Chadema, Igunga Itufunze kuwa na heshima

Chadema, Igunga Itufunze kuwa na heshima

The Dude

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2011
Posts
1,029
Reaction score
461
Hukumu ya leo kuhusu matokeo ya uchaguzi Igunga imeibua vitu kadhaa kwa vyama vya siasa,hasa chadema kujifunza.

Wamekuwa wepesi sana siku zote kulalamika mahakama haitendi haki na kuwa mhimili huu wa haki unaingiliwa sana. Lakini leo wamekuwa wepesi kusema haki imetendeka-kisa wameshinda kesi.

Je,haki inatendeka tu wakishinda chadema?Na uhuru wa mahakama unakuwa umeingiliwa pale tu ccm ikishinda kesi ya uchaguzi kama kule Arusha?

Nadhani let us give the devil his due(his being a devil notwithstanding!)
Tujifunze kutokuwa wepesi kuropoka,kulaumu,kukejeli,kutunga uongo na kutukanana/kuchafuana kusiko na msingi wala tija.

Nyongeza:
Tena hili la Tundu Lisu kuwaita majaji vilaza litawacost..mnajua kitu kinaitwa ‘judicial hunch‘? Ni ile hali ya jaji kuskiliza kesi na kuamua not on the basis of the facts and evidence tendered but on prior information,feelings,or opinions he holds regrding the matter..wakati mwingine tunasema jaji kawa ‘prejudiced‘.

Mfano,mshawatukana majaji sana kupitia Tundu Lisu,mtashangaa Godbless Lema akishinda rufaa yake Court of Appeal,ambayo haohao majaji mlowaita vilaza wanapreside?
It is so unfortunate that Tundu Lisu is an advocate of the high court,and courts subordinate thereto.He also happens to be his party‘s whip in the parliamnet.I though he should know better. If anything,hitting below the belt like that just works against him.it will all be coming back to him(and chadema for that matter!)
 
chadema wanajisumbua buleeeee....................uchaguzi hata ukirudiwa ccmmmm itashinda tena
watanzania wameichokaaaaaa chademaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kwa kuendeleza ukabila na kunyanyasa wanachi kwa kujipendelea viti maluuuum full undugu
 
chadema wanajisumbua buleeeee....................uchaguzi hata ukirudiwa ccmmmm itashinda tena
watanzania wameichokaaaaaa chademaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kwa kuendeleza ukabila na kunyanyasa wanachi kwa kujipendelea viti maluuuum full undugu
Pole..
 
Maneno mengi hayajengi,ila tukumbuke lila na fila havitangamani.PENYE UKWELI UONGO HUJITENGA.MADUDU YA CCM YAMEANZA KUFICHUKA.
 
Hukumu ya leo kuhusu matokeo ya uchaguzi Igunga imeibua vitu kadhaa kwa vyama vya siasa,hasa chadema kujifunza.

Wamekuwa wepesi sana siku zote kulalamika mahakama haitendi haki na kuwa mhimili huu wa haki unaingiliwa sana. Lakini leo wamekuwa wepesi kusema haki imetendeka-kisa wameshinda kesi.

Je,haki inatendeka tu wakishinda chadema?Na uhuru wa mahakama unakuwa umeingiliwa pale tu ccm ikishinda kesi ya uchaguzi kama kule Arusha?

Nadhani let us give the devil his due(his being a devil notwithstanding!)
Tujifunze kutokuwa wepesi kuropoka,kulaumu,kukejeli,kutunga uongo na kutukanana/kuchafuana kusiko na msingi wala tija.

Mkuu siyo kwamba majaji wote ni wabaya. Asilimia kubwa ni majaji ambao wanatoa hukumu wakiwa wamevaa Umagamba. Pia hata hawa wanaotoa haki kinachowapata wanajua wao. Mfano mzuri ni Jaji Mwalusanya alijitahidi kutoa haki lakini alikaliwa kooni na hata hakuweza hata kupandishwa kuwa JA. Pia alitungiwa sheria ya kumbana yaani Basic Rights and Duties Enforcement Act iliyoweka majaji watatu baada ya kesi zilizopita kwa Mwalusanya, Serikali ilishindwa
 
Ukweli unaujua ndugu lakini kwa sababu binafsi unasema mahakama inatenda haki kitu ambacho hata wewe moyo wako hauamini kama mahakama inatenda haki, pole kwa kujisumbua kwani leo Abdala safari amedhirisha ni ngozo nyingine imara ya cdm
 
Kuna sehemu hata mtoto mdogo anajua hapa kuna namna na wala si bure
hebu jaribu kuangalia habari ya jimbo la arusha mjini mlalamikaji hakuwahi fika mahakaman kutoa ushahidi
Pia hapakuwa na ushahidi unaoshikika lakin jaji anasoma hukumu nusu saa na kutengua ubunge?
Hapo jaribu pia kuangalia umuhimu wa jiji la arusha kidiplomasia na kiuchumi ndo utagundua kwanini watu wanalalamika haki haikutendeka.?
 
Hukumu ya leo kuhusu matokeo ya uchaguzi Igunga imeibua vitu kadhaa kwa vyama vya siasa,hasa chadema kujifunza.

Wamekuwa wepesi sana siku zote kulalamika mahakama haitendi haki na kuwa mhimili huu wa haki unaingiliwa sana. Lakini leo wamekuwa wepesi kusema haki imetendeka-kisa wameshinda kesi.

Je,haki inatendeka tu wakishinda chadema?Na uhuru wa mahakama unakuwa umeingiliwa pale tu ccm ikishinda kesi ya uchaguzi kama kule Arusha?

Nadhani let us give the devil his due(his being a devil notwithstanding!)
Tujifunze kutokuwa wepesi kuropoka,kulaumu,kukejeli,kutunga uongo na kutukanana/kuchafuana kusiko na msingi wala tija.

Tupa kule!
 
chadema wanajisumbua buleeeee....................uchaguzi hata ukirudiwa ccmmmm itashinda tena
watanzania wameichokaaaaaa chademaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kwa kuendeleza ukabila na kunyanyasa wanachi kwa kujipendelea viti maluuuum full undugu
Ama kweli nyani haoni kundule, DK Hussein Mwinyi mtoto wa raisi mstaafu mwinyi, January Makamba mtoto wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, Vita Kawawa???, Malima???, nk.........
 
Mkuu siyo kwamba majaji wote ni wabaya. Asilimia kubwa ni majaji ambao wanatoa hukumu wakiwa wamevaa Umagamba. Pia hata hawa wanaotoa haki kinachowapata wanajua wao. Mfano mzuri ni Jaji Mwalusanya alijitahidi kutoa haki lakini alikaliwa kooni na hata hakuweza hata kupandishwa kuwa JA. Pia alitungiwa sheria ya kumbana yaani Basic Rights and Duties Enforcement Act iliyoweka majaji watatu baada ya kesi zilizopita kwa Mwalusanya, Serikali ilishindwa

Ni kweli mwalusany alitekelezwa.Hadi anafariki mwaka juzi (au mwaka jana) pale Dodoma alikuwa katika hali ya kusikitisha.

Lakini Basic Rights and Duties enforcement Act hakutungiwa Mwalusanya bana sio kweli..kwanza hiyo Act inaruhusu jaji mmoja kuamua whther high court inaweza kuentertain suit brought up under the Act,na afterwards ndio mandatory wakae watatu.

Nasema haikutungwa kuwabana majaji sababu pamoja na hiyo Act bado kuna so many judgements decided ahainst the govt ama rulling party.

Cha msingi ni kuwa majaji wengi wako bold while others are not.And me and you know that that doesn‘t make the judiciary partial.
 
Hukumu ya leo kuhusu matokeo ya uchaguzi Igunga imeibua vitu kadhaa kwa vyama vya siasa,hasa chadema kujifunza.

Wamekuwa wepesi sana siku zote kulalamika mahakama haitendi haki na kuwa mhimili huu wa haki unaingiliwa sana. Lakini leo wamekuwa wepesi kusema haki imetendeka-kisa wameshinda kesi.

Je,haki inatendeka tu wakishinda chadema?Na uhuru wa mahakama unakuwa umeingiliwa pale tu ccm ikishinda kesi ya uchaguzi kama kule Arusha?

Nadhani let us give the devil his due(his being a devil notwithstanding!)
Tujifunze kutokuwa wepesi kuropoka,kulaumu,kukejeli,kutunga uongo na kutukanana/kuchafuana kusiko na msingi wala tija.
Mkuu, acha kujifanya chizi. hata kama hukumu iliyotolewa leo ni ya haki, hii haiondoi ukweli kuwa uhuru wa mahakama umeingiliwa sana na hii serikali ya ccm. USITULAZIMISHE KUBADILI MAWAZO YETU KWA MHIMILI HUU WA DOLA ETI KISA, WAMETENDA HAKI KWENYE HII HUKUMU. ukweli ni kwamba mahakama inaboronga sana katika utendaji wake, kupatia kwenye hili hakufuti ukweli kuwa utendaji wa mahakama kwa hivi karibuni umekuwa m-bovu kupindukia.
 
Mleta thread unadhihirisha wazi kuwa huna uwezo wa kuchambua hukumu zinazotolewa katika mahakama zetu. Au ametumwa kupima kumbu kumbu na uelewa wa Watanzania?
 
Mleta thread unadhihirisha wazi kuwa huna uwezo wa kuchambua hukumu zinazotolewa katika mahakama zetu. Au ametumwa kupima kumbu kumbu na uelewa wa Watanzania?

Kumbukumbu zipi? Tatizo kila mtu akikaa humu anajiona mwanasheria..ndio maana wakasema these are courts of law,not public opinion!
 
Wacha kupotosha watu wewe .wa Tz wa sasa wanaelewa mambo kuliko unavyo dhani wewe ,watu wanafuatilia kesi zote kwa umakini na wanaelewa vizuri
 
Wacha kupotosha watu wewe .wa Tz wa sasa wanaelewa mambo kuliko unavyo dhani wewe ,watu wanafuatilia kesi zote kwa umakini na wanaelewa vizuri

Embu niambie kesi ipi wewe uliifuatilia ukaielewa,unipe facts,issue,decision,reasoning na sheria ilotumika..

Nakwambia Tundu Lissu atawacost nyie.
Ustaarab ni hulka ya mtu,haufundishwi darasani wala hakuna chuo cha sheria kinafundisha ustaarab..

Unaweza kucritique reasoning za majaji sawa lakini sio kutoa baseless accusations which end up being personal attacks..
 
Huu ni ukweli tusilaumu kwa kuwa hatukupata sisi, haki inaweza kutendeka na kwa wao.
 
Back
Top Bottom