Cdm ni wakati wa kulinda kura kwa gharama yoyote,
magamba ndicho wanachopanga sasa
Gazeti la Rai limeripoti kuwa chama cha CDM kinakipeleka puta chama cha mapinduzi huko Arumeru kutokana na mikutano ya CDM kuhudhuriwa na umati mkubwa wa watu katika maeneo ya vijijini tofauti na idadi ndogo ya watu wanaohudhuria katika mikutano ya CCM.
Kwa mujibu wa maripota wa RAI hali hii si ishara nzuri hata kidogo kwa chama hicho tawala.
Habari hii iliyotolewa na gazeti hili imewashangaza wengi kwani ni gazeti hilihili liliripoti wiki iliyopita tu kwamba wamefanya utafiti katika kata zote 17 na kugundua kuwa mgombea wa CCM atashinda kwa asilimia 61% huku mgombea wa CDM akiambulia asilimia 38.5%
Gazeti la Rai limeripoti kuwa chama cha CDM kinakipeleka puta chama cha mapinduzi huko Arumeru kutokana na mikutano ya CDM kuhudhuriwa na umati mkubwa wa watu katika maeneo ya vijijini tofauti na idadi ndogo ya watu wanaohudhuria katika mikutano ya CCM.
Kwa mujibu wa maripota wa RAI hali hii si ishara nzuri hata kidogo kwa chama hicho tawala.
Habari hii iliyotolewa na gazeti hili imewashangaza wengi kwani ni gazeti hilihili liliripoti wiki iliyopita tu kwamba wamefanya utafiti katika kata zote 17 na kugundua kuwa mgombea wa CCM atashinda kwa asilimia 61% huku mgombea wa CDM akiambulia asilimia 38.5%
Nimeona kichwa cha habari kwa mbali kwa wauza magazeti sikupata nafasi ya kununua.
Sikuamini kama hilo ni gazeti la Rai ninalolijua.
Hadi gazeti la Rai likaja na utafiti mwingine ulio na mtazamo tofauti na walioutoa wiki moja iliyopita utambue kwamba wameelekezwa na ccm ama gamba kuu rost tamu kubadilisha aina na mbinu za propaganda. Makamanda mkijisahau tu kidogo na ku relax ccm watatumia nafasi hiyo vizuri, hawawezi kufanya kosa kuacha kutumia upenyo wa ninyi kurelax. Kilichopo hapo ni Nassari kuendelea na kampeni ya mtaa kwa mtaa na kwa baadhi ya watu/wazee mashuhuri kama alivyofanya kwa kuitembelea familia ya shujaa wa Tanganyika na Meru, Marehemu Japhet Kirilo.
Ni kweli kwamba mikutano ya chadema inakusanya watu wengi sana kuliko ccm lakini hilo litoshe kuwapa ujumbe makamanda walioko mstari wa mbele kwamba ccm lazima watakuwa na plan B, plan c na hata ikiwezekana plan D. Na kwa sehemu kubwa hii mechi ya arumeru mashariki wataicheza nje ya uwanja, kwahiyo ni lazima wapiganaji wa chadema huko mstari wa mbele wajipange kukabiliana na hujuma za ccm nje na ndani ya uwanja.
Kwakweli sitarajii kabisa this time around nisikie habari ya kwamba ccm wamechakachua, kwakuwa naamini sasa mbinu zao zote zinafahamika na uwezo wa kuzikabili na kuzishinda uko ndani ya chama.
Umesema eti ni gazeti gani hilo ambalo limetoa taarifa hiyo hapo chini vile? Kama gazeti lenyewe ni RAI basi habari hiyo itakua imekosewa hivyo kamrudishie Bashe akaipitie upya na kuifanyia uhariri 'usiofungamana' na ukombozi nchini.
Panapo Ukweli, Uongo hujitenga. Sintoshangaa nikisikia CCM wamejitoaNimeona kichwa cha habari kwa mbali kwa wauza magazeti sikupata nafasi ya kununua.
Sikuamini kama hilo ni gazeti la Rai ninalolijua.
............huko Arumeru kutokana na mikutano ya CDM kuhudhuriwa na umati mkubwa wa watu katika maeneo ya vijijini tofauti na idadi ndogo ya watu wanaohudhuria katika mikutano ya CCM..........[/QUOTE]
hii ni sawa na kutamba "timu yetu safi sana - inacheza kwa ball possession ya 70% dhidi ya 30% ya mpinzani", while magoli ndiyo yanayo-count at the end of the day!
ccm wao wanajua wazi kuwa arumeru kwa fair play hawawezi kushinda huo uchaguzi, so wanawaachia chadema wajisahau na ball possession yao ili wawasurubu kwenye counter-attack (kwenye injury time) kwa kutumia goal poachers wao (uwt)!
so kwenye injury time, nawashauri chadema wa-resort kwenye formation ya 10-0-0!!!
kama unajua football, utajua ninachokisema....