shirokurogin41
Member
- Jan 9, 2014
- 7
- 2
Ndugu MAKAMANDA wa chadema na wa Tanzania wapenda mabadiliko ktk taifa hili,naomba muige mfano kutoka inchi maskini ya Zambia lakini yenye utajiri wa siasa safi.
Ikumbukwe kuwa toka Rais wa kwanza wa Zambia Dr,Keneth Kaunda kuondoka madarakani na chama chake kumfia mkononi,Kilikuja chama cha MMD,kikafa na sasa ni PF chini ya Raisi Michael Sata.
Michael sata kabla hajashinda urais na chama chake kuingia madarakani alisha jaribu mara tatu na kushindwa.
Wafuasi wake baadhi waliotaka madaraka hakuwaamini,na hakika angewaachia chama kingefia njiani kwani hawakujua uchungu na dhahama ambazo zilimkumba akiwa anatengeneza chama.
Wanachama wote baada ya kuona hataki kuondoka madarakani,walimuelewa na kuamua kukuzana kukijenga chama kwa maslahi ya nchi.Leo hii tukimuondoa mh, MBOWE na Dr SLAA Chama kitakufa ndani ya mwaka tu.Kinachotakiwa ni kukijenga chama ili kiingie madarakani baada ya hapo faida yenu na kwa vizazi vyenu mtaipata.
Niko Ziarani Zambia nafanya utafiti zaidi hawa wenzetu wanafanyaje mpaka wanaondoa vyama kandamizi kirahisi
nikirudi nitawajuza.:clap2::clap2:
Ikumbukwe kuwa toka Rais wa kwanza wa Zambia Dr,Keneth Kaunda kuondoka madarakani na chama chake kumfia mkononi,Kilikuja chama cha MMD,kikafa na sasa ni PF chini ya Raisi Michael Sata.
Michael sata kabla hajashinda urais na chama chake kuingia madarakani alisha jaribu mara tatu na kushindwa.
Wafuasi wake baadhi waliotaka madaraka hakuwaamini,na hakika angewaachia chama kingefia njiani kwani hawakujua uchungu na dhahama ambazo zilimkumba akiwa anatengeneza chama.
Wanachama wote baada ya kuona hataki kuondoka madarakani,walimuelewa na kuamua kukuzana kukijenga chama kwa maslahi ya nchi.Leo hii tukimuondoa mh, MBOWE na Dr SLAA Chama kitakufa ndani ya mwaka tu.Kinachotakiwa ni kukijenga chama ili kiingie madarakani baada ya hapo faida yenu na kwa vizazi vyenu mtaipata.
Niko Ziarani Zambia nafanya utafiti zaidi hawa wenzetu wanafanyaje mpaka wanaondoa vyama kandamizi kirahisi
nikirudi nitawajuza.:clap2::clap2: