Ukifuatilia kwa makini, utagundua chama cha harakati [CHADEMA] hawajui wanahitaji nini ili kufikia malengo ya ajenda yao ya NRNE.
Leo hii, akiibuka mtu yoyote kutoka chama chochote na kusemea kuhusu ajenda ya No Reforms, No Election basi watapanda gari lake na kusema ni shujaa wao.
Hii ni kwa sababu, CHADEMA kama chama cha kisiasa hakina watu wenye haiba ya uongozi wenye uwezo wa kusukuma mabadiliko ya kisiasa, ila wana kundi la watu wenye haiba ya harakati kwa wananchi.
Ndio maana, ni rahisi kuwafahamu vijana wenye matusi wa CHADEMA kuliko kuwafahamu viongozi wanaoweza kujenga hoja ndani ya chama.
Sasa ajenda za mabadiliko zinatakiwa zijengwe na viongozi wenye haiba ya uongozi kwa wananchi wake, watanzania hawajawahi kuwapokea vizuri wanaharakati, ndio maana akitokea kiongozi wa chama kingine wanamrukia na kumgeuza shujaa, ilihali huyo kiongozi anawatumia CHADEMA kisha mambo yakikaa vizuri kwenye chama chake, anarudi anaendelea na majukumu yake.
Leo hii, akiibuka mtu yoyote kutoka chama chochote na kusemea kuhusu ajenda ya No Reforms, No Election basi watapanda gari lake na kusema ni shujaa wao.
Hii ni kwa sababu, CHADEMA kama chama cha kisiasa hakina watu wenye haiba ya uongozi wenye uwezo wa kusukuma mabadiliko ya kisiasa, ila wana kundi la watu wenye haiba ya harakati kwa wananchi.
Ndio maana, ni rahisi kuwafahamu vijana wenye matusi wa CHADEMA kuliko kuwafahamu viongozi wanaoweza kujenga hoja ndani ya chama.
Sasa ajenda za mabadiliko zinatakiwa zijengwe na viongozi wenye haiba ya uongozi kwa wananchi wake, watanzania hawajawahi kuwapokea vizuri wanaharakati, ndio maana akitokea kiongozi wa chama kingine wanamrukia na kumgeuza shujaa, ilihali huyo kiongozi anawatumia CHADEMA kisha mambo yakikaa vizuri kwenye chama chake, anarudi anaendelea na majukumu yake.