Greda
Member
- Apr 20, 2012
- 95
- 9
Takribani miaka minane sasa tangu CHADEMA kipate jina na umaarufu nchini.
Hapana shaka kuwa,si Bob Makani wala Mbowe,waliokipa sifa na umaarufu nchini,Bali ni Zitto Kabwe,na Wilbroad Slaa,katika Bunge la JMT.
Ni hawa wawili ndio wamepelekea kimbunga cha wabunge toka CHADEMA kuingia mjengoni bila hata wao kutarajia ktk uchaguzi wa 2010.
Matunda ya kimbunga cha CHADEMA mjengoni mwaka 2010 ndio yamewafanya vijana wengi kuwa wajuaji na wabishi huku wote wakiamini kujirudia kwa kimbunga hicho ktk uchaguzi ujao nao waneemeke,ni ktk dhana hii hii vijana wengi hii leo wanajifanya watetezi wa watanzania,na walinzi wa rasilimali za nchi ili tu waneemeke 2015, nao watatue shida zao.
Kwa kipindi hiki chote cha takribani miaka 8,wabunge wa CHADEMA hawajaleta maendeleo yoyote zaidi ya kuwanunulia vijana viroba maana ndio mtaji wao.
Pia hakuna maendeleo katika majimbo yao.
Sugu,Wenje,Lema,Lissu,Msigwa,Kiwia,Machemli,n.k,mmeleta nini majimboni mwenu cha maendeleo ambacho CCM hawakufanya?Mmejaa uongo,na wapindisha mambo wakubwa.
Hapana shaka kuwa,si Bob Makani wala Mbowe,waliokipa sifa na umaarufu nchini,Bali ni Zitto Kabwe,na Wilbroad Slaa,katika Bunge la JMT.
Ni hawa wawili ndio wamepelekea kimbunga cha wabunge toka CHADEMA kuingia mjengoni bila hata wao kutarajia ktk uchaguzi wa 2010.
Matunda ya kimbunga cha CHADEMA mjengoni mwaka 2010 ndio yamewafanya vijana wengi kuwa wajuaji na wabishi huku wote wakiamini kujirudia kwa kimbunga hicho ktk uchaguzi ujao nao waneemeke,ni ktk dhana hii hii vijana wengi hii leo wanajifanya watetezi wa watanzania,na walinzi wa rasilimali za nchi ili tu waneemeke 2015, nao watatue shida zao.
Kwa kipindi hiki chote cha takribani miaka 8,wabunge wa CHADEMA hawajaleta maendeleo yoyote zaidi ya kuwanunulia vijana viroba maana ndio mtaji wao.
Pia hakuna maendeleo katika majimbo yao.
Sugu,Wenje,Lema,Lissu,Msigwa,Kiwia,Machemli,n.k,mmeleta nini majimboni mwenu cha maendeleo ambacho CCM hawakufanya?Mmejaa uongo,na wapindisha mambo wakubwa.