeshindwa umeshasepa kivyako...who cares about you...tupo tangu 1992 na hatuna Mpango wa kuondoka...wewe uko huru CHADEMA Itaendelea kubaki....utake usitake
 
Back
Top Bottom