johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,000
- 142,027
Mambo yasiwe mengi naomba ufafanuzi tu Viongozi wa Chadema Fedha za kuzunguka huko Duniani na kwenye kumbi za kuangalia World Cup wanaotoa.wapi?
Ikumbukwe Tundu Lisu anashindwa kurudi nchini kwa sababu hana nauli na aliomba msaada kwa Chama ikashindikana
Mungu ni mwema wakati wote
Ikumbukwe Tundu Lisu anashindwa kurudi nchini kwa sababu hana nauli na aliomba msaada kwa Chama ikashindikana
Mungu ni mwema wakati wote