CHADEMA Iko Imara-Lwakatare

CHADEMA Iko Imara-Lwakatare

Saluti chifu Lwakatare, kila njama za siri za kuhujumu chama zitawekwa wazi na hatua za kinidhamu zitachukuliwa
 
Idara nyeti?

Ndani ya Katiba ya Chadema toleo la 2006. Katika Kanuni za Uendeshaji Kazi za Chama. Sura ya 10, Ibara ya ix, imeandikwa: "Kiongozi asijihusishe au kushiriki na vikundi vya kuchonganisha au kuzua migogoro ndani ya Uongozi wa Chama au Wanachama wake."

Na katika Katiba hiyo hiyo Sura ya 7 kuhusu kazi za Kamati Kuu, Ibara ya 7, Ibara ndogo t, imeandikwa: "Kufanya uamuzi juu ya mapendekezo ya kufukuza Mwanachama." Na Ibara ndogo v, imeandikwa: "Kumwachisha ujumbe wa Kamati Kuu mjumbe mteule ambaye ataenda kinyume na Katiba, Kanuni na Maadili au kushindwa kukidhi matakwa ya kuteuliwa kwake."
 
usitokwe na povu!!hadi akutie sumu ndo uamini?sumu+tindikali ndo mbinu ya mbowe na slaa ili mkubaliane nae

Ndani ya Katiba ya Chadema toleo la 2006. Katika Kanuni za Uendeshaji Kazi za Chama. Sura ya 10, Ibara ya ix, imeandikwa: "Kiongozi asijihusishe au kushiriki na vikundi vya kuchonganisha au kuzua migogoro ndani ya Uongozi wa Chama au Wanachama wake."

Na katika Katiba hiyo hiyo Sura ya 7 kuhusu kazi za Kamati Kuu, Ibara ya 7, Ibara ndogo t, imeandikwa: "Kufanya uamuzi juu ya mapendekezo ya kufukuza Mwanachama." Na Ibara ndogo v, imeandikwa: "Kumwachisha ujumbe wa Kamati Kuu mjumbe mteule ambaye ataenda kinyume na Katiba, Kanuni na Maadili au kushindwa kukidhi matakwa ya kuteuliwa kwake."
 
huyu msukule anatia huruma kwa kweli,si atulie tu angoje kufa.bure anajipendekeza wakati hana analolijua.
 
We molemo slaa amepiga marufuku mbona unamkosea adabu katibu mkuu wako,
Rwakatare kesi yake ya ugaidi imefika wapi.

Kuhusu kesi muulize MWIGULU LAMECK MADELU MKUMBO kwani yeye ndio IGP, DPP kwa hiyo anaweza kujua ilipofikia
 
kilaza hata akiwa nyuma ya keyboard utamjua,huwa lazima atukane

quote_icon.png
By mshunami

Wee m..----- keli kweli!
 
Ndani ya Katiba ya Chadema toleo la 2006. Katika Kanuni za Uendeshaji Kazi za Chama. Sura ya 10, Ibara ya ix, imeandikwa: "Kiongozi asijihusishe au kushiriki na vikundi vya kuchonganisha au kuzua migogoro ndani ya Uongozi wa Chama au Wanachama wake."

Na katika Katiba hiyo hiyo Sura ya 7 kuhusu kazi za Kamati Kuu, Ibara ya 7, Ibara ndogo t, imeandikwa: "Kufanya uamuzi juu ya mapendekezo ya kufukuza Mwanachama." Na Ibara ndogo v, imeandikwa: "Kumwachisha ujumbe wa Kamati Kuu mjumbe mteule ambaye ataenda kinyume na Katiba, Kanuni na Maadili au kushindwa kukidhi matakwa ya kuteuliwa kwake."

wapi inahusu kiongozi asibebe sumu na tindikali
 
We molemo slaa amepiga marufuku mbona unamkosea adabu katibu mkuu wako,
Rwakatare kesi yake ya ugaidi imefika wapi.
...hapo kwenye red kamuulize savimbi, ameshindwa kukamilisha movie yake ..?
 
Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama Chadema Wilfred Lwakatare amesema chama chake kimezidi kuwa imara baada ya kuchukua hatua ya kuwafukuza wasaliti mara moja walipobainika.

Kiongozi huyo anayeongoza Idara nyeti ya Kurugenzi ya Ulinzi na usalama ndani ya chama amesema Idara yake ya usalama iko makini sasa hivi kuliko wakati mwingine wowote.

Ammesema wako Imara kulinda mali za chama na viongozi wake na kupokea maagizo yoyote yatakayoamuliwa na ngazi ya juu.

Lwakatare amesema si jambo la ajabu kufukuza wasaliti wanaokwenda kinyume na taratibu za chama.

Source:Mwananchi.

Hivi huyu Lwakatare si ndiye aliyeambiwa amshughulikie Nyakarungu?!
 
If I learnt this language thoroughly, then your post could have been rephrased this way...

Entare y' Omuka

Cheyi, indeed the man is right and you are without doubt right, Shana wenene omukigambo 'Okumoka, abomuka bakweta roaring, mbwenu iwe, oyenzire kugamba entare Y'omuka, rwona nikwo kugamba Entare Ya kibeta, byona amoi entare yamoka naitwe twagihurira! Wakola waitu omushongole!!
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu.

CHADEMA inaendelea na itaendelea kusonga mbele zaidi kwa vile tulianza na Mungu, tutamaliza na Mungu. Ndo maana tunawagundua wasaliti na mapandikizi yanayojiinua kutaka kutuvuruga.
 
Huwezi kuzuia mazishi ya machadema labda uwe zuzu
 
Back
Top Bottom