Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,180
- 85,338
Team,
Tunaishi kwenye ulimwengu ambao ukosefu wa ajira rasmi umekua tatizo kubwa sana, Tanzania haiwezi kujitenga na ukweli huu.
Sasa, kwakuwa Serikali sikivu ya CCM imeua vyuo vya Ufundi na vile vya jamii ni vyema CHADEMA ikaunda na kutamka wazi wazi kuvifufua vyuo hivi.
Vyuo hivi baadhi vilikuwa chini ya Wizara ya Afya na vingine vikawekwa chini ya Wizara ya Elimu.
Vyuo hivi vilikuwa vimetapakaa nchi nzima vikifundisha skills mbali mbali ambazo ziliwawezesha wanufaika kumudu maisha yao pasipo kupiga mfumo.
Tunaishi kwenye ulimwengu ambao ukosefu wa ajira rasmi umekua tatizo kubwa sana, Tanzania haiwezi kujitenga na ukweli huu.
Sasa, kwakuwa Serikali sikivu ya CCM imeua vyuo vya Ufundi na vile vya jamii ni vyema CHADEMA ikaunda na kutamka wazi wazi kuvifufua vyuo hivi.
Vyuo hivi baadhi vilikuwa chini ya Wizara ya Afya na vingine vikawekwa chini ya Wizara ya Elimu.
Vyuo hivi vilikuwa vimetapakaa nchi nzima vikifundisha skills mbali mbali ambazo ziliwawezesha wanufaika kumudu maisha yao pasipo kupiga mfumo.