Tetere Enjiwa
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 217
- 65
CCM na Serikali yake imekuwa ikiwatumia vibaraka wake kukandamiza haki za wananchi. Mfano mzuri ni jinsi wanavyo tumia makanda wa polisi, mahakimu, kutoa maamuzi ya kunyima haki watu. Mimi nadhani imefika wakati sasa kujichukulia sheria mkononi kuwaadhibu hawa vibaraka wanaotumiwa. Naona mngeanzia hapo Arusha kuliko kulala siku saba hapo viwanja vya NMC mngelala nyumbani kwa Zuberi na kwa hakimu aliyekataa kusaini remove order.
Mimi naona ni wakati muafaka sasa kuwaonyesha hawa vibaraka wa ccm na serikali kuwa wanachakupoteza wanapofanya maamuzi haya ya ukandamizaji. Wanatakiwa wajue kuwa kuna nguvu ya umma inayoweza kuwaadhibu kama hawatafanya haki kwa wananchi, ilivyo sasa wanafanya maamuzi kwa kujua kua wataongezewa vyeo na marupurupu huku wakijua kuwa masikini hawa wa Tz hawana cha kuwafanya, naomba kuwakilisha hoja.
Mimi naona ni wakati muafaka sasa kuwaonyesha hawa vibaraka wa ccm na serikali kuwa wanachakupoteza wanapofanya maamuzi haya ya ukandamizaji. Wanatakiwa wajue kuwa kuna nguvu ya umma inayoweza kuwaadhibu kama hawatafanya haki kwa wananchi, ilivyo sasa wanafanya maamuzi kwa kujua kua wataongezewa vyeo na marupurupu huku wakijua kuwa masikini hawa wa Tz hawana cha kuwafanya, naomba kuwakilisha hoja.