kuikubali ccm ni kipimo cha ujinga hasa kwa kijana wa sasa maana huku kwetu wapo wabibi wazee ukiongelea ccm wanatema mate chini.
Takribani miaka minane sasa tangu CHADEMA kipate jina na umaarufu nchini.
Hapana shaka kuwa,si Bob Makani wala Mbowe,waliokipa sifa na umaarufu nchini,Bali ni Zitto Kabwe,na Wilbroad Slaa,katika Bunge la JMT.
Ni hawa wawili ndio wamepelekea kimbunga cha wabunge toka CDM kuingia mjengoni bila hata wao kutarajia ktk uchaguzi wa 2010.
Matunda ya kimbunga cha CDM mjengoni mwaka 2010 ndio yamewafanya vijana wengi kuwa wajuaji na wabishi huku wote wakiamini kujirudia kwa kimbunga hicho ktk uchaguzi ujao nao waneemeke,ni ktk dhana hii hii vijana wengi hii leo wanajifanya watetezi wa watanzania,na walinzi wa rasilimali za nchi ili tu waneemeke 2015, nao watatue shida zao.
Kwa kipindi hiki chote cha takribani miaka 8,wabunge wa Cdm hawajaleta maendeleo yoyote zaidi ya kuwanunulia vijana viroba maana ndio mtaji wao.
Pia hakuna maendeleo katika majimbo yao.
Sugu,Wenje,Lema,Lissu,Msigwa,Kiwia,Machemli,n.k,mmeleta nini majimboni mwenu cha maendeleo ambacho CCM hawakufanya?Mmejaa uongo,na wapindisha mambo wakubwa.
Takribani miaka minane sasa tangu CHADEMA kipate jina na umaarufu nchini.
Hapana shaka kuwa,si Bob Makani wala Mbowe,waliokipa sifa na umaarufu nchini,Bali ni Zitto Kabwe,na Wilbroad Slaa,katika Bunge la JMT.
Ni hawa wawili ndio wamepelekea kimbunga cha wabunge toka CDM kuingia mjengoni bila hata wao kutarajia ktk uchaguzi wa 2010.
Matunda ya kimbunga cha CDM mjengoni mwaka 2010 ndio yamewafanya vijana wengi kuwa wajuaji na wabishi huku wote wakiamini kujirudia kwa kimbunga hicho ktk uchaguzi ujao nao waneemeke,ni ktk dhana hii hii vijana wengi hii leo wanajifanya watetezi wa watanzania,na walinzi wa rasilimali za nchi ili tu waneemeke 2015, nao watatue shida zao.
Kwa kipindi hiki chote cha takribani miaka 8,wabunge wa Cdm hawajaleta maendeleo yoyote zaidi ya kuwanunulia vijana viroba maana ndio mtaji wao.
Pia hakuna maendeleo katika majimbo yao.
Sugu,Wenje,Lema,Lissu,Msigwa,Kiwia,Machemli,n.k,mmeleta nini majimboni mwenu cha maendeleo ambacho CCM hawakufanya?Mmejaa uongo,na wapindisha mambo wakubwa.
UNATAKA WAMZALISHE MKEO NDIO UJUE WANAFANYAKA KAZI?...Very awkward
Ulitaka chadema wamnunulie mkeo chupi?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Ulitaka chadema wamnunulie mkeo chupi?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums