Kabla sijaanza kueleza naomba tufahamu kwamba:HAKUNA KITU KIGUMU KAMA KUBISHANA NA UKWELI.ukijifanya mbishi kwenye ukweli unaweza kuugua ugonjwa wa moyo.SASA HUU NDIO UKWELI WA MAMBO ULIVYO:Chadema ni chama ambacho kimeshajenga mizizi mipana,mikubwa na yenye uwezo wa kuangusha JABALI lolote katika nchi hii.LEO hii wapinzani wa CDM mmeamka wakati chadema kimeshamaliza kazi zamani.MBOWE,SLAAna ZITTO wameshafanya kazi zao ndani ya chama ambazo ndio zimeifikisha hapa CDM,na sasa hivi wanagombania fadhila.Kwa sasahivi chadema hakimuitaji ZITTO,MBOWE wala SLAA ili kijitangaze.CDM wameiteka nchi yote ya TZ mpaka zanzibar sasa nawenyewe wameikubali.Jamani hii yote haijaja hivihivi bali kazi kubwa iliyofanywa na viongozi wa CDM.Chadema ni msingi,hii ndio iliyowakata maini kabisa CCM,baada ya KANDA.Jamani sasa hivi ni WATOTO,WAZEE,na lika tofauti wameichukia CCM.Chama kilipofikia hata MBOWE,SLAA,ZITTO nk.,waame ,chadema bado kitashika dora 2015.Nashangaa kusikia eti CDM INAKUFA.WATU WAMEICHOKA CCM.ukweli unauma.