Kijana wa Bar Vichaa. Naona umeshatoka kunyweshwa "viroba" na kulishwa pilau kavu unatokwa na povu tu!
Hoja huna umebaki kutumia lugha chafu. "Viroba" vinapigwa marufuku sasa sijui hapo Kinondoni mtaa wa Ufipa mtakuwa mnanyweshwa kitu gani!
Kuwa kijana na kukariri kuwa chadema ndio mwana mageuzi ushamba hao walicholifanyia taifa hili ni vurugu kuanzia bungeni barabarani maandamano kila cku kutuharibia maadili ss km babu slaa mpaka anagombea urais alaf ana mchumba tu hata mke hana si uhuni huoSiyo kila babu/bibi anakuwa na busara.
Katibu mkuu wenu naye si ni babu? Kitendo cha yeye kuwa na mchumba unaona ni jambo la busara?
Kijana wa Bar Vichaa naona umeshanyweshwa "viroba" na kulishwa pilau kavu povu linakutoka tu!
takribani miaka minane sasa tangu chadema kipate jina na umaarufu nchini.
Hapana shaka kuwa,si bob makani wala mbowe,waliokipa sifa na umaarufu nchini,bali ni zitto kabwe,na wilbroad slaa,katika bunge la jmt.
Ni hawa wawili ndio wamepelekea kimbunga cha wabunge toka chadema kuingia mjengoni bila hata wao kutarajia ktk uchaguzi wa 2010.
Matunda ya kimbunga cha chadema mjengoni mwaka 2010 ndio yamewafanya vijana wengi kuwa wajuaji na wabishi huku wote wakiamini kujirudia kwa kimbunga hicho ktk uchaguzi ujao nao waneemeke,ni ktk dhana hii hii vijana wengi hii leo wanajifanya watetezi wa watanzania,na walinzi wa rasilimali za nchi ili tu waneemeke 2015, nao watatue shida zao.
Kwa kipindi hiki chote cha takribani miaka 8,wabunge wa chadema hawajaleta maendeleo yoyote zaidi ya kuwanunulia vijana viroba maana ndio mtaji wao.
Pia hakuna maendeleo katika majimbo yao.
Sugu,wenje,lema,lissu,msigwa,kiwia,machemli,n.k,mmeleta nini majimboni mwenu cha maendeleo ambacho ccm hawakufanya?mmejaa uongo,na wapindisha mambo wakubwa.
Siyo kila babu/bibi anakuwa na busara.
Katibu mkuu wenu naye si ni babu? Kitendo cha yeye kuwa na mchumba unaona ni jambo la busara?
Takribani miaka minane sasa tangu CHADEMA kipate jina na umaarufu nchini.
Hapana shaka kuwa,si Bob Makani wala Mbowe,waliokipa sifa na umaarufu nchini,Bali ni Zitto Kabwe,na Wilbroad Slaa,katika Bunge la JMT.
Ni hawa wawili ndio wamepelekea kimbunga cha wabunge toka CHADEMA kuingia mjengoni bila hata wao kutarajia ktk uchaguzi wa 2010.
Matunda ya kimbunga cha CHADEMA mjengoni mwaka 2010 ndio yamewafanya vijana wengi kuwa wajuaji na wabishi huku wote wakiamini kujirudia kwa kimbunga hicho ktk uchaguzi ujao nao waneemeke,ni ktk dhana hii hii vijana wengi hii leo wanajifanya watetezi wa watanzania,na walinzi wa rasilimali za nchi ili tu waneemeke 2015, nao watatue shida zao.
Kwa kipindi hiki chote cha takribani miaka 8,wabunge wa CHADEMA hawajaleta maendeleo yoyote zaidi ya kuwanunulia vijana viroba maana ndio mtaji wao.
Pia hakuna maendeleo katika majimbo yao.
Sugu,Wenje,Lema,Lissu,Msigwa,Kiwia,Machemli,n.k,mmeleta nini majimboni mwenu cha maendeleo ambacho CCM hawakufanya?Mmejaa uongo,na wapindisha mambo wakubwa.
Takribani miaka minane sasa tangu CHADEMA kipate jina na umaarufu nchini.
Hapana shaka kuwa,si Bob Makani wala Mbowe,waliokipa sifa na umaarufu nchini,Bali ni Zitto Kabwe,na Wilbroad Slaa,katika Bunge la JMT.
Ni hawa wawili ndio wamepelekea kimbunga cha wabunge toka CHADEMA kuingia mjengoni bila hata wao kutarajia ktk uchaguzi wa 2010.
Matunda ya kimbunga cha CHADEMA mjengoni mwaka 2010 ndio yamewafanya vijana wengi kuwa wajuaji na wabishi huku wote wakiamini kujirudia kwa kimbunga hicho ktk uchaguzi ujao nao waneemeke,ni ktk dhana hii hii vijana wengi hii leo wanajifanya watetezi wa watanzania,na walinzi wa rasilimali za nchi ili tu waneemeke 2015, nao watatue shida zao.
Kwa kipindi hiki chote cha takribani miaka 8,wabunge wa CHADEMA hawajaleta maendeleo yoyote zaidi ya kuwanunulia vijana viroba maana ndio mtaji wao.
Pia hakuna maendeleo katika majimbo yao.
Sugu,Wenje,Lema,Lissu,Msigwa,Kiwia,Machemli,n.k,mmeleta nini majimboni mwenu cha maendeleo ambacho CCM hawakufanya?Mmejaa uongo,na wapindisha mambo wakubwa.
poor thinking viongozi wako unaowatetea wanamabaya mangapi ya kimaadili wanayoyafanya kumbe bora kuwa na nyumba ndogo kibao kuliko kuwa na mchumba mmoja anayefahamika. Fikiri kabla hujaongeaSiyo kila babu/bibi anakuwa na busara.
Katibu mkuu wenu naye si ni babu? Kitendo cha yeye kuwa na mchumba unaona ni jambo la busara?
Takribani miaka minane sasa tangu CHADEMA kipate jina na umaarufu nchini.
Hapana shaka kuwa,si Bob Makani wala Mbowe,waliokipa sifa na umaarufu nchini,Bali ni Zitto Kabwe,na Wilbroad Slaa,katika Bunge la JMT.
Ni hawa wawili ndio wamepelekea kimbunga cha wabunge toka CHADEMA kuingia mjengoni bila hata wao kutarajia ktk uchaguzi wa 2010.
Matunda ya kimbunga cha CHADEMA mjengoni mwaka 2010 ndio yamewafanya vijana wengi kuwa wajuaji na wabishi huku wote wakiamini kujirudia kwa kimbunga hicho ktk uchaguzi ujao nao waneemeke,ni ktk dhana hii hii vijana wengi hii leo wanajifanya watetezi wa watanzania,na walinzi wa rasilimali za nchi ili tu waneemeke 2015, nao watatue shida zao.
Kwa kipindi hiki chote cha takribani miaka 8,wabunge wa CHADEMA hawajaleta maendeleo yoyote zaidi ya kuwanunulia vijana viroba maana ndio mtaji wao.
Pia hakuna maendeleo katika majimbo yao.
Sugu,Wenje,Lema,Lissu,Msigwa,Kiwia,Machemli,n.k,mmeleta nini majimboni mwenu cha maendeleo ambacho CCM hawakufanya?Mmejaa uongo,na wapindisha mambo wakubwa.