WanaJF ambao ni wapenzi na wakereketwa wa CDM,pia kwa wanachama na viongozi kwa ujumla naomba kutoa angalizo mapema ili liwezekufanyiwa kazi mapema zaidi hasa katika katiba mpya pamoja na tume ya uchaguzi kwa ujumla
HOJA yangu ni kuhusu tatizo la form za kugombea hasa ubunge na udiwani.Nakumbuka kuna majimbo yaliyopita bila CDM kuwa na mwakilish,na baadhi yalitokana na sababu ya wagombea kuchukua form bila kurudisha.
Kuna wangine ambao walienda kuchukuwa form tume na kuambiwa kuwa tayari kuna mwanachama wenu amechukuwa hvyo kama unahitaji form inabidi atafutwe aliyechua hiyo form ndipo upewe nyingine na hii ilisemekana kwamba ni njama zilifanywa na CCM kushirikiana na viongozi wa tume.
Hivyo CDM mmejipanga vipi 2015 ILI lisitokee tena kama ni kweli ilikuwa ni hujuma?nafikiri kwa wanaolifahamu hili vizuri watalitolea ufafanuzi zaidi.naomba kuwasilisha.
HOJA yangu ni kuhusu tatizo la form za kugombea hasa ubunge na udiwani.Nakumbuka kuna majimbo yaliyopita bila CDM kuwa na mwakilish,na baadhi yalitokana na sababu ya wagombea kuchukua form bila kurudisha.
Kuna wangine ambao walienda kuchukuwa form tume na kuambiwa kuwa tayari kuna mwanachama wenu amechukuwa hvyo kama unahitaji form inabidi atafutwe aliyechua hiyo form ndipo upewe nyingine na hii ilisemekana kwamba ni njama zilifanywa na CCM kushirikiana na viongozi wa tume.
Hivyo CDM mmejipanga vipi 2015 ILI lisitokee tena kama ni kweli ilikuwa ni hujuma?nafikiri kwa wanaolifahamu hili vizuri watalitolea ufafanuzi zaidi.naomba kuwasilisha.