CHADEMA ifutwe kabisa

sijasoma yote lakini kwa kukuelekeza ni kwamba CHADEMA ni moja ya vyama bora africa kinapita kwenye changamoto lakini kitakaa sawa tu.
fundi hajengi bila kukata tofari wala hashoni bila kukata kitambaa kwa hiyo ni swala la muda wapo watu wenye nguvu na ushawishi mkubwa tu bado hawajavaa viatu vyao sawasawa
 
Ungefutwa wewe na ukooo wako kwanza ndio ingebora sana sababu ni aibu kuendelea kuwa na mabashite kama nyie hapa Tanzania hamna faida jitathimini uone kama una Faida ya kuishi
 
Kinyesi kitupu umeandika.
 
Uzi wake ni ironic, kaandika kimajungu uzi wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…