CHADEMA Hoja ya Gwajima 'Kwa mfano Mtoto wa Rais akitekwa, akatobolewa macho utajisikiaje ? Hoja hii waifanye iwe kubwa sana

CHADEMA Hoja ya Gwajima 'Kwa mfano Mtoto wa Rais akitekwa, akatobolewa macho utajisikiaje ? Hoja hii waifanye iwe kubwa sana

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
28,749
Reaction score
91,814
Kundi kubwa la Wamama wa Tanzania , Ambao wengi Wana Elimu za kawaida kabisa , Wanaelewa hii Hoja ,japo ni mfano !!.

Fikiria unamwambia Mama wa Moshi huko Ndani Ndani...

Mtoto wako anatekwa, anauliwa , Rais yuko kimya , Je angekua ni mtoto wa Rais ametekwa, Rais angekaa kimya?.

Kati ya Hoja za Msingi kabisa, unazoweza kuwafanya Wanawake Akina Mama wa Kitanzania wakamkasirikia Samia zaidi ni HOJA ZINAZOGUSA HISIA ZA WANAWAKE ( AKINA MAMA).

Kuna Kitu kinaitwa "Emotional Enslavement" , hiii hutumika Kuzikamata Hisia za Mwanamke /Mwanamama na Kumfanya awe vile unavyohitaji!!.

Juzi kidogo alijaribu Rose Mayemba, Mnaona wakina Mama wakaanza kububujikwa na Machozi ya Hasira na Huzuni.... Sasa hii Ndio Emotional Enslavement!!

Ni wakati wa Kuwafanya Wanawake na Akina Mama wote Tanzania wakiamini CHADEMA kama Chama pekee kitakachokomesha UTEKAJI NA MAUAJI YA WATOTO WAO !!.
 
Subiri lucas mwashamba amalize kuvaa pedi maana kabubujikwa na machozi leo dodoma kwa mtungo
 
Subiri lucas mwashamba amalize kuvaa pedi maana kabubujikwa na machozi leo dodoma kwa mtungo
Chawa Pro max yule Lucas Mwashamba/ Mshamba na Mjinga Mmoja Asiyejitambua
 
Back
Top Bottom