CHADEMA hii kesi ya Mbowe wasiichukulie mzaha, ni muda muafaka wa Tundu Lissu kurudi kuongeza nguvu upande wa utetezi

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Mar 27, 2012
1,657
2,252
Lazima kila vita ujiandae vizuri. Wakurya wanasema Vita ni vita. Hakuna Vita ndogo.

Simba akikamata hata kaswala kadogo lazima ashike shingo hana masihara kabisa. Yasije kuwakuta ya Simba.

Ukweli Wakili wenye maswali na anayeenda vizuri ni Kibatala. Wengine leo wana maswali mazuri kesho tena sioni kabisa. Naamini hii kesi imelalia upande. Kosa dogo mnampoteza Mbowe.

Wakili mwenye uwezo wa kuisimamia hii kesi na mwenye uwezo mzuri sawa na Kibatala ni Tundu Lissu tena aambatane na Mawakili wawili wa Kimagharibi ambao wana uzoefu na kesi zenye sura ya kisiasa.
 
Pamoja na kutojua sheria kwangu hamna kesi humo wewe..so far sijaona kithibitisho chochote kwa washitakiwa kutenda kosa..nasema walau kosa tu achilia mbali huo Ugaidi
Mlisema hivyo hivyo kwenye kesi ya awali mkaangukia pia. Kosa dogo tu mawakili hata hawakufikilia. Nazani Tundu akiwepo Mambo NI mepesi.
 
Lazima kila vita ujiandae vizuri. Wakurya wanasema Vita ni vita. Hakuna Vita ndogo.

Simba akikamata hata kaswala kadogo lazima ashike shingo hana masihara kabisa. Yasije kuwakuta ya Simba...
Huyo Rais wa Mashoga unafikiri atasaidia nini? Mwache aendelee kulelewa huko Ubelgiji kama ambavyo Lema anavyolelewa huko Canada.
 
Lazima kila vita ujiandae vizuri. Wakurya wanasema Vita ni vita. Hakuna Vita ndogo.

Simba akikamata hata kaswala kadogo lazima ashike shingo hana masihara kabisa. Yasije kuwakuta ya Simba...
Huwa napata ukakasi sana ninaposikia watu ambao mara nyingi ni watetezi wa serikali wakiwa wanatoa ushauri kama huu wa kumtaka Tundu Lissu arudi nchini. Najiulizaga nia yao ni nini hasa?
 
Nafikiri Chadema hasa hawa wa mtandaoni ni muhimu kuwa na objectivity kwenye thinking au kuchangia kwani hata ushauri nini wanahisi wanadhihakiwa siamini km viongozi pale juu wako hivyo.

Sisi sote ni watanzania mchango wa upinzani tunaujua hivyo tunashauri ili tuweze kupata yaliyo bora km chama kitajipanga vizuri.

Hii uliyosema ni kweli kabisa ni muhimu kustrategize kwenye hii issue ya kumrescue chairman isichukuliwe poa hata kidogo. Mtaona mko sawa mashahidi wanapoulizwa irrelevant questions kesho hukumu inapita mtu anafungwa ndio muamke.

Amkeni sasa na muache ubishi ulizeni chama chenu shida ni nini ikibidi msaidie kwa mipango na rasilimali ikibidi.
 
Pamoja na kutojua sheria kwangu hamna kesi humo wewe..so far sijaona kithibitisho chochote kwa washitakiwa kutenda kosa..nasema walau kosa tu achilia mbali huo Ugaidi
Ndo kwa maswali ya mawakili wale wale et mtuhumiwa alinunuliwa eneji na nyama choma na nani?
 
Huwa napata ukakasi sana ninaposikia watu ambao mara nyingi ni watetezi wa serikali wakiwa wanatoa ushauri kama huu wa kumtaka Tundu Lissu arudi nchini. Najiulizaga nia yao ni nini hasa?
Mfumo unazidi kusomwa na media na kuweka mambo hadharani, wakati walishajimilikisha nchi yao.

Rimoti ya Lissa inafanyakazi na inasambaa.
 
Nafikiri Chadema hasa hawa wa mtandaoni ni muhimu kuwa na objectivity kwenye thinking au kuchangia kwani hata ushauri nini wanahisi wanadhihakiwa siamini km viongozi pale juu wako hivyo...
Tuulize mihimili ikoje? Matendo yaliyopo kwenye mihimili hiyo inavumilika? Inatimiza matakwa ya watanzania wote au inabagua?

Umechangia vizuri lakini tatizo haliko kwa vijana au wanachadema au wanamtandao. Waliobeba matatizo yote ya chuki ni dola. Dola ingetenda haki hata CCM wangejirekebisha na wangefuata sheria. Na chuki zingeisha.

Mihimili ingesimama na kujiendesha yenyewe bila kukomoana.
 
Lazima kila vita ujiandae vizuri. Wakurya wanasema Vita ni vita. Hakuna Vita ndogo.

Simba akikamata hata kaswala kadogo lazima ashike shingo hana masihara kabisa. Yasije kuwakuta ya Simba...
as long as mahakama zinaendeshwa na Samia, hata wakija mawakili wote wa dunia, wameshaamua wacha wafanye wanalotaka.
 
Back
Top Bottom