jamani hii ziyo siasa! hata mheshimiwa mbunge hajazikwa, tayari vurugu zimeshaanza kutokea kuhusu mgombea wa nafasi aliyoiacha wazi huko aru meru mashariki! kisa hikikilitokea ijumaa mjini moshi pale baada ya tuhuma kutolewa dhidi ya katibu wa chadema mkoa wa kilimanjaro bazil lema, amepewa rushwa ya shilingi milioni 20 na mtu ambae ana nia ya kugombea kiti hicho kwa tiketi ya chadema ili ampigie debe kwa uongozi wa chama hicho taifa ambako lema anadaiwa kuwa na sauti kubwa.
Haya yamefichuka baadaya lema kukutana na mgombea huyo na watu wanaodaiwa wanatoka aru meru ambao ni wapiga debe wazuri katika hoteli moja ya kitalii mjini moshi.
sisi tunasema ya arusha tuachiwe waarusha wenyewe, tuna kamati zetu za kuteuwa wagombea wa nafasi zote.
Haya yamefichuka baadaya lema kukutana na mgombea huyo na watu wanaodaiwa wanatoka aru meru ambao ni wapiga debe wazuri katika hoteli moja ya kitalii mjini moshi.
sisi tunasema ya arusha tuachiwe waarusha wenyewe, tuna kamati zetu za kuteuwa wagombea wa nafasi zote.